KIDON, unawajua hawa? The deadliest killing machine

Yes.......unazijua unifundishe........

Jinsia yenu ni wazuri zaidi linapokuja suala la ujasusi. Kazana japokuwa sijui nani atakuhire!! Maana ujasusi ni report based task. Ujasusi ni unit,ujasusi si ujambazi wala umafia,ujasusi ni special task always granted.
 
mkuu mngony asante sana kwa kuitafsiri habari hii ya kidon na kuiweka ktk lugha yetu adhimu ya kiswahili.hata sisi tusiolewa kizungu tumeelewa.
 
Last edited by a moderator:
Ndahani,
i too,real need that book,allow me to PM you my email address.
 
Last edited by a moderator:
mkuu mngony asante sana kwa kuitafsiri habari hii ya kidon na kuiweka ktk lugha yetu adhimu ya kiswahili.hata sisi tusiolewa kizungu tumeelewa.

Nashkuru wakunyumba, tunajifunza funza hivo hivo kidogo kidogo kadoda11
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nilichojifunza kwenye moja ya vitabu ulivyoambatanisha hapo ni kwamba mabalozi wa Israel wengi/wote na maafisa wote/wengi wa balozi zao wanakuwa na kazi maalumu za mashirika yao ya kijasusi na hii imekuwa moja kati ya nguzo muhimu za historia ya mafanikio ya MOSSAD. Swali ninalo jiuliza mpaka sasa ni je, nchi yetu inatumia utaratibu wa aina hii katika kutuma mabalozi katika nchi mbalimbali? Kwa maoni yangu ni kwamba itakuwa rahisi sana kulinda na kutetea maslahi ya Tanzania na watanzania kama kila afisa ubalozi wetu atakuwa katumwa kwa mfumo huu. mfano, haitawezekana kabisa kwa kampuni ya kigeni yenye nia ovu kupata fursa ya uwekezaji Tanzania kwa vile taarifa zao na malengo yao yatakuwa mezani kwetu muda mrefu kabla ya wao kutia miguu kwenye nchi yetu. Just thinking loudly.
 

Mkuu huu mfumo nchi nyingi sana unautumia.Kuanzia Marekani mbaka Tanzania

Ubalozi wa Tanzania unakuwaga na muambata wa kijeshi na yule wa kiusalama.Mara nyingi first au second secretary ndo anakuwaga afisa wa Idara ya Usalama wa taifa! Wako chini ya Directorate of External Operations

Pamoja mkuu
 
Na je ile dhana ya wafanyakazi wa ikulu lazima wote wawe wanausalama ni kweli? apakak
 
Last edited by a moderator:
Na je ile dhana ya wafanyakazi wa ikulu lazima wote wawe wanausalama ni kweli? apakak

Wale wafanyakazi permanent wote wa Ikulu lazima wawe Usalama or atleast wamepitia kozi flani ya usalama ya kutunza siri

Na pia hadi code word ya mfanyakazi wa Usalama mara nyingi anajiita mfanyakazi wa Ikulu au wa Ofisi ya Raisi. Waziri Mkuu Pinda ni mfano hai,anasema amefanyakazi Ikulu kumbe ni Usalama
 
komandoo wetu anaenda mafunzo kwa mda gani tena vileee?

sasa hao masela wanaenda tizi kwa miaka miwili tena sio tizi tu ni lile tizi la hatari, aargghhh potelea mbali bora niishie kuruta tu nistaafu :A S cry:
 
Ni ya ukweli sana,mzee inatishaaa.Thanks for your Information
 
Hii nimeonaga sehemu walihis ndo wamesepa na ile air malysia nkawasielew ndo
Kina nan hao
 
Kuna Movie iliyoongozwa na Steven Spielberg ambayo amecheza Eric Bana, Daniel Craig na wengineo inaitwa Munich ambayo inaelezea namna walivyoweza kulipiza kisasi kwa wanamichezo wa Olympic waliouawa kule Munich Ujerumani. Hii ilikuwa ni wakati wa Utawala wa Golder Meir kule Israel.
 

Ahsante sana mkuu.
 
Wakuu hivi kuna vitabu au nyaraka zozote ambazo zinapatikana (kihalali) kuhusu matendo makubwa yaliyowahi kufanywa na idara yetu ya usalama kama ilivyo kwa MOSSAD (kwa vitabu vilivyo ambatanishwa na mleta hoja)? Kwa kiwango fulani naona kama upatikanaji wa baadhi ya taarifa au nyaraka ( kwa watu sahii) unaweza kuwa na mchango mkubwa sana wa kukuza uzalendo na utayari wa kuchangia kwa hali na mali kwenye ulinzi wa Taifa letu.
 
natamani waje tanganyika wafanye japo opareshen kama 10 tu za elimination nadhan nchi itapata heshima iliyopotea maana tanganyika yangu sasa ni kama shamba la bibi au kichwa cha mwenda wazimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…