Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaahahahaaaa yani wewe mxyuuuJaman binamu niache, mda mchache mambo mengi , unajua nshasahau hata kama nilimsifia jana , yan umbea huu 🤣🤣🤣
Nyie wanaume wa Dar hiyo audio mnayoisema ipo wapi??[emoji23][emoji23] kifesi ana sauti sijui niseme ya kizembe sijui ya kisukuma ileee tofauti kabisa na sauti inayosikika kwenye ile audio.
Jana alisema Kuwa jamaa ni handsome ... leo anamponda kisa tu ameikana sauti yake ...We si umemfungulia uzi wampenda kuliko tena.. jamani
Analiwa huyuuuu hilo halina mjadalaaaHivi Kapiga naye hajirekebishi? Kwanini yeye ndio zimtokee kashfa za kupigwa MITI aka MIKURUNGE?
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Alikula sana Sadaka yangu yule Mzee tangu yupo Ubungo Maji to Kawe to ubungo Maji again....ala ile ishu ya Kumla mwimbaji kwaya wake ndo nilahamua kurudi Roman kwa unyenyekevuuu.
Naona hauna connection tehHebu tuipate hii audio kidogo kwa sie vilaza wa umbea, wa mwisho kwenye darasa la umbe, tunaoburuza mkia hata kwa kupiga chabo..
Tuwekeeni hii audio.
hebu fanya hivyo basi mzee mwenzangu nikusifu.Naona hauna connection teh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti kifesi kaikana voice note yake... Hata gwajiboy kaikana sura yake mwenyeweUnajua kifesi kwenye ile Audio alikua anampa mtu umbea tu kwenye simu , hakujua kama anarekodiwa, so akawa anaropoka umbea wote, hata nahis baadhi ya mambo alikua anaficha, Ila hawa watakua tu wamefanyana na kuna sehemu walipishana kiswahili Ndo mambo yakatindinganya.
Kifesi ile sauti ni yako bwana usikatae, eti sasa hvi unajifanya kuweka kibez hili utuchanganye wanazengo.
Na nasikia kumbe Ndo michezo Yenu na kapiga , na haujamjua Jana wala Leo , yani mnaenda kufanya ujinga uko mnapewa pesa halafu baadae mnaenda kupiga umbea kwa watu eti kakubaka, na sura ilivyokukomaa wewe akubake nani ?
Na nasikia sio kapiga tu ndo michezo yako kumbe na wewe, mi nilikua nakutetea mxiew zako mtu mzima hovyo
Warumi anabadilika badilika kama Kinyonga .We si umemfungulia uzi wampenda kuliko tena.. jamani
simara mtoto mzurIle sauti sio ya kifesi ....kifesi ana sauti flani hivi.... anaongea kama ana meno mabovu mdomoni.