malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habari wakuu
Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.
Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.
Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.
Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%
Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo
Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?
Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.
Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.
Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.
Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%
Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo
Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?