We can easily forgive a child who is afraid of the dark; the real tragedy of life is when men are afraid of the light. – Plato
Kwani matendo ya Osama dhidi ya walioteketea kwenye madege na majengo ilikuwa sahihi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We can easily forgive a child who is afraid of the dark; the real tragedy of life is when men are afraid of the light. – Plato
Unaonyesha wazi ya kuwa hujamuelewa mtoa mada. Mtoa mada hakatai ya kuwa Baghdad hajafa,anajua kweli amekufa ila sio hivi karibuni kama tulivyotangaziwa.... mbona ni simple tu; kama hajafa, huyo al-Baghdadi atokee kwenye TV japo kwa sekunde moja aseme tu "hi". Otherwise, unaota ndoto za mchana; al-Baghdadi is dead an will never be seen again forever and ever!
KaribuUnaonyesha wazi ya kuwa hujamuelewa mtoa mada. Mtoa mada hakatai ya kuwa Baghdad hajafa,anajua kweli amekufa ila sio hivi karibuni kama tulivyotangaziwa.
Mimi tu kuna swali moja tu ambalo nataka kumuuliza mtoa mada.
“Those who are able to see beyond the shadows and lies of their culture will never be understood, let alone believed, by the masses.”
― Plato
Huyo "Abuu Du'a" ndio "Khatib al Baghadad" sio ?Karibu
Huyo "Abuu Du'a" ndio "Khatib al Baghadad" sio ?
Kwanini wametumia "Kuniya" au "Lakabu" kumtambulisha huyo "Wanted" ?
Nani kakuambia kwamba ni Osama ndiy aliye lipua yale majengo?Kwani matendo ya Osama dhidi ya walioteketea kwenye madege na majengo ilikuwa sahihi?
Kwahiyo yule aliyekaa na McCaine ni Abuu Du'a ?Utaona picha zilizo sambaa kwenye mitanda, hasa picha yake akiwa na McCaine, halafu picha akihutubia msikitini na hii inayo onesha sasa hivi wakiripoti kifo chake ni picha za watu watatu tofauti.
Jibu kwa maneno yako.“Those who are able to see beyond the shadows and lies of their culture will never be understood, let alone believed, by the masses.”
― Plato
Nani kakuambia kwamba ni Osama ndiy aliye lipua yale majengo?
Pata shule kwanza:
![]()
USICHO KIFAHAMU KUHUSIANA NA VITA DHIDI YA UGAIDI Pt 1
freemasoni, freemasonry, illuminanti, Tanzaniasalimmsangi.blogspot.com
Hujui Intelligence nahisi ungesoma kuhusu Tom Clancy's Novel, ungeelewa nini CIA wanafanya.Inawezekana ikawa anajua zaidi kwan CIA Ndio Nani
C ndio hao walio iaminisha dunia kama IRAQ Kna Silaha za Maangamizi Ila Sinc 2000s zinataftwa mpaka ss na hazijaonekana na si kama hazijaonekanika 2 lkn pia IRAQ Haifai
'KIPINDI AMBACHO ULIMWENGU UMEZAMISHWA KATIKA UJINGA NA UWONGO, KUSEMA UKWELI NI JAMBO LA KIMAPINDUZI (GEORGE ORWEL)
kati ya majina mengi waliyo kuwa wakiyatumia kumtambulisha, hilo nalo lilikuwa kwenye list.Kwahiyo yule aliyekaa na McCaine ni Abuu Du'a ?
Povu la nini?Nawewe unajiona mkweli? Mnafiki mkubwa
Unajificha kwenye kuokota mapishi ya propaganda walizoandaa wenzako unajifanya mkweli?
Ona aibu
Kwa maana hiyohiyo uliotumia kumtetea osama
Ulimuona Bush Au uliona Obama akimuuwa osama?
Au umemuona Trump akimuuwa yeyote
Stop these cheap propaganda
[/QUO
Umepitia hiyo blogi, sababu, hiyo mada ina post nne, ambazo kama ukiamua kuzipitia huenda ukazimaliza kesho asubuhi, sababu ni 'academic paper' zikiwa na reference za kutosha. Na hakuna mahala nimemtetea Osama, na kama ni msomaji wa posti zangu, sijawahi kuwa upande wa hao wanao itwa 'magaidi' au uapnde wa wale wanao waita wenzao magaidi, na wala siyo 'neutral', lakini nikieleza ukweli wa mambo kwa reference na ushahidi.
Kinacho nishangaza ni vile watu wapo tayari kushadadia uwongo hata fact zikiwa mbele yao na zaidi watu hawasomi wala kudadisi, sababu kama ungesoma kwa mazingatio nilicho andika hapa, nilicho andika kwenye hiyo blog, nadhani ungekuja na mawazo tofauti.
Great mind read books ...
You own right to your opinionJibu kwa maneno yako.
Quotes have never done any man any good.
Very strange reaction, kwa msomi ambacho angefanya ni kuja na hoja zinazo thibitisha eidha source nilizo taja siyo sahihi, au siyo realiable, na kuja na vyanzo, ushahidi na hoja kuthibitisha zako, lakini kusema ni propaganda, au oppenents from USA, hausaidii, inakuwa ni maoni yako ambapo ni sawa, lakini kama uzi huu umetaja vyanzo vya taarifa huwezi pinga kwa maoni bali kwa vyanzo na ushahidi.Hujui Intelligence nahisi ungesoma kuhusu Tom Clancy's Novel, ungeelewa nini CIA wanafanya.
Huyu jamaa kaleta propaganda za opponents from USA.
Naifaham deeper kuliko unavyo fikiri, ninayo paper nimeandika kuhusiana na hiyo mada, ila kwa aina hii ya 'attitude' na 'way of thinking' niki uweka hapa tutapata tabu kuelewana.Hujui Intelligence nahisi ungesoma kuhusu Tom Clancy's Novel, ungeelewa nini CIA wanafanya.
Huyu jamaa kaleta propaganda za opponents from USA.
Bull crap!Very strange reaction, kwa msomi ambacho angefanya ni kuja na hoja zinazo thibitisha eidha source nilizo taja siyo sahihi, au siyo realiable, na kuja na vyanzo, ushahidi na hoja kuthibitisha zako, lakini kusema ni propaganda, au oppenents from USA, hausaidii, inakuwa ni maoni yako ambapo ni sawa, lakini kama uzi huu umetaja vyanzo vya taarifa huwezi pinga kwa maoni bali kwa vyanzo na ushahidi.
Saying so doesn't make so.Naifaham deeper kuliko unavyo fikiri, ninayo paper nimeandika kuhusiana na hiyo mada, ila kwa aina hii ya 'attitude' na 'way of thinking' niki uweka hapa tutapata tabu kuelewana.