GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #61
Kwahiyo bwana GENTAMYCINE umeanza kubishana na mabondia au unataka wakuondoe hivyo vimeno viwili ulivyobakiza mdomoni
Huyu Dogo ' Mwakinyo ' amenikera sana Mkuu na nilianza ' Kukachukia ' ghafla pale ambapo Siku moja alipokuwa akifanya Kipindi na Clouds tv ambapo muda mwingi alikuwa ' anajimwambafai ' huku akijiona ameshayapitia Denge Maisha ( ameukata ) na muda mwingi alikuwa akijulambalamba Mdomo huku akirembua Macho yake na nikajua kuwa kumbe alikuwa anawakilisha tabia ya Wanaume wa Tanga ambayo Watoto wa Mjini tunaifahamu kwa sana tu ila hapa Kimaadili nawatunzia Siri yao hiyo. Na nikikuchukia hata ufanyeje siwezi Kukukubali tena! Sipendi Mtu mwenye Dharau na asiyeheshimu Watu huku akiwa hapendi Kukosolewa.