GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Kwahiyo bwana GENTAMYCINE umeanza kubishana na mabondia au unataka wakuondoe hivyo vimeno viwili ulivyobakiza mdomoni
Matumla ashachukua mkanda wa WBU na UBO wa dunia na mikanda kadhaa ya afrika
Matumla ni icon kwenye boxing tz
Sasa hyu mwakinyo kama wakina mobeto wanamfanya kuwa jeuri na kujiona star
Kwa kutotaka ushauri atapotea mapema
Ova
Mbona unaanza maneno mengi na herufi kubwa katikati ya sentensi? au ni aina mpya ya uandishi mkuu.Pumbavu ametoa Kauli hiyo akiwa anahojiwa na Wasafi fm, Clouds fm na mapema tu wakati Kipindi cha Sports Headquarters cha Efm leo asubuhi amezungumza tena na nina uhakika Watu wote waliosikiliza hizo Redio jana Usiku na hadi leo Asubuhi wamamsikia huyo Bondia ' Mpuuzi ' Mwenzio Mwakinyo.
Multiple IDs @ work
Majigambo humshusha mtu,Sikujua kuwa kumbe Mimi GENTAMYCINE ni ' Maarufu ' hata kuliko Bondia Mwakinyo. Akhsante kwa taarifa yako hii muhimu Kwangu.
Mkuu bila ushahidi hizi ni porojo tu kama za Haji Manara Au Bi Hindu.
Na wakishamaliza kuziunganisha unapigwa life ban ambayo kwako ni kama kunyimwa visa ya kuingia nchi takatifuBila bila itakuwa alikosea Kuandika na alidhani ananijibu Mimi GENTAMYCINE na kumbe alikuwa anamjibu Mwingine na Mimi nimemjibu baada ya Kuona amenitaja pale katika ile ' Post ' yake. Sina haja ya kuwa na ID nyingi hapa ila kama una uhakika na ID zingine kuwa ni zangu basi nakuomba wataarifu Uongozi wa JamiiForums ili uziunganishe zote na ibaki tu hii ' Brand ID ' yangu ya GENTAMYCINE.
Na wakishamaliza kuziunganisha unapigwa life ban ambayo kwako ni kama kunyimwa visa ya kuingia nchi takatifu
Kwani heshima yake kwa matumla inamuongezea nini??
Mjinga wewe.. mtu kajaza taifa huoni kama kafanya maajabu...Bila kupepesa macho naombea pambano lake lijalo mwakinyo apigwe vibaya sana.. hajui kwanini watu tulimwita snake boy huyu! Hajui kuwa snake man alisimamisha nchi pale diamond jubilee ktk pambano lake na yule msouth Africa. Hata cheka mwenyewe ambaye aliwahi kumshinda matumla mara kadhaa pamoja na bangi zake zote hajawahi kumkosea adabu snake man!! .. hawa wasanii kina msangi washamharibu huyu msambaa
Ashajiona yuko kwenye rank ya MayweatherDogo Hana akili huyo
Sawa ni bora wakacheki na fuse kama ziko sawa upstair.
Dah! Alisema ivo??Nmeskia clip yake alafu alivyokuwa mjinga anasema matumla kabakia kuvaa masuruali makubwa kama Tupac....
Mshns sana hyu
Ova
Kwaiyo mwakinyo anaminyoo au kiribatumbo?Tanzania hakuna Mabondia, kuna watu wanaoigiza ubondia.
Mabondia wengi wa Tanzania hawana afya ya kutosha, wana magonjwa , Minyoo haswa safura, njaa na wengine viribatumbo.
Hata wakipewa chakula stahiki hawataweza kula.
