SOFTWARE kifanye kifaa chako kitumie line za mitandao yote Kwa bei poa

SOFTWARE kifanye kifaa chako kitumie line za mitandao yote Kwa bei poa

Safari ni ndefu...elekeza watu ofisi ilipo, haina maana nasoma post halafu nikupigie ili unielekeze ulipo!!! Kama anuani ya mtaa IPO elekeza, unawezakuta nipo karibu sana na ofisi na kuniwezesha kufika halo bila kupoteza muda wala gharama!!!
 
Unapatikana wapi Mkuu kesho nikutafute
 
Mkuu nna moderm ya sasatel nataka itumie lain za tanzania vp inawezekana kwa gharama ngapi
 
Back
Top Bottom