Kiev: Makombora ya Urusi yalivyowateketeza mamia ya maafisa wa NATO na Marekani

Hakuna sehemu Wanajeshi wa Marekani walikufa afu Marekani ikawa kimya, haipo haipo
 
Hi habar Ni kweli,
Ingekua Ni habar za uongo
Ukraine na zelensky wangeshajitokeza hadharani kukanusha habari hizi

Hiki kimya tangu tar 9 ni ishara ya kuchutama, wamepigwa kwny mshono
Wametatuliwa marinda haswa,🤣🤣🤣 siskii kelele za kifurushi kingine tena naona wamepoteana maana organizing team ya mashambulizi wamepewa vyeo vya marehemu fasta 😀
 
Wao Ukraine ndio wanajipooza kusingizia wagner group wameuawa ili kufunika aibu. Msemaji wa jeshi la marekani mwenyewe amekiri kuwa Russia amewasuuza na kombora lake la khinzal.
 
Hamna nyote mumeshikiliwa akili kwa kuaminishwa kuwa kushabikia udhulumaji anaofanya Putin kwamba mnaikomoa Marekani, yale maneno yenu ya death to America takbirr, hata hivyo Putin wenu huyo ameangukia pua hehehe
Ila mkuu tuache utani kwanini Ukraine walikua wanatesa watu wenye asili ya urusi? Kwanini waliamua kupiga ban lugha ya urusi? Hivi leo nchi za west africa zikiamua kupiga ban french unadhani Ufaransa atakaa kimya kweli?
 
Tatizo lako ukivaa kobazi bovu lukachomoka liliposhonewa wakati unakaa ili kurudishia ndiyo unapochomoa simu na kuandika chochote unachotamani kiwe ila unakiandika kama vile kimetokea
 
Hamna nyote mumeshikiliwa akili kwa kuaminishwa kuwa kushabikia udhulumaji anaofanya Putin kwamba mnaikomoa Marekani, yale maneno yenu ya death to America takbirr, hata hivyo Putin wenu huyo ameangukia pua hehehe
Mbona unanipakazia wakati mimi ni Shabiki wa USA anatetea demokurasia na kupinga udikteta ?
 
[emoji298]️“The managers of the banks will be fired, Biden noted, and investors will lose money.”

'They knowingly took a risk, and when the risk didn't pay off his adjusters lose their money. That's how capitalism works,' Biden said
 
Hi habar Ni kweli,
Ingekua Ni habar za uongo
Ukraine na zelensky wangeshajitokeza hadharani kukanusha habari hizi

Hiki kimya tangu tar 9 ni ishara ya kuchutama, wamepigwa kwny mshono
Mkuu wakati mwingine tujaribu kuwa wadadisi kidogo, ndani ya habari iliyoandikwa kwa kingereza hakuna sehemu ata moja inayotaja neno NETO au USA sasa unasangaa mtoa Mada ameinukuu kutokea wapi au ni zile habari za kutuliza hasira.
 
Ila mkuu tuache utani kwanini Ukraine walikua wanatesa watu wenye asili ya urusi? Kwanini waliamua kupiga ban lugha ya urusi? Hivi leo nchi za west africa zikiamua kupiga ban french unadhani Ufaransa atakaa kimya kweli?

Hizi ni ngonjera mnazotumia kutetea udhulumaji wa Putin, mlianza kusema Ukraine ina mashoga, mara lugha ya Urusi inafutwa, mara inajiunga NATO, sasa Urusi imekwama haijui inatokaje kwenye huu ugomvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…