Kidudu kidogo sana kuzdi hata kibamia, nifanyaje nakimbiwa

Kidudu kidogo sana kuzdi hata kibamia, nifanyaje nakimbiwa

habar ndg zng
mficha maradh kifo humuumbua,mm ni kijana wa miaka 26,nafanya kaz sekta ya utalii,toka ujana wng cjapata bahat ya kudum na mwanamke,nmekuwa nkpendwa sna na wanawake lkn kla bada ya kufanya nao tendo mapenz huyeyuka na kuachwa solemba,mpka imefka wakat nkazoea hyo hal nkawa nam na hit an run kma walvyokuwa wananfanyia wao,mpka ss nmetembea na mabnt zaid ya 60 nmechoka nahtaj wa kuoa,tatzo wengne wanasema kabsa zair nawachafua kdudu chang kdogo sna hawajapata kuona,nifanyaje na nmeshatumia dawa nyng za asil hazkunsaidia ni utapel mtupu na za kichna naziogopa?

Mjomba usifadhaike.
Tafiti nyingi zinaonyesha kuridhika kwa mwanamke wakati wa kitendo hakuna uhusiao na ukubwa wa uume wako.
Nachoona hapa ni kuwa wewe mwenyewe unajinyanyapaa.
Jarbu kuwa mbunifu na uwe unajituma.Kuna njia nyingi za kumridhisha msichana wako wakati wa kitendo na akatulia na wewe.
 
Zaidi ya kibamia ndo nchi ngapi iyo mdau?au moja na nusu ikiwa imedinda,maana kwa maelezo yko kila nkijenga picha hainijii akilini..."kidude kidogo mno hawajapata kuona"lol
Ushaambiwa kidogo
 
Tafuta mvu tembo/dondora alie hai , halafu muweke kwenye kiboksi kidogo halafu weka mashine yako humo akikuuma tu toa kitu itakua tayar baada kma wik 1. inch3
 
Inaonekana uliwahi kutahiriwa ,tumia maufund kwa sana

kuna mti mmoja sehem nyingi hasa dodoma unafahamika kama MYEGEYA...cjui kwa kiswahili wanaitaje, una matunda makubwa marefu....ulizia jinsi ya kuutumia, unaaminika kuongeza maumbile ya kiume
 
wakaka wenye vibamia wana hasira wanaweza hata wakakunyonga hahahahhahuwiiiii
yaani alafu wakishaanza kufikisha 40 zaidi ile stmina ya ujana ikipotea basi wanavisasi balaaa wananuna nuna kama nini
mkuu wewe umepata nguvu ya kuandika hapa nadhani unaelekea kulisolve tatizo lako
 
Mjomba usifadhaike.
Tafiti nyingi zinaonyesha kuridhika kwa mwanamke wakati wa kitendo hakuna uhusiao na ukubwa wa uume wako.
Nachoona hapa ni kuwa wewe mwenyewe unajinyanyapaa.
Jarbu kuwa mbunifu na uwe unajituma.Kuna njia nyingi za kumridhisha msichana wako wakati wa kitendo na akatulia na wewe.

Ur very smart.
 
habar ndg zng
mficha maradh kifo humuumbua,mm ni kijana wa miaka 26,nafanya kaz sekta ya utalii,toka ujana wng cjapata bahat ya kudum na mwanamke,nmekuwa nkpendwa sna na wanawake lkn kla bada ya kufanya nao tendo mapenz huyeyuka na kuachwa solemba,mpka imefka wakat nkazoea hyo hal nkawa nam na hit an run kma walvyokuwa wananfanyia wao,mpka ss nmetembea na mabnt zaid ya 60 nmechoka nahtaj wa kuoa,tatzo wengne wanasema kabsa zair nawachafua kdudu chang kdogo sna hawajapata kuona,nifanyaje na nmeshatumia dawa nyng za asil hazkunsaidia ni utapel mtupu na za kichna naziogopa?

tafuta hela watakufata wenyewe...
 
Ndugu, pole kwa tatizo lako la kisaikolojia.

Binafsi nnaamini kuwa hakuna mwanaume mwenye uume mdogo au mwanamke mwenye uke mkubwa.

Kila mtu ameumbwa na mtu wake, kila mtu anaye wa saizi yake, sasa utamtambuaje?

Kuna elimu ilikuwa inatolewa jandoni au kwa kuku saidia, angalia/ tafuta kitabu kinacho itwa "sexual reflexiology" kitakusaidia kujua ni yupi anakufaa.

Ukiona shida, kuna njia 3 ambazo unaweza kuzitumia ili kurefusha na kunenepesha uume wako bila kutumia madawa. Njia hizo ni;

1. Stretching.

2. Jelquing

3. Kegel exercise.

Maelekezo tafuta kwenye internet.

Kumbuka, kila mwanaume ana mwanamke wa saizi yake.


​@gagas uje na ukuuu mkuuu
 
Weka picha!

Aweke picha ya nn sasa jamani? hata mi kitu cha ni kama soseji lkn namwandaa mdada na kuhakikisha amekuwa tayari ndio.naingia na anaridhika ukickia wanvyonigombea best huwezi amini maana kuna wengine wanakitu kama chupa ya soda lkn hakuna kitu
 
Aweke picha ya nn sasa jamani? hata mi kitu cha ni kama soseji lkn namwandaa mdada na kuhakikisha amekuwa tayari ndio.naingia na anaridhika ukickia wanvyonigombea best huwezi amini maana kuna wengine wanakitu kama chupa ya soda lkn hakuna kitu

Nipe ujuzi mkuu
 
habar ndg zng
mficha maradh kifo humuumbua,mm ni kijana wa miaka 26,nafanya kaz sekta ya utalii,toka ujana wng cjapata bahat ya kudum na mwanamke,nmekuwa nkpendwa sna na wanawake lkn kla bada ya kufanya nao tendo mapenz huyeyuka na kuachwa solemba,mpka imefka wakat nkazoea hyo hal nkawa nam na hit an run kma walvyokuwa wananfanyia wao,mpka ss nmetembea na mabnt zaid ya 60 nmechoka nahtaj wa kuoa,tatzo wengne wanasema kabsa zair nawachafua kdudu chang kdogo sna hawajapata kuona,nifanyaje na nmeshatumia dawa nyng za asil hazkunsaidia ni utapel mtupu na za kichna naziogopa?

Ukitaka kula sharti uliwe mdogo, aah sina maana hiyooo
 
Back
Top Bottom