Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Huyu ni Nchimbi mwenyewe analialia apewe ugaliNchimbi ana impact gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Nchimbi mwenyewe analialia apewe ugaliNchimbi ana impact gani?
Vyovyote ilivyokuwa,watu waliochanja chanjo za ule ugonjwa fake(over hipped disease) wapo katika hatari sana au karibu na kilichomtokea Membe.Acheni mis information.... Ni wapi wamesema blood clots zimesababishwa na chanjo?
Nani alisema ukichanjwa haupati COVID 19? Ile inapunguza risks ni kama tu kuvaa condom na kulinda maambukizi dhidi ya vvu?Vyovyote ilivyokuwa,watu waliochanja chanjo za ule ugonjwa fake(over hipped disease) wapo katika hatari sana au karibu na kilichomtokea Membe.
kifo Cha ghafla Cha aina hii majibu ya daktari ni yaleyale..matatizo ya upumuaji na mfumo wa damu.
Matrix.
Ukichanjwa nini? Hizo chanjo fake zenye madhara?Nani alisema ukichanjwa haupati COVID 19? Ile inapunguza risks ni kama tu kuvaa condom na kulinda maambukizi dhidi ya vvu?
Pia takwimu zipi zinasema kuwa waliochanjwa Wana risk zaidi kuliko wasiochanjwa?
Zimesemwa mara nyingi tu. Chanjo hazifai, watu wanapukutika si mchezoAcheni mis information.... Ni wapi wamesema blood clots zimesababishwa na chanjo?
NAUNGANA NAWE LIPO GENGE (UNDERCAPETS) HATARI SANA LAKUVUNJA BILA HURUMA YOYOTE. LIPO SLOW LAKINI MAKINI KWELI.Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Unamaanisha wanadungua intelegency iconic! za mfumo huu mwema kabisa!.Musiba is a factor kuna wenyewe
"waking alert" siyo sawa grammatically, labda uandike awakening alert.Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Kusamehe hakulazimishwi.Halafu,umri wake ulikuwa mkubwa.Kufa kwake kuwe ajabu?Labda(!?)Tujifunze kusamehe kwa kuwa Mola ni mwingi wa kusamehe
Kwenye Uislam kuna Swala ya kuswalia Maiti ( Marehemu ) kabla hajazikwa
katika Sehemu ya mwisho ya swala hiyo huwa tunamuomba Mola apokee matendo yetu Mema na asifutinishe tuliobaki kutokana na ya Marehemu huyo
Tujifunze kusamehe kwa kuwa Mola ni mwingi wa kusameheKusamehe hakulazimishwi.Halafu,umri wake ulikuwa mkubwa.Kufa kwake kuwe ajabu?Labda(!?)
Hata ukimlainisha mtu kwa vifungu vya vitabu,kusamehe kunabaki ni hiyari na uamuzi wake.Siyo sheria wala si amri.Tujifunze kusamehe kwa kuwa Mola ni mwingi wa kusamehe
mf.Uislam unatambua na kuruhusu kulipa kisasi kwa kuwa ni haki ila ukasisitiza kusamehe ni bora zaid na Mola wetu ni mwingi wa kusamehe
Hisia zako.Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania