Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasili

Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasili

Tanzania Railways Corp

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
251
Reaction score
595
Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasili


squarephoto.photoeditor.photosquare_2023112113215311~2.jpg

2f3854de-0e55-4c4a-83ea-4f0b9a290759.jpeg

a8f2251a-6cea-41ee-902a-dac300a9c094.jpeg

====

Pia soma: Danadana za Serikali kwenye kuanza kutumika kwa Treni ya SGR kipande cha Dar - Moro, nini kinaendelea pande hizo?
 
Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasiliView attachment 2801157
Hongereni kuleta hivyo vichwa vipya vya Treni kama ulivyo kiri hapa.

Treni ya Umeme inahitaji Umeme wa Uhakika, ni vyema mkajipanga kwenye hilo hasa wakati huu ambapo kumekuwa na tatizo kubwa la Upungufu wa nishati hiyo.

Nikiri wazi, nilibahatika kupanda treni lenu wakati mkifanya majaribio kipande cha DSM - Morogoro.

Ni moja ya mradi mzuri sana, tumpe pongezi aliyetoa wazo la kuanzisha mradi huo.

Hofu yangu, na wengine wengi humu ni suala la Upungufu wa huo umeme wa kuendesha mitambo hiyo.

Vinginevyo mje na mpango mbadala wa kutumia Majenereta walau kuwa na uhakika wa nishati.

Ingawa najua litakuwa na cost implications.

Kila la kheri
 
Hongereni kuleta hivyo vichwa vipya vya Treni kama ulivyo kiri hapa.

Treni ya Umeme inahitaji Umeme wa Uhakika, ni vyema mkajipanga kwenye hilo hasa wakati huu ambapo kumekuwa na tatizo kubwa la Upungufu wa nishati hiyo.

Nikiri wazi, nilibahatika kupanda treni lenu wakati mkifanya majaribio kipande cha DSM - Morogoro.

Ni moja ya mradi mzuri sana, tumpe pongezi aliyetoa wazo la kuanzisha mradi huo.

Hofu yangu, na wengine wengi humu ni suala la Upungufu wa huo umeme wa kuendesha mitambo hiyo.

Vinginevyo mje na mpango mbadala wa kutumia Majenereta walau kuwa na uhakika wa nishati.

Ingawa najua litakuwa na cost implications.

Kila la kheri
Hata wewe unaweza kumpa pongezi, ni Kikwete.

Mchawi umeshindwa kujificha.
 
Back
Top Bottom