Kifo cha biashara ya Night Club

Kiongozi umeongea ukweli kabisa DJs wa leo ubunifu zero, yani unaenda club DJ anapiga nyimbo za kusikiliza radioni siyo club
tena sehemu zingine Dj mkongwe akiwa hayupo, hawa wadogo wanaplay recorded tu ilimradi siku iishe
 
Aaah....!entrance fee ushatoa lock kwa gin kadhaa...,!!Sasa kwann uende huko kupakazana majasho tu
 
Ndo Mana kila nikitimba Moshi pale pub Alberto 24 hours night club panasuasua kwa wengi wa watu ila niliambiwa Red stone ndo habari ya Moshi ....labda next time nikienda Moshi nitatimba.


Maisha club hamna kitu pale panaboa kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dodoma kuna Lounge moja ipo barabarani imefuatana na Logde nyingi nyingi sijui inaitwa iko poa sana mwaka juzi nilitimbaga nikaenjoy watoto wazuri wapo wa kutosha, ila maisha club tangu waitoage kule Oysterbay sijawahi enda club tena..
 
Ruaha Internatal,Pub Albeto pale moshi mjini IPO?,siku izi Casino ndo deal,Las Vegas Casino,De grande hapa town

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo ni shida kubwa, unaend athe life club unatoa 1000, na gharama ya vinywaji, wakati Tips unatoa 10000 unakunywa na unacheza nakuenjoy

Hapo tips hiyo kumi unakunywa bia ngapi mzee...

Pale ukitaka ku enjoy unaenda na laki 3 yako mfukoni sio elfu 10
 
ni kweli aisee club imekuwa kama ushamba hiv ila lounge mzee baba ni hatare...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Focus Electronic, Luyobya, One Way, ...! Miaka 90 nikiwa kwa muda maeneo ya huko. Nasikia siku hizi maeneo ya huko kila kijiji kina DJs...! vurugu tupu.
 
Huko Mwz the Stone,rock n roll zimekufa kitambo sana hata kabla ya 2012 zilikua hoi tayari.

Club lips yenyewe ilikua inasua sua sana bfr 2014 ulikua ukiingia pale hakuna wateja.

Last time niko Mwz nimeingia hapo fusion ilikua inabamba ila nilikua sijui kama imeshakufa siku hizi.

Ila Villa wamejitahidi sana kuendelea kushikilia usukani kwny mambo ya Burudani kwa hapo Mwz,hongera nyingi kwa yule Mangi mmiliki wa Villa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…