Kifesi: Sina mazoea na Harris na ile sauti sio yangu

Kifesi: Sina mazoea na Harris na ile sauti sio yangu

[emoji23][emoji23] kifesi ana sauti sijui niseme ya kizembe sijui ya kisukuma ileee tofauti kabisa na sauti inayosikika kwenye ile audio.
Nyie wanaume wa Dar hiyo audio mnayoisema ipo wapi??
 
Hebu tuipate hii audio kidogo kwa sie vilaza wa umbea, wa mwisho kwenye darasa la umbe, tunaoburuza mkia hata kwa kupiga chabo..

Tuwekeeni hii audio.
 
Majasusi wanajifunza kupitia ubuyu,afunga wewe si she, nakupenda sana
 
Alikula sana Sadaka yangu yule Mzee tangu yupo Ubungo Maji to Kawe to ubungo Maji again....ala ile ishu ya Kumla mwimbaji kwaya wake ndo nilahamua kurudi Roman kwa unyenyekevuuu.
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Unajua kifesi kwenye ile Audio alikua anampa mtu umbea tu kwenye simu , hakujua kama anarekodiwa, so akawa anaropoka umbea wote, hata nahis baadhi ya mambo alikua anaficha, Ila hawa watakua tu wamefanyana na kuna sehemu walipishana kiswahili Ndo mambo yakatindinganya.

Kifesi ile sauti ni yako bwana usikatae, eti sasa hvi unajifanya kuweka kibez hili utuchanganye wanazengo.

Na nasikia kumbe Ndo michezo Yenu na kapiga , na haujamjua Jana wala Leo , yani mnaenda kufanya ujinga uko mnapewa pesa halafu baadae mnaenda kupiga umbea kwa watu eti kakubaka, na sura ilivyokukomaa wewe akubake nani ?

Na nasikia sio kapiga tu ndo michezo yako kumbe na wewe, mi nilikua nakutetea mxiew zako mtu mzima hovyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti kifesi kaikana voice note yake... Hata gwajiboy kaikana sura yake mwenyewe
 
Dar kuna mastaa wa ajabu sa uyo @kifesi ndo nani wa mikoani hatumjui
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom