kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Mjinga wewe.. mtu kajaza taifa huoni kama kafanya maajabu...
Huyo matumla siku ile ya mechi Mimi mwenyewe nilianza kumuona Hana analolijua zaidi ya wivu...
Yaani unashangaa mtu kujaza Diamond Jubilee ila hushangai mwakinyo kujaza taifa...
Hili taifa limejaa Ng'ombe zisizokuwa na akili .. Mijitu imejaa wivu.
Pvmbavu
Hivi kujaza uwanja bila kiingilio we unaona maajabu? Unajua Diamond Jubilee ilijazwa kwa kiingilio cha sh ngapi?