realpatriot
Senior Member
- May 28, 2009
- 116
- 76
Maelezo mazuri asante! Issue ni je soko liko wapi? Wengi wamekichukia kilimo kwa sababu hizo! Anaambiwa zao fulani zuri, lina pesa & demand kubwa analima! End of the day hajui solo liko wapi anaishia kukata mtaji wake!
This is soooo true UKWELI MTUPU HUU maana kumekuwepo na kuingia katika kilimo kwa kufuata mkumbo ama kulima kwa mazoea...hii imeshapitwa na wakati kama inawezekana kwanza tafuta masoko then pia kama unaweza ingia katika mkataba na hiyo kampuni then ndio uingie shamabani...