Haya aende south africa.Zari kamponza... madale imevamiwa na team wema kina lokole.... família imegawanyika wapo wanaomtaka zari wapo wanaomtaka wema.... Kifesi alikuwa team zari
Ushauri akautolea insta,kama kweli Diamond ni rafiki yake angemfata personal.Hivyo vingine ni kimbelembele.alijaribu kutoa ushauri hana ubavu wa kumchagulia
Kwa nini?Nafuuu
Hapo upande wa kutompendeza Mungu nahisi atakuwa msabato hivyo basi ina maana alikuwa anafanya kazi hadi siku yake ya kuabudu... Wasabato nao wana misimamo sanaMmh kumbe WCB wanaishi maisha yasiyo ya kumpendeza Mungu?!!
Wasabato wanamisimamo ya ajabu,yaani hawa chuoni test ikiwekwa jumamosi hayo makelele yake mpaka test inapangiwa siku nyingine na ndio maana si shangai ,ila kwakua ameamua kujiajiri ni swala zuri.Hapo upande wa kutompendeza Mungu nahisi atakuwa msabato hivyo basi ina maana alikuwa anafanya kazi hadi siku yake ya kuabudu... Wasabato nao wana misimamo sana
Ni mtanzania laizer,napafahamu hadi kwao,na mzee wake namfahamu,kwao ni kigoma,,mkuu acha upotoshaji,,laizer nimesoma hadi na mdogo wakembona Laizer sio mtz hilo huzungumzii
watu wengine ni watu wa hovyo hovyo sana
Kuna mama alikuwa msabato askari polisi mwaka 2008 akaacha kazi akaanza kuuza mchichaWasabato wanamisimamo ya ajabu,yaani hawa chuoni test ikiwekwa jumamosi hayo makelele yake mpaka test inapangiwa siku nyingine na ndio maana si shangai ,ila kwakua ameamua kujiajiri ni swala zuri.
Kaelewa anacho hitajiKwa nini?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kaelewa anacho hitaji
Wapi sasa?[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ni hatari sana wale watu.... Kwahiyo kama atajiajiri itakuwa vizuri labda ataanza kuitunza siku yao ya kuabuduWasabato wanamisimamo ya ajabu,yaani hawa chuoni test ikiwekwa jumamosi hayo makelele yake mpaka test inapangiwa siku nyingine na ndio maana si shangai ,ila kwakua ameamua kujiajiri ni swala zuri.