Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Ok kwahyo hata sisi wa huku nanjilinji tunahudumiwa?.ofisi ipo Kwa maelekezo piga 0712842283
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok kwahyo hata sisi wa huku nanjilinji tunahudumiwa?.ofisi ipo Kwa maelekezo piga 0712842283
Kwani maelekezo ya ofisi zilipo ni mpaka Nipige simu.Kwann usielekeze hapa moja kwa moja.??Nashindwa kuelewa ugumu wa wewe mwenye ofisi na uliyeleta tangazo hapa ili usaidie watu lakini kuelekeza ofisi mpaka Nipige simu!!ofisi ipo Kwa maelekezo piga 0712842283
Popote at a Kama upo marekani mkuu mradi kuwe na mtandao wa internet tuOk kwahyo hata sisi wa huku nanjilinji tunahudumiwa?.
soma vizuri tangazo mkuu tunagusa pote hatujaacha mahaliMmeengemea upande wa MTK tu kwanini??
mkuu tatizo lako alihusiani na Simu nikisoma comment yako ya mwanzo Una kitu kingine cha tofauti Kwa jinsi nilivyokuelewa ndio maana nikakwambia utucheck Kwenye # hyoKwani maelekezo ya ofisi zilipo ni mpaka Nipige simu.Kwann usielekeze hapa moja kwa moja.??Nashindwa kuelewa ugumu wa wewe mwenye ofisi na uliyeleta tangazo hapa ili usaidie watu lakini kuelekeza ofisi mpaka Nipige simu!!
Sory,umeninukuu vibaya,Bado sijaweka tatizo la simu yangu ingawa tatizo lipo na ninapokaa sio mbali na magomeni so nataka nifike ofisin kwenu moja kwa moja.mkuu tatizo lako alihusiani na Simu nikisoma comment yako ya mwanzo Una kitu kingine cha tofauti Kwa jinsi nilivyokuelewa ndio maana nikakwambia utucheck Kwenye # hyo
Nataka kumu-unlock mke wa mtu.. Mnafanya sh. Ngap
Imelockiwa na O2 ,UKunajua imelockiwa na mtandao gani mkuu?Kama hautambui nicheck Kwenye # 0712842283 ili unitumie imei # nikucheckie Kwenye server imelockiwa na mtandao upi na gharama
fake inawezekana ila hawatengenezi mobisol inakuwa watu wabaya wenye nia ya kuiharibia kampuni jina/kutembelea Nyota za wenzao kingine inawezekana Simu ilikuwa ya wizi ukanunua Kwa MTU aliyeenda kuzibadili pia at a Kwenye kuflash kuna baadh ya mafundi wanatumia bin file kwahyo zinahama na imei namba badala ya kutumia scatters files kuna sababu nyingi..Ila Kwa upande wetu hatudeal na Simu zilizofungiwa utusamehe Kwa hilo na karibu Kwa huduma nyingine.Kuna simu MOBISOL wakati TCRA wanazima feki yenyewe haikuzimwa...ila IMEI nilikuwa nikihakiki zinakuja tofauti...
Na hawa MOBISOL ni kampuni kubwa... hivi wanaweza tengeneza simu feki?
Je hii mautundu yake unayaweza mkuu?
hiyo huduma hatuna mkuu nadhani umesoma vizuri tangazo letuNataka kumu-unlock mke wa mtu.. Mnafanya sh. Ngap
umesomeka mkuu Magomeni Kagera!karibuSory,umeninukuu vibaya,Bado sijaweka tatizo la simu yangu ingawa tatizo lipo na ninapokaa sio mbali na magomeni so nataka nifike ofisin kwenu moja kwa moja.
sawa mkuu Ila usitume hapa imei zako watu wanaweza wakazichukua na kutumia vibayaImelockiwa na O2 ,UK
Ngoja nikutumie imei
Nashukuru sn,hapo nimeelewaumesomeka mkuu Magomeni Kagera!karibu
Kama hii naona haijafungiwa iko fresh tu. Ila IMEI ndio nilicheki ikaleta tofauti...fake inawezekana ila hawatengenezi mobisol inakuwa watu wabaya wenye nia ya kuiharibia kampuni jina/kutembelea Nyota za wenzao kingine inawezekana Simu ilikuwa ya wizi ukanunua Kwa MTU aliyeenda kuzibadili pia at a Kwenye kuflash kuna baadh ya mafundi wanatumia bin file kwahyo zinahama na imei namba badala ya kutumia scatters files kuna sababu nyingi..Ila Kwa upande wetu hatudeal na Simu zilizofungiwa utusamehe Kwa hilo na karibu Kwa huduma nyingine.
15090Kama hii naona haijafungiwa iko fresh tu. Ila IMEI ndio nilicheki ikaleta tofauti...
Ebu nikumbushe ule utaratibu wa TCRA nijidhiridhishe tena ndio nikucheki mkuu.....nikiwa na lugha au tatizo sahihi
Sijui IMEI kwenda no 150...ngapi ngapi nimesahau!!
sawa mkuuNashukuru sn,hapo nimeelewa
sawa mkuu