KIDON, unawajua hawa? The deadliest killing machine

Kama wanaweza kupokea vijana wawafundishe nafikiri tuwapeleke na sisi tuwe na hazina ktk jeshi letu.
Hawa wa kwetu ni kuvunja matofali kwa kichwa ndio ukuaji wa technology
 
m ntakuwa nachukua mazoezi ya kuendesha pikipik kwa stlye za hatari.ukirud we m naajiriwa kama helper.mbona watakuwa waadilifu.no kuuza
wanyama,no kuweka pesa nnje,no kufisadi.kila mtu atakuwa muoga.chezea kuvumuzishwa kabla sir god mwenyewe ajaamua
mmmmmm
 
Mara ya mwisho hawa jamaa kusikika kwenye vyombo vya habari ni pale walipoenda Dubai kama watalii kutoka nchi mbalimbali na kumuua Ofisa wa ngazi ya juu wa Hamas Mahmoud Al-Mabhouh kwenye chumba cha Hoteli aliyofikia. Kamera za Usalama za Uwanja wa ndege ziliwaonyesha toka wanawasili Dubai. Kamera za Hotelini zliwaonyesha tangu wakiwasili hotelini hapo mpaka wauwaji walipokuwa wakiingia kwenye chumba cha bwana Mabhouh na kutoka baada ya kumaliza kazi wakiwa wameshika tennis rackets wakipozi kama vile wanaenda kucheza tennis.

Na mikakati na sera hizo ndizo zimewawezesha kuishi hapo na kufanya maendeleo kama taifa. Bila hivyo wasingekuwepo. Kumbuka walipotangaza taifa lao tu hapo hapo nchi za kiarabu zikajiunga na kuwavamia. Jiulize, ndiyo tu wametangaza kuanzisha taifa wakavamiwa na majeshi ya nchi zaidi ya tano kutaka kuwaondoa lkn wakashinda. Mnakumbuka vita ya siku7 na pia Yom Kipur war. Ni series of war after war. Na mnafahamu kuwa kuna nchi na makundi mengi tu lengo lao ni kuwafuta kabisa wayahudi wasiwepo duniani. Kwahiyo jinsi wanavyo behave na maisha wanayoishi ni sbb ya maadui wao na ndiyo njia pekee wanaweza kuishi na kuendelea kuwepo kama taifa.
 
ndicho nilitegemea mkuu maana story bado inahitaji kuendelezwa
Kweli, nilipanga kuandika zaidi kuna mengi sana ya kushare na wana JF wenzangu kuhusu hawa watu. Nilibanwa kidogo na shule. Nikiweka ntaku tag kwa heshma yako busegwe
 
Kweli, nilipanga kuandika zaidi kuna mengi sana ya kushare na wana JF wenzangu kuhusu hawa watu. Nilibanwa kidogo na shule. Nikiweka ntaku tag kwa heshma yako busegwe
Nashukuru kwa ushirikiano wako mkuu naisubilia kwa hamu kubwa
 
"Mparestina atafute nchi yake tu"
SASA KAMA KUNA KITENGO CHA KIJASUSI KAMA HICHI SASA MBONA WAPALESTINA HAWAISHI WANAENDELEA KUONGEZEKA NA KIWAUA WAISRAELI KILA SIKU HAUONI KUWA KUNA KI2 HAPO HEBU TUENDELEE KUONGELEA MAENDELEO YA KIINTELIJENSIA YA NCHI YE2 PENDWA TANZANIA TUACHANE NA MA-CONSPIRACY.
 
" UJINGA WA M-BONGO NDO KAMA HUU"
Kwanini Mkuu, kama mwenzako akifanya vizuri si unamsifia. Katika kila jambo kuna kuzidiana. Toa sifa inapostahili
 
 
Kwa nguvu waliyonayo was isirael ilitakiwa mpk as kusiwepo ht mparestina ht mmoja lkn nusra ya mungu ndio inawaweka mpk leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…