macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Theory yako haina mashiko hata kidogo. Kipi kigumu kati ya hivi: 1. Kuzamisha meli yenye watu 1000 ili mtu mmoja afe 2. Kumfuatilia mtu mmoja na kumuua.Nimewaza hivyo pia. Inawezekana marekani ndo walizamisha meli wampoteze huyo mtu.