KIDON, unawajua hawa? The deadliest killing machine

Mimi nataka kwa uelewa wangu binafsi na msaada wa watu wachache nitengeneze movie yenye mtazamo na muelekeo kama hao jamaa, lakni katika bajeti ndogo, nina mawazo mengi sana najua nikiyaunganisha nitapata kitu kizuri na kuongeza uelewa na burudani kwa wenzangu
 
Hawa jamaa inaonekana ni hatari sana. Hivi hawawezi kukodiwa wakafanya mauaji kwa niaba ya nchi nyingine?

Sijui kama watakubali nadhani wataona kama wanawekewa trap
 
Tatizo ni ngumu kupata maactor wenye efficiency kubwa kimapigano kitu kitakachopoteza mvuto wa muvi yako kwani ili kuonyesha weledi wa hali ya juu utajikuta kompyuta ifanye kazi sasa uhondo unapungua!
 
mngony Umetisha kaka. Asante kwa kutupa kitu kingine cha kusoma. Napenda vitabu kama hivi lakini kuvipata huwa issue. Wewe umekubali kushare pamoja na sisi.
Barikiwa tu
 
m ntakuwa nachukua mazoezi ya kuendesha pikipik kwa stlye za hatari.ukirud we m naajiriwa kama helper.mbona watakuwa waadilifu.no kuuza
wanyama,no kuweka pesa nnje,no kufisadi.kila mtu atakuwa muoga.chezea kuvumuzishwa kabla sir god mwenyewe ajaamua
I see, kwa hiyo mkuu unataka uanze kabisa kuendesha pikipiki kwa staili za hatari eti?!
 
Mkuu mngony napenda sana thread zako maana najifunza mengi sana.Tatizo nakua sizioni kwa wakati.Kama hii nimeiona leo!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…