Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasili

Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasili

Hata wewe unawez kumpa pongezi, ni Kikwete.

Mchawi umeshindwa kujificha.
Kule Kijijini tulikuwa tunasema Mchawi mpe mtoto akulelee, si Uje Mzee mwenzangu tuleane wakati huu wa Uzee wetu 😉

Nafahamu fika kuwa Mipango ya Serikali huchukua muda kuweza kutekelezeka.

Kwahiyo sio ajabu kukuta pengine hilo Wazo alibuni JK wakati wa awamu ya 4 then JPM akaja kuli-implement

Vivyo hivyo kuna mipango pengine ilipangwa na Serikali ya awamu ya 5 lakini akaja kuitekeleza Mhe. SAMIA.

Wanasema Maendeleo ni kama Mchezo wa kukimbia na Vijiti, hivyo kawaida kupokezana.
 
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa kichwa kipya cha treni ya meme chenye namba va usajili E6800-01 kilichoundwa na kampuni ya 'Hyundai Rotem Company' (HRC) kimewasili nchini Tanzania kutoka chini Korea Kusini.

TRC iliagiza vichwa vipya 17 vya meme kutoka 'Hyundai Rotem Company' (HRC) ya nchini Korea Kusini yenye namba ya usajili E6800-01 hadi E6800-17 kwa ajili ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR. Mfumo wa uendeshaji unaotumika katika kichwa ni nishati ya meme wenye msongo wa kilovoti 25 a kitakuwa na nguvu ya kilowati 5,000 sawa na nguvu ya 6,800 kwa kipimo cha 'Horse Power'. Kichwa kitakuwa na uwezo wa mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa (160km/h), kuvuta na kulisha meme kwenye mabehewa yasiyozidi 14 ya abiria kwa wakati mmoja.

TRC inatarajia kufanya majaribio ya kichwa cha treni kitakachotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dares Salaam na Morogoro na baadaye Dares Salaam hadi Dodoma, baada va kukamilisha ukaguzi wa kichwa na mafunzo ya uendeshaji kwa madereva mapema mwezi Disemba 2023.

Mwezi Disemba 2023 TRC inatarajia kupokea vichwa vingine vitatu (3), mpango wa uletaji vitendea kazi utakuwa ukitekelezwa kwa awamu pindi undwaji wa vitendea kazi unapokamilika. TRC imeshapokea mabehewa 35 kwa ajili ya uendeshaji wa huduma katika reli ya kiwango cha kimataifa.

Kufikia Septemba 2023 mradi wa SGR Dares Salaam - Morogoro umefikia 98.6%, Morogoro - Makutupora umefikia 95.41%, Makutupora - Tabora umefikia 12.32%, Tabora- Isaka umefikia 5.02% na Mwanza - Isaka umefikia 41.95%, Mkandarasi kampuni ya CCECC yuko eneo la mradi kwa ajili ya maandalizi ya kuanza utekelezaji wa mradi wa SGR awamu ya pili Tabora - Kigoma.
Screenshot 2023-11-02 at 13.10.17.png

IMG-20231102-WA0310-860x484-1.jpg
IMG-20231102-WA0309-768x432-1.jpg
 
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa kichwa kipya cha treni ya meme chenye namba va usajili E6800-01 kilichoundwa na kampuni ya 'Hyundai Rotem Company' (HRC) kimewasili nchini Tanzania kutoka chini Korea Kusini.

TRC iliagiza vichwa vipya 17 vya meme kutoka 'Hyundai Rotem Company' (HRC) ya nchini Korea Kusini yenye namba ya usajili E6800-01 hadi E6800-17 kwa ajili ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR. Mfumo wa uendeshaji unaotumika katika kichwa ni nishati ya meme wenye msongo wa kilovoti 25 a kitakuwa na nguvu ya kilowati 5,000 sawa na nguvu ya 6,800 kwa kipimo cha 'Horse Power'. Kichwa kitakuwa na uwezo wa mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa (160km/h), kuvuta na kulisha meme kwenye mabehewa yasiyozidi 14 ya abiria kwa wakati mmoja.

TRC inatarajia kufanya majaribio ya kichwa cha treni kitakachotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dares Salaam na Morogoro na baadaye Dares Salaam hadi Dodoma, baada va kukamilisha ukaguzi wa kichwa na mafunzo ya uendeshaji kwa madereva mapema mwezi Disemba 2023.

Mwezi Disemba 2023 TRC inatarajia kupokea vichwa vingine vitatu (3), mpango wa uletaji vitendea kazi utakuwa ukitekelezwa kwa awamu pindi undwaji wa vitendea kazi unapokamilika. TRC imeshapokea mabehewa 35 kwa ajili ya uendeshaji wa huduma katika reli ya kiwango cha kimataifa.

