Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Aiseee....ulimwengu zaidi ya uujuavyo ""Apo kuna siri kwa nini afe kwenye mV BUKOBA na alikuwa anajiandaa kulipua ubalozi wa marekani apo kuna kitu nyuma ya pazia mkuu
Asante kwa uzi huu
Huyo afisa dadeki zake walahi!Naanza Ku connect dots. Baada ya ajali kutokea, kulikua na theories nyingi za jinsi ya kuwaokoa watu waliokuwamo melini mojawapo ni kuivuta meli kwa kutumia Cranes za Kamanga na Nyehunge hadi kina kifupi and then igeuzwe na watu kuokolewa.
Lakini ghafla akatokea Afisa Usalama aliyeagiza kuwa meli itobolewe ili kuwatoa watu waliokuwa wakigonga bati kwa ndani kuonesha kuwa wako hai.
Kitendo cha kutoboa meli ndicho kilochokamilisha zoezi la kuzama kwa meli hiyo.
It is very sad.
Inna Lillahi Wainnaillaihi Rajiuna.
Ila Hawa watu(waarabu,wadosi na wazungu) kwa Sasa siwaamini hata iweje,naanza kuvuta picha unakuta mwaarabu kujificha kijijini kabisa, nakumbuka miaka ya 1990+ unakuta Kila mwezi waarabu wanatuzuga wanaenda kuwinda anaingia ijumaa anarudi jtatu na nyama ya nyati,kumbe zuga tu wanaenda kuwinda tembo na kuchukua pembe,mie ngozi nyeupe yeyote iliyopo nchini naamini ni gaidi au jasusiHaHa h! Wakati huo vyombo vyetu havikuwa competent sana. Nakumbuka FBI ingawa ni shirika la ndani la US, lakini walikuja Tanzania kuwatafuta Al Qaeda.
Intelijensia ya Al Qaeda ni world class. Na jambo lingine walikataa kutumia "usasa", mfano Osama Bin Laden aliacha kutumia simu tangu 1997 hadi anakufa.
Inawezekana ILIZAMISHWA nae?Apo kuna siri kwa nini afe kwenye mV BUKOBA na alikuwa anajiandaa kulipua ubalozi wa marekani apo kuna kitu nyuma ya pazia mkuu
Asante kwa uzi huu
Wewe yeye sizani kama alifanya ivyoInawezekana ILIZAMISHWA nae?
Ha haa! Mkuu hii habari ukitaka utaipata tu ili mradi unatumia smart phone. Nakiri kukosea hapo kwenye direction lkn it is true story.Ndivyo ilivyo hadithi za kutunga lazima kuna sehemu atajichanganya
HaHa h! Wakati huo vyombo vyetu havikuwa competent sana. Nakumbuka FBI ingawa ni shirika la ndani la US, lakini walikuja Tanzania kuwatafuta Al Qaeda.
Intelijensia ya Al Qaeda ni world class. Na jambo lingine walikataa kutumia "usasa", mfano Osama Bin Laden aliacha kutumia simu tangu 1997 hadi anakufa.
Bila simu Osama alikuwa anawasiliana vipi?HaHa h! Wakati huo vyombo vyetu havikuwa competent sana. Nakumbuka FBI ingawa ni shirika la ndani la US, lakini walikuja Tanzania kuwatafuta Al Qaeda.
Intelijensia ya Al Qaeda ni world class. Na jambo lingine walikataa kutumia "usasa", mfano Osama Bin Laden aliacha kutumia simu tangu 1997 hadi anakufa.