othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Kwa akili yako kabisa unaamini kuna mapenzi pale kati ya harmonize na kajala?
Mda ni mwalimu
Mda ni mwalimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja yupo kwaajili ya kiki mwingine after money hawa ni wanafanya biashara ya mapenzi na siku zote biashara ya mapenzi haidumuKwa akili yako kabisa unaamini kuna mapenzi pale kati ya harmonize na kajala?
Mda ni mwalimu
Kampa umeneja, Kwa kifupi kampa maisha yake aweke kwenye mkoba. Na alivyofanya amempa tiketi ya kuliwa zaid Tena atakwenda kuliwa Dubai. Ataamua ampe uchi naniNashanga hyo mmakonde anamuona mpya kmbe kilomita zimeenda
Duh...agatha, kndi lake walikuwa mcharuko balaaa
Zuhura namjuwa maana stereo nimekaa sana kitambo
Wale walianza kuliwa tokea wakiwa primary
Ova
Huo ndio uanaume Sasa[emoji4][emoji106]Halafu humu unakuta wanaume ndio wanampondea Kajala wakati sisi wenyewe hatujatulia. To be honest akifunua mi napita bila kufumba macho, dhambi zake mwenyewe
Ha ha ha .....mradi wote utaishia kiunoni[emoji4]Kufinyia ndani sahv ndy fashion
Haha...kuna mtu nmemuacha hko mtwara kakabidhiwa mradi barabara
Ana mtoto anamfinyia ndani
Huo mradi sjui kma utaisha
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kuleta kelele labda hata huyo mumewe ana bwana huko Segerea.
Kumbe nawee ni hovyooo tyuuh. KhaaahDogo kaonjeshwa[emoji1533] kaka halafu ikafinyiwa kwa ndani[emoji39][emoji1]
Waulize wanasheria na wanadini wako vizuri tuu watakufahamisha.Mkuu ndoa hazivunjiki kiautomatic ndoa inavunjwa mahakamani.
Hakunaga kuvunja ndoa kiautomatic katika sheria, kama hajaomba talaka kisheria huyo bado serikali inatambua ni mke wa mtu.
Kondeboi akioa basi kaoa mke wa mtu ikiwa ile ndoa ya kwanza haijavunjwa na mahakama.
Anaweza kuoa bila tabu kabisa ila huko mbele vikitokea visanga inaweza kuwaletea shida kisheria.
Msimuhukumu hivyo . Hakuna mkamilifu.Nashangaa watu wanahangaika naye
Wanaomjua tokea kapok kumbukumbu primary,anasasambua club asset na kwenye mabeach party
Wala hawaumiz vichwa....
Ila naona hazeeki ....anaonekana mpya kwa wageni
Ova
Kijana huo ndio ukweli.Waulize wanasheria na wanadini wako vizuri tuu watakufahamisha.
Kumbe mambo haya n serious!Ndiyo anaolewa sasa na Harmonize
Una uhakika miye kijana bwana mdogo,Kijana huo ndio ukweli.
We mshauri abadili hiyo dini uone kama hiyo automatic kama itaapply hapo!!
Una uhakika miye bwana mdogo kijana?Una uhakika miye kijana bwana mdogo,