Kufikia Septemba 2023 mradi wa SGR Dares Salaam - Morogoro umefikia 98.6%, Morogoro - Makutupora umefikia 95.41%, Makutupora - Tabora umefikia 12.32%, Tabora- Isaka umefikia 5.02% na Mwanza - Isaka umefikia 41.95%, Mkandarasi kampuni ya CCECC yuko eneo la mradi kwa ajili ya maandalizi ya kuanza utekelezaji wa mradi wa SGR awamu ya pili Tabora - Kigoma.View attachment 2801271
Eti mafunzo, walishindwa nini kwenda kujifunza wakati vinatengenezwa hukohuko kiwandani?
 
Kumbe kichwa kinauwezo wa kuvuta mabehewa 14 tu? Mbona pale mwanzo tuliambiwa kuwa treni moja itakuwa na urefu wa kilomita tatu ikiwa na mabehewa sawa na semi trailers 1,000 kwa wakati mmoja au mabasi ya You Tong 500 kwa wakati mmoja. Hiyo iliashiria kufuta biashara ya malori na mabasi, ikizingatiwa kuwa spidi ya treni hizi itakuwa ya kasi ya 160 km per hour, sawa na masaa manane tu kutoka Dar hadi Mwanza!

Mbona sasa wamefanya treni moja kuwa na uwezo wa behewa 14 tu, yaani sawa na semi trailers 14 tu au mabasi 14 tu ambayo haitakuwa na impact yo yote kwa wafanyabiashara wa malori na mabasi wanaoharibu barabara zetu za lami tulizozijenga kwa gharama kubwa sana.

Hongereni sana wafanya biashara za semi trailers na mabasi kwa kushinda hii vita ya uchumi.
 

Snapinsta.app_398663393_727012996133097_4989478143976086345_n_1080.jpg
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa kichwa kipya cha treni ya umeme chenye namba ya usajili E6800-01 kilichoundwa na kampuni ya 'Hyundai Rotem Company' (HRC) kimewasili nchini Tanzania kutoka nchini Korea Kusini.

TRC iliagiza vichwa vipya 17 vya umeme kutoka 'Hyundai Rotem Company' (HRC) ya nchini Korea Kusini vyenye namba ya usajili E6800-01 hadi E6800-17 kwa ajili ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR. Mfumo wa uendeshaji unaotumika katika kichwa ni nishati ya umeme wenye msongo wa kilovoti 25 na kitakuwa na nguvu ya kilowati 5,000 sawa na nguvu ya 6,800 kwa kipimo cha 'Horse Power'. Kichwa kitakuwa na uwezo wa mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa (160km/h), kuvuta na kulisha umeme kwenye mabehewa yasiyozidi 14 ya abiria kwa wakati mmoja.
2f3854de-0e55-4c4a-83ea-4f0b9a290759.jpeg

a8f2251a-6cea-41ee-902a-dac300a9c094.jpeg

4ce462d2-c1e0-4b3c-877d-fee7f167a118.jpeg
TRC inatarajia kufanya majaribio ya kichwa cha treni kitakachotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dar es Salaam na Morogoro na baadaye Dar es Salaam hadi Dodoma, baada ya kukamilisha ukaguzi wa kichwa na mafunzo ya uendeshaji kwa madereva mapema mwezi Disemba 2023.

Mwezi Disemba 2023 TRC inatarajia kupokea vichwa vingine vitatu (3), mpango wa uletaji vitendea kazi utakuwa ukitekelezwa kwa awamu pindi uundwaji wa vitendea kazi unapokamilika. TRC imeshapokea mabehewa 35 kwa ajili ya uendeshaji wa huduma katika reli ya kiwango cha kimataifa.

Kufikia Septemba 2023 mradi wa SGR Dar es Salaam - Morogoro umefikia 98.6%, Morogoro - Makutupora umefikia 95.41%, Makutupora-Tabora umefikia 12.32%, Tabora - Isaka umefikia 5.02% na Mwanza - Isaka umefikia 41.95%, Mkandarasi kampuni ya CCECC yuko eneo la mradi kwa ajili ya maandalizi ya kuanza utekelezaji wa mradi wa SGR awamu ya pili Tabora - Kigoma.

Pia soma - TRC: Kichwa cha Treni ya SGR kimefika Bandarini, Majaribio ya safari ya Dar - Moro yataanza hivi karibuni
 
[emoji444][emoji444]Umeme shida haii, Aii Mamaa weee! Hai! hai! Mara umewakaa uoooooo! Uoo! Mara umezima uoooooo! Uoo. [emoji444]

Chenja za JKT hizo.
 
TUMA PICHA LABDA TUMEPIGWA TENA...MABAHEWA ESCAPE FROM SOBIBO
 
Back
Top Bottom