Kifo cha Benard Membe is a waking alert

Kifo cha Benard Membe is a waking alert

Acheni mis information.... Ni wapi wamesema blood clots zimesababishwa na chanjo?
Vyovyote ilivyokuwa,watu waliochanja chanjo za ule ugonjwa fake(over hipped disease) wapo katika hatari sana au karibu na kilichomtokea Membe.

kifo Cha ghafla Cha aina hii kilichomtikea membe majibu ya daktari ni yaleyale..matatizo ya upumuaji na mfumo wa damu.

Matrix.
 
Vyovyote ilivyokuwa,watu waliochanja chanjo za ule ugonjwa fake(over hipped disease) wapo katika hatari sana au karibu na kilichomtokea Membe.

kifo Cha ghafla Cha aina hii majibu ya daktari ni yaleyale..matatizo ya upumuaji na mfumo wa damu.

Matrix.
Nani alisema ukichanjwa haupati COVID 19? Ile inapunguza risks ni kama tu kuvaa condom na kulinda maambukizi dhidi ya vvu?

Pia takwimu zipi zinasema kuwa waliochanjwa Wana risk zaidi kuliko wasiochanjwa?
 
Nani alisema ukichanjwa haupati COVID 19? Ile inapunguza risks ni kama tu kuvaa condom na kulinda maambukizi dhidi ya vvu?

Pia takwimu zipi zinasema kuwa waliochanjwa Wana risk zaidi kuliko wasiochanjwa?
Ukichanjwa nini? Hizo chanjo fake zenye madhara?

Kuchanjwa kwa ugonjwa gani? Huo ugonjwa fake ulioachwa kupigiwa makelele baada ya Vita vya Ukraine?

Alafu unasema "ukichanja inapunguza risk ya bla bla"

Covid 19 was scam.

wanasiasa mna matatizo Sana.
 
Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.

Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.

1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..

2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara

3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.

Mungu Ibariki Tanzania
NAUNGANA NAWE LIPO GENGE (UNDERCAPETS) HATARI SANA LAKUVUNJA BILA HURUMA YOYOTE. LIPO SLOW LAKINI MAKINI KWELI.
 
Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.

Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.

1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..

2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara

3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.

Mungu Ibariki Tanzania
"waking alert" siyo sawa grammatically, labda uandike awakening alert.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
FB_IMG_1616545580714.jpg
tapatalk_1575089448362.jpg
 
Nchi ngumu sana hii.

Nilidhani watu kama Bernard Membe akijisikia vibaya kiafya aweza kukata tiketi ya ndege kwenda ughaibuni kwa uchunguzi wa afya au hata kuufanyia mwili MOT.

Lakini ukikanyaga sehemu zisizostahiki unakuwa kama umepigwa ganzi na unakuwa washindwa kufanya maamuzi sahihi ya dharura.

RIP mzee BK Membe.
 
Tujifunze kusamehe kwa kuwa Mola ni mwingi wa kusamehe


Kwenye Uislam kuna Swala ya kuswalia Maiti ( Marehemu ) kabla hajazikwa

katika Sehemu ya mwisho ya swala hiyo huwa tunamuomba Mola apokee matendo yetu Mema na asifutinishe tuliobaki kutokana na ya Marehemu huyo
Kusamehe hakulazimishwi.Halafu,umri wake ulikuwa mkubwa.Kufa kwake kuwe ajabu?Labda(!?)
 
Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.

Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.

1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..

2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara

3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.

Mungu Ibariki Tanzania
Hisia zako.
 
Back
Top Bottom