Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh!JamiiForums sasa linataka kugeuzwa jukwaa la kuwachafua watu. Moderator, Paw na Invisible liangalieni hili
mbashite,anaongea km kajazwa ute wa mayai mdomoni[emoji23][emoji23] kifesi ana sauti sijui niseme ya kizembe sijui ya kisukuma ileee tofauti kabisa na sauti inayosikika kwenye ile audio.
sasa hivi ana sura iliyokomaa tena? 😂 😂 😂na sura ilivyokukomaa wewe akubake nani
😂 😂 😂Hata sielew na stoki hapa mpaka kieleweke
sasa hivi ana sura iliyokomaa tena? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile sauti sio ya kifesi ....kifesi ana sauti flani hivi.... anaongea kama ana meno mabovu mdomoni.
Pole mkuuWanafiki nyie mxiee kujifanya wakati umbea mnapenda, hiv Kwan mnaitwaga au mnawashwa. Ebu nitoleen uchuro wenu mxiee
Kazi kwelikweli Kisura nae kaipanchi audio yake kama alivyofanya Baba Askofu Gwajima
Gwajima kaja na hoja kwamba ule mkono ni Wa Baunsa ila hajatutajia je ni mkono Wa baunsa wake ama nn?,Kajifanya mtaalamu Wa mambo ya Video na Animated picture kasahau kwamba ukisogelea kamera ni kama unajizoom vile...
Yani gwajima kiboko , aiseh Yule mchungaji ni wa aina yake, pure devil and he doesn't hide