Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kila Unachokifanyat Sasa Ndicho Kitakacho Kuua! Ukiwa Mtu Wa Kusex Sana,UKIMWI ndo njia yako,ukiwa mvuta sigara-kifo,mwizi-kifo nk,so tunatakiwa kuwa wema na wenye tabia nzuri ili 2fe kwa mapenzi ya mungu na sio mapenzi ya MADAWA YA KULEVYA. Shame on that dead body!
Unajuaje kwamba kila mtu anataka kuishi maisha marefu?