Mimi sijuiKwanini wakazi wa dar wanaagiza mizigo/magari bandari ya mombasa? ukipata jibu ndo jibu la swali lako.
Aisee taarifa yenye kufikirisha watendaji hiyo kwa Kusafiri wa anga.Ndege hizo za mizigo haibebi maua pekee hivyo kushuka KIA nu hasara kwani hatuna mizigo mingine ya kubebwa na ndege
Siku hizi hata sangara wanapitia Enttebe kwa sababu hiyo hiyo
Jomo Kenyatta Airport kuna budget airlines thelathini zinatua kila siku KIA ,Mwanza hakuna hata moja,na JNIA sidhani zinafika hata tano
Dadavua kidogo.Ni kwa sababu yanauzwa kupitia european middle men
Haya mwerevu mwenye akili hivi huo uwanja ulioutaja hapo juu Health law International Airport ndiyo uko nchi gani?Acha ujinga wewe, Jomo Kenyeta International Airport ni ya 100 kwa huduma za ndege duniani. Kila baada ya dk 15 ndege 4 kubwa zinashuka na 4 zinapaa kila siku. Oriva Tambo Johs wenyewe kila baada ya dk 15 ndege 10 zina land 10 zina take off. Uwanja unaongoza kwa shughuli duniani ni Health law International Airport. Kila baada ya dk 15 ndege 50 zinaland 50 zina took off. Sasa ndio unaweza kuufananisha na KIA au? Ikiwa hata DIA wenyewe hauifikii JKIA.
Nilirudi kwenye point yako ya kijinga, KIA ina ndege ya moja kwa moja kwenda Abroad pale, au unajua yale maua yanaenda kuuzwa Kisumu nini? Acheni chuki na wivu wa kitoto, eti ukiongea hivyo basi nani unategemea asikie eti aulize au akataze kupeleka JKIA utakufa maskini ndugu yangu, kama hata vitu vidogo hivyo vinakusumbua.
Kwahiyo Kuna u muhimu wa kuwa na Shirika la ndege la nchi husika kuwa strong ili kusaidia hata biashara kama hizi.Ngoja nikuongezee kidogo, Kenya vilevile ina ndege zake zinaenda moja kwa moja abroad!!
Kabisa na huo ni ukwelitatizo hapa lipo na jibu lake hata wewe mtoa hoja unalo,serikali yetu bado ipo nyuma mno katika kutengeneza mazingira ya kuwafanya raia wake wawe na uwezo wa kufikia malengo yao ya kujiendeleza,tembelea pale KIA na sio rocket science angalia huduma zao ,na chunguza hilo suala la maua je wana mazingira yanayoruhusu biashara hiyo kufanyika,mfano je wana fridges zinazokidhi utunzaji wa maua,je fumigation yao ipo vipi?customs inasaidia na kushauri wafanya biashara hiyo ya maua,ukipata majibu then utaelewa why maua ya Arusha yanapelekwa kwanza Kenya,au why machungwa ya Muheza yanavushwa Kenya kwanza kabla ya kupelekwa Dubai;masuala ya uchumi wa nchi ikiingiza siasa za uchwara matokeo yake tutayaona muda sio mrefu.
UK London!! Unajua ulikuja na maneno ya kukaa Arusha miaka 10, sio hoja. Mtu anaweza kaa siku moja, akaomba historia ya hiyo biashara akaambiwa kuwa tangu zamani, iko hivyo. Usihofu ili ni jamvi la kuelimishana, kufundishana, kuonyana na nk.Haya mwerevu mwenye akili hivi huo uwanja ulioutaja hapo juu Health law International Airport ndiyo uko nchi gani?
Ndio haisaidii biashara hizi tu, itasaidia hata wafanya biashara wengine. Tena hata kuwa na Meli ya mizigo ndio suala muhimu sana kwa nchi, maana itakuza za uchumi.Kwahiyo Kuna u muhimu wa kuwa na Shirika la ndege la nchi husika kuwa strong ili kusaidia hata biashara kama hizi.
Kama ukweli unageuka negative basi acha na iwe hivyo.Hebu kuwa na mawazo positive mtanzania wewe.
Mkuu, hapana hilo sula la middle men nalikataa, kwa sababu hizi:-Ni kwa sababu yanauzwa kupitia european middle men
Ipo research iliyofanywa kuhusu biashara ya maua hapo Arusha...na walisema hayo ya middle men.Mkuu, hapana hilo sula la middle men nalikataa, kwa sababu hizi:-
Suala la biashara yoyote, licha ya kwamba si mtaalamu sana, kabla ya kumfikia mlaji ina watu watatu. Mkulima, mfanyabiashara wa kati,mkubwa na mlaji. Sasa huyo wa kati ndio wengi wetu tunamuita middle men, lakini kwa ukweli sio. Yeye anakuwa na nguvu ya ushawishi na hela kidogo sana, hela nyingine ataipata kwa mfanyabiashara mkubwa, ambaye yeye atapeleka kwa mlaji moja kwa moja.
Hebu kuwa specific...ni kodi zipi hizo?Serikali iboreshe mazingira ya biashara ipunguze tozo na kuondoa ushuru usio wa lazima ndio ndege zitakuja hapo hakuna bla blah....
HIlo ndilo ambalo Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) chini ya Bwana Hamza Johari wanakutana sasa kujadiliNimekaa Arusha miaka mingi kikazi na eneo la Arumeru kina ma Lab hall makubwa ambayo ni mashamba makubwa ya maua.
Cha ajabu maua Karibu yote yanasafirishwa kupitia kiwanja cha ndege cha Kenya Jomo Kenyatta wakati tuna kiwanja kizuri tu pale Kilimanjaro cha KIA
Tatizo ni nini KIA haitumiki kusafirisha maua kwenda Ulaya kutoka mashamba ya Arusha?
Niliwahi kusikia tuna wataalam wachache wa air yaani Air Technicians!! Ilitolewa na Waziri Prof Mbarawa!
Usafirishaji wa maua sio wa leo wala Jana lakini kwanini wataalam wameshindwa kutumia KIA kwani Kuna upungufu gani kiwanjani hapo!?!
Au kuna watu wana maslahi na usafirishaji hayo maua huko Kenya?
Acha ujinga wewe, Jomo Kenyeta International Airport ni ya 100 kwa huduma za ndege duniani. Kila baada ya dk 15 ndege 4 kubwa zinashuka na 4 zinapaa kila siku. Oriva Tambo Johs wenyewe kila baada ya dk 15 ndege 10 zina land 10 zina take off. Uwanja unaongoza kwa shughuli duniani ni Health law International Airport. Kila baada ya dk 15 ndege 50 zinaland 50 zina took off. Sasa ndio unaweza kuufananisha na KIA au? Ikiwa hata DIA wenyewe hauifikii JKIA.
Nilirudi kwenye point yako ya kijinga, KIA ina ndege ya moja kwa moja kwenda Abroad pale, au unajua yale maua yanaenda kuuzwa Kisumu nini? Acheni chuki na wivu wa kitoto, eti ukiongea hivyo basi nani unategemea asikie eti aulize au akataze kupeleka JKIA utakufa maskini ndugu yangu, kama hata vitu vidogo hivyo vinakusumbua.
"ma lab hall" , ndo nini?a ma Lab hall makubwa ambayo ni mashamba
Ukipandisha ua rose kwenye bombardier likifika London limemong'onyoka na linanuka moshi