Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 7,781
- 6,966
Hao ni aina gani ya binadamu,sijawahi wasikia[/QUOTE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni aina gani ya binadamu,sijawahi wasikia[/QUOTE
Nasubiri kitabu.......nataka kujua mbinu zao mbalimbali.......
Anza na kitu inaitwa Krav Maga
Hawa jamaa inaonekana ni hatari sana. Hivi hawawezi kukodiwa wakafanya mauaji kwa niaba ya nchi nyingine?
"short movement against maxmum attack"hii ndo krav maga!hataree!
Mimi nataka kwa uelewa wangu binafsi na msaada wa watu wachache nitengeneze movie yenye mtazamo na muelekeo kama hao jamaa, lakni katika bajeti ndogo, nina mawazo mengi sana najua nikiyaunganisha nitapata kitu kizuri na kuongeza uelewa na burudani kwa wenzangu
Mkuu jaribu na:mngony what website do you know we can download soft copies of books? I just know one....4shared.com - free file sharing and storage
mngony Umetisha kaka. Asante kwa kutupa kitu kingine cha kusoma. Napenda vitabu kama hivi lakini kuvipata huwa issue. Wewe umekubali kushare pamoja na sisi.
Barikiwa tu
Sawa mkuu. pengine na tanzania tunao watu wa dizaini hiyo.
I see, kwa hiyo mkuu unataka uanze kabisa kuendesha pikipiki kwa staili za hatari eti?!m ntakuwa nachukua mazoezi ya kuendesha pikipik kwa stlye za hatari.ukirud we m naajiriwa kama helper.mbona watakuwa waadilifu.no kuuza
wanyama,no kuweka pesa nnje,no kufisadi.kila mtu atakuwa muoga.chezea kuvumuzishwa kabla sir god mwenyewe ajaamua
Ha ha aa unajua hiyo habari eeenh!!!
ngalia hii trailor if you like the "Hollywood Version" While you are waiting for the book.
KIDON - trailer - YouTube