Kabla ya kwenda kupigana ulaya wanapaswa wafundishwe kula, kuexercise na kutumia dawa za minyoo
Wengi ni wa Mkuranga ndugu zake Faiza Foxy
Nimepata bahati ya kusikiliza hayo mahojiano yake, nilichojifunza kwenye hayo mahojiano ni kuwa huyu dogo anadanganywa na watu waliomzunguka au anajidanganya mwenyewe kuwa yeye ni mkubwa kuliko snake boy, yani mpaka anai condition azam akicheza pambano lake snake boy asiitwe, mara snake boy kaja kuganga njaa, yani huyu kasahau mwaka jana tu alikosa nauli ya kwenda Uingereza kwenye lile pambano lililompa umaarufu mpaka leo anajulikana, waliokaribu nae wamuambie asijisahau hivyo, bado ana umri mdogo sana na ana safari ndefu ya kwenda, snake boy angekuwa kipindi hiki ambacho kuna evolution ya technology and social media pengine angekuwa maarufu mara elfu moja ya umaarufu alionao huyu dogo, ni mshauri tu kuwa kwa umri wake bado ana safari ndefu sana ya kutembea na hivyo anahitaji sapoti na ushauri wa wadau wote, anaowapenda na ata asiowapenda.Pumbavu ametoa Kauli hiyo akiwa anahojiwa na Wasafi fm, Clouds fm na mapema tu wakati Kipindi cha Sports Headquarters cha Efm leo asubuhi amezungumza tena na nina uhakika Watu wote waliosikiliza hizo Redio jana Usiku na hadi leo Asubuhi wamamsikia huyo Bondia ' Mpuuzi ' Mwenzio Mwakinyo.
Naunga mkono hoja mkuu. Mwakinyo amelewa sifa lakini huwezo hana sana, kwakifupi ni overrated!Hivi atasemaje kuwa Rashid Matumla si Bondia chochote na lolote na kwamba hajawahi Kufanya Jambo Kubwa Tanzania wakati Kirekodi inajulikana kwamba Rashid Matumla ni Bondia mwenye Mafanikio Makubwa kuwahi Kutokea nchini Tanzania ambapo ameshacheza sana Ngumi za Ridhaa, amecheza Olympic na pia amecheza Michezo mingi ya Kulipwa ambayo nina uhakika kwa ' Upumbavu ' na ' Ushamba ' wa Bondia Mwakinyo hatoweza Kufikia na hana hata huo Ubavu.
Amuombe Radhi upesi sana. Na leo kwa Kujiamini kabisa nasisitiza na narudia tena Kusema kuwa Bondia Mwakinyo Juzi hakushinda ila ' alibebwa ' tu na hana Uwezo huo wa Kupigana isipokuwa tu anabebwa na ' Promo ' huku akitumika kwa Chama fulani Kujiimarisha Kisiasa na ' Kipopraganda ' mbele ya Mafanikio yake Kimichezo kwa Watanzania.
Na ' Management ' nzima na wale walio nyuma ya huyu Bondia wa ' hovyo hovyo ' Mwakinyo kutoka Mkoani Tanga kama wasipokuwa makini nae hasa katika Kumjenga Kinidhamu na Kimichezo kuna Siku atakuja Kuwagharimu na hawatowaamini macho na masikio yao. Bondia mwenye ' Maadili ' kamwe hawezi ' Kupayuka ' hovyo na Kuendeleza ' Uswahili ' kama alionao na alivyofanya Yeye Mwakinyo.
Dogo mwakinyo omba radhi haraka sana!!!!!Hivi atasemaje kuwa Rashid Matumla si Bondia chochote na lolote na kwamba hajawahi Kufanya Jambo Kubwa Tanzania wakati Kirekodi inajulikana kwamba Rashid Matumla ni Bondia mwenye Mafanikio Makubwa kuwahi Kutokea nchini Tanzania ambapo ameshacheza sana Ngumi za Ridhaa, amecheza Olympic na pia amecheza Michezo mingi ya Kulipwa ambayo nina uhakika kwa ' Upumbavu ' na ' Ushamba ' wa Bondia Mwakinyo hatoweza Kufikia na hana hata huo Ubavu.
Amuombe Radhi upesi sana. Na leo kwa Kujiamini kabisa nasisitiza na narudia tena Kusema kuwa Bondia Mwakinyo Juzi hakushinda ila ' alibebwa ' tu na hana Uwezo huo wa Kupigana isipokuwa tu anabebwa na ' Promo ' huku akitumika kwa Chama fulani Kujiimarisha Kisiasa na ' Kipopraganda ' mbele ya Mafanikio yake Kimichezo kwa Watanzania.
Na ' Management ' nzima na wale walio nyuma ya huyu Bondia wa ' hovyo hovyo ' Mwakinyo kutoka Mkoani Tanga kama wasipokuwa makini nae hasa katika Kumjenga Kinidhamu na Kimichezo kuna Siku atakuja Kuwagharimu na hawatowaamini macho na masikio yao. Bondia mwenye ' Maadili ' kamwe hawezi ' Kupayuka ' hovyo na Kuendeleza ' Uswahili ' kama alionao na alivyofanya Yeye Mwakinyo.