Kifo cha biashara ya Night Club

NAKUMBUKA PALE TANGA NAKO KUNA CLUB LACASSA CHIKA NAYO SIJUI INAENDELEAJE WAKUU
 
NEW CLUB GALAPO ilala naona ndio inayo bamba kwa sasa town ni nyomi la kufa mtu
 
Ukweli mtupu 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imebaki Coppa Cabana tu hapo nyuma ya Nangwanda

Hiyo itakuwa Ntwara hiyo baada ya oil & gas kufa ntwara imefubaa maana angalau hata malaya wasafi walikuwa wanasafiri kuja ntwara kuwafuata wazee wa oil and gas, maneno yote sasa yako Pemba na Beira. Hapo CopaCabana wamejaa malaya wachafu tu.
 

The stone mpaka 2014-2015 bado ilikuwa inafanya vizuri.. Vila kiukweli anajitahidi kushikilia usukani kwa Mwanza.
 
City pub, Maisha club na City lounge kwa wale wa Mbeya vipi bado zinafanya vizuri maana nakumbuka enzi za 2014 kurudi chini..
 
Bar ni kula na kunywa huku ukisikiliza ngoma mbalimbali taratibu
 
Life style imebadilika Na Maisha kwa jumla yamebadilisha
Zipo sababu kadhaa lakin Moja wapo
1) Kukua kwa Technolojia maana Siku hizi huhitaji kwenda night club kusikiliza Au kupata burudani ya Muzic
2) Mitandao ya Kijamii; enzi zetu Club mbali ya Kuwa sehemu ya kustarehe Na kujiliwaza Na marafiki Siku hizi huhitaji kwenda Club kukutana Na marafiki Muda wote unao Kwenye ma Group ya Wasap Na kuchart daily so Hata 'kumisiana' kumepungua
 
The stone mpaka 2014-2015 bado ilikuwa inafanya vizuri.. Vila kiukweli anajitahidi kushikilia usukani kwa Mwanza.

2014 nilikua pale the stone nimeenda kama mara 2 najikuta tuko sio zaidi ya 10 na hapo ni saa 9 usiku kuelekea.,baada ya fusion kubamba tu the stone ikajifia.

Mwz ina shida moja ikiibuka club mpya tu ya zamani inajifia chap mpk kuna muda hua nawaza labda wala bata ni wachache,club kama lips ndani ina bonge la eneo fresh tu lkn sababu ya kufa hata haieleweki.

Jamaa wa Villa kuna kipindi aliona ataenda na maji ikabidi club ifungwe iwe under construction then kufunguliwa tu ikaanza kubamba tena,jamaa anajua kwenda na soko.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Hamna kitu poa kama kupiga story na washkaji huku mnakula tungi+good music,mambo ya kuchart kwny magroup ya whatsap na kumisiana washkaji huo ni UMAMA.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tips iko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hii tabia ya club mpya kuibuka nakuua club kongwe iko morogoro...

Hapo mwanzo ilikuwepo 4 star ikafa.. Ikaja maisha club nayo chali baada ya vibes kuja nayo vibes ikafa baada ya nyumbani lounge a.k.a samakisamaki hii ime maintain hadi leo...

Ikaibuka downtown club nayo ni kama imejifia baada ya mo town iliyokuwa 4 star ya zamani kurudi...

Kwa morogoro mo town na samakisamaki ndio kuna bamba though napependa sana mo town maana kuna Kyuma kibao za wanafunzi wa sua na mzumbe na mara mojamoja naibuka flomi hotel..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…