Kidini Kajala ni mke wa mtu, Harmonize atamuoaje?

Kidini Kajala ni mke wa mtu, Harmonize atamuoaje?

Nashanga hyo mmakonde anamuona mpya kmbe kilomita zimeenda
Duh...agatha, kndi lake walikuwa mcharuko balaaa
Zuhura namjuwa maana stereo nimekaa sana kitambo
Wale walianza kuliwa tokea wakiwa primary

Ova
Kampa umeneja, Kwa kifupi kampa maisha yake aweke kwenye mkoba. Na alivyofanya amempa tiketi ya kuliwa zaid Tena atakwenda kuliwa Dubai. Ataamua ampe uchi nani
 
Cha ajabu sasa ktk huu uzi, wanaohemkwa na kukasirika ni wanaume tena wengine baba wa familia, Dunia simama nishuke.

Yaan wanamuonea wivu kajala kuolewa na harmo, sasa sijui wanataka kuolewa wao,. Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaume punguzeni hasira, muacheni konde afaidi, eti ooh kajala n Malaya mara mcharuko, ndo kashapendwa hivyo.

Mvimbe na mpasuke, lol.
 
Mkuu ndoa hazivunjiki kiautomatic ndoa inavunjwa mahakamani.
Hakunaga kuvunja ndoa kiautomatic katika sheria, kama hajaomba talaka kisheria huyo bado serikali inatambua ni mke wa mtu.

Kondeboi akioa basi kaoa mke wa mtu ikiwa ile ndoa ya kwanza haijavunjwa na mahakama.

Anaweza kuoa bila tabu kabisa ila huko mbele vikitokea visanga inaweza kuwaletea shida kisheria.
Waulize wanasheria na wanadini wako vizuri tuu watakufahamisha.
 
Kama imewezekana kwa Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania Dayosisi ya Konde, hilo ni jambo dogo sana. Atafunga ndoa tu mama Paula
 
Nashangaa watu wanahangaika naye
Wanaomjua tokea kapok kumbukumbu primary,anasasambua club asset na kwenye mabeach party
Wala hawaumiz vichwa....
Ila naona hazeeki ....anaonekana mpya kwa wageni

Ova
Msimuhukumu hivyo . Hakuna mkamilifu.
 
Kajala na Harmo Wana tabia zinazofanana,wote shilingi Kwanza
Kuna possibility kubwa wakadumu coz wote wana mawenge kedekede.
 
Yaan bora mmakonde angeoa wolper ndoa ingekakaa ata miezi6, kajala hawezi na hana sifa ya kuwa mke....na mahusiano yao yataisha ghafla kama ndoa ya diva na mganga
 
Back
Top Bottom