Kifahamu kilimo cha maua

KIA hakuna cold storage facilities
 

AN
au na hapo tumwite raisi aingilie kati alafu tudaiwe fidia

Anataka aseme kuanzia sasa maua yatasafirishwa kwa ndege mpya
 
Tutampeleka Kabudi
 
KIA route ni chache tofauti na Nairobi kwenda Europe navyodhania
 
Kwani izo Cold Room {[emoji300]} ni bei ngapi mpaka KIA washindwe kuwa nazo
 
Tupo nyuma kwa kila kitu, but why. Our foundation of our nation was not right. A nation without a good foundation meaning good Katiba ya nchi which brings good governance siku zote nchi itayumba. Unfortunately I don't know when we are going to come out of this mess that were created by our past leaders. I just feel sorry for our children because they will end up being refugees in future if now as a nation we can not sit down and try to find the way out of this situation. CCM must re evaluate itself because can not escape our blame for making our country like this.
 
OK nadhani watakuja na mpango mikakati mzuri
 
Hivi Boing 777 inauwezo wa kutua hapo KIA?? Magufuli badala ya kupanua uwanja wa KIA ili kuendana na ushindani wa kibiashara.. Yeye kaenda kutengeneza uwanja Chato..... Wacha wakenya watupige za uso MK254

Cc barafu
KIA ina uwezo wa ku accomodate B777 na zaidi....
 
KLM hizo ni ndege za Nederland's au Uholanzi. Zikitoka JKIA zinatua moja kwa moja Ulaya, haziitaji tena connection. Lakini ikija KIA inaweza ikarudi tena JNIA, lakini lazima iende Johs au Nairobi kufanya connection ndio iondoke moja kwa moja.
KLM...Amsterdam-KIA-JNIA- Amsterdam..
SWISS....JKIA-JNIA-ZURICH...
 
"ma lab hall" , ndo nini?
HUYU HAJUI ZILE ZINAITWA GREEN HOUSES ILA NI MTAALAM KWANI AMEYAITA MAUKUMBI MAABARA. MJANJA SANA SAFII KWANI ANAONA WATU WANQVYOZUILIWA KUINGIA HOVYO NK
 
KIA beaurocracy ni kubwa na airlines zinazotua hapo kwa time yakusafirisha c rafiki Kenya airline's ni nyingi na ni za direct hakuna mtu anataka kufanya biashara kichaa watalii wenyew wanatumia Kenya kuja Tz

Ubinafsi na ujinga wa viongoz wetu ndo chanzo wanajua na kuona KIA geographical ni nzuri kuliko JKNI kiuchumi kwanini wasiiprove standard ya KIA ifanane na Jomokenyata tuwe na direct flights nyingi kama kenya eti anaenda kujenga chato shit flights zitaenda kusafirisha viazi uko bora hata angeifanya mwanza airport ikawa kwenye standard nzuri
 
We jamaa health law ndio nini?
 
KIA ina uwezo wa ku accomodate B777 na zaidi....
Nakumbuka mwaka 2009 nilipita pale nikakuta kuna Ethopia Air... Kuna wahudumu wa pale tukawa tunawauliza maswali..... Kuhusiana na uwezo wa huo uwanja kupokea ndege kubwa wakatuambia mwisho wa ndege kubwa kushuka hapo inabeba watu 700, zaidi ya hapo zinashukia dar sijui kama walikuja kuupanua, au ndiyo hizo walizo zitaja hapo juu 777 na airbuss etc....
 
Umepanuliwa...una uwezo wa Kuchukua B747 na Ant 124 na A380..KLM kwa sasa wanaleta B777...nadhani KIA runways ni kubwa kuliko JNIA..
KIA..runways..3600 M, upana 45M,JNIA..3000M upana 46M...
 
..awapanulie uwanja kaskazini wafaidi!!!.we!!acha kabisa hiyo hadithi...labda ungesema apanue wa mwanza....uliza kwanza kwenye viongozi wake anaowateua wangapi wanatoka kaskazini??jibu utalipata... Ukiona kipya kinafanyika huko kaskazini jua ni hitimisho la mipango ya huko nyuma enzi za kina jk....Fanya utafiti utanisoma...

Hivi Boing 777 inauwezo wa kutua hapo KIA?? Magufuli badala ya kupanua uwanja wa KIA ili kuendana na ushindani wa kibiashara.. Yeye kaenda kutengeneza uwanja Chato..... Wacha wakenya watupige za uso MK254

Cc barafu
 
Nakumbuka Kuna ushauri fulani aliwahi kuutoa Mh Mbowe kuhusu uwanja wa KIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…