Kifo cha Diamond Platnumz kinaweza kupoteza Mamia ya watu pamoja na Muziki wa Tanzania

Kifo cha Diamond Platnumz kinaweza kupoteza Mamia ya watu pamoja na Muziki wa Tanzania

Yes upendo wa mashabiki kwa diamond upo kwenye mioyo.
 
Kafa kanumba na bongo muvi inasonga mpela mpela... watayumba tu kidogo ila mwendo utazidi kasi wa fursa Kwa wengine mwendo mchibuyu...

Siku hizi mapengo yanazibika
 
Naseeb Abdul Jumah.... a.k.a Diamond Platnumz ni icon Tanzania kipengere cha Muzik, Ni kijana ambaye anatakiwa angaliwe na serikali kwa upana maana hata serikali yenyew imeblooh anajiongeze sio utani.

Mbali na kumiliki anavyovimiliki chibu dangote yuko na team sahihi kabisa isikuwa na mchezo kwenye kazi inapiga kazi pamoja na kujituma mix kulinda brand.

Diamondplatnumz, sio mfano wa kuigwa tu bali amewasaidia vijana na wengi pamoja na watu wasiojiweza mbali na kutangaza au kuonesha video za kusaidia ila ni kwasababu ya upendo.

Bi sandra, alifanya kazi ya ziada mpaka Chibude anafika hapa halipo.. mbali na Watanzania kumsapoti Diamondplatnumz ila nguvu zake na uthubutu ndo mkubwa. Alijikubali mwenyew mwisho akakubalika.

MWENYEZI MUNGU AMZIDISHIE ALIPOTOA AONGEZEWE ZAIDI.

Headline imekutoa jasho 😁💫
Mlet mada hivi unajitambua akili? Unataka kutuaminsha ujinga wako kuwa akifa Diamond na muziki wa Tanzania utakufa? Wamekufa kina Maneti, King Enock, Maalim Gurumo, TX Moshi, Momba, Jerry Nashon, Eddy Sheggy, Marijani, Sauti ya Zege, na wengine magwiji haswa na muziki wetu wa dansi bado upo tu......Diamond ni nani? Wacha ujinga wako.
 
Naseeb Abdul Jumah.... a.k.a Diamond Platnumz ni icon Tanzania kipengere cha Muzik, Ni kijana ambaye anatakiwa angaliwe na serikali kwa upana maana hata serikali yenyew imeblooh anajiongeze sio utani.

Mbali na kumiliki anavyovimiliki chibu dangote yuko na team sahihi kabisa isikuwa na mchezo kwenye kazi inapiga kazi pamoja na kujituma mix kulinda brand.

Diamondplatnumz, sio mfano wa kuigwa tu bali amewasaidia vijana na wengi pamoja na watu wasiojiweza mbali na kutangaza au kuonesha video za kusaidia ila ni kwasababu ya upendo.

Bi sandra, alifanya kazi ya ziada mpaka Chibude anafika hapa halipo.. mbali na Watanzania kumsapoti Diamondplatnumz ila nguvu zake na uthubutu ndo mkubwa. Alijikubali mwenyew mwisho akakubalika.

MWENYEZI MUNGU AMZIDISHIE ALIPOTOA AONGEZEWE ZAIDI.

Headline imekutoa jasho 😁💫
Ujinga mtupu. Kama Diamond wako ni big deal hao akina Bakhresa wanaoajili maelfu tusemeje nao waangaliwe na serikali au ni mawazo ya kijinga na kimaskini?
 
Naseeb Abdul Jumah.... a.k.a Diamond Platnumz ni icon Tanzania kipengere cha Muzik, Ni kijana ambaye anatakiwa angaliwe na serikali kwa upana maana hata serikali yenyew imeblooh anajiongeze sio utani.

Mbali na kumiliki anavyovimiliki chibu dangote yuko na team sahihi kabisa isikuwa na mchezo kwenye kazi inapiga kazi pamoja na kujituma mix kulinda brand.

Diamondplatnumz, sio mfano wa kuigwa tu bali amewasaidia vijana na wengi pamoja na watu wasiojiweza mbali na kutangaza au kuonesha video za kusaidia ila ni kwasababu ya upendo.

Bi sandra, alifanya kazi ya ziada mpaka Chibude anafika hapa halipo.. mbali na Watanzania kumsapoti Diamondplatnumz ila nguvu zake na uthubutu ndo mkubwa. Alijikubali mwenyew mwisho akakubalika.

MWENYEZI MUNGU AMZIDISHIE ALIPOTOA AONGEZEWE ZAIDI.

Headline imekutoa jasho 😁💫
Njoo mchukulie rambirambi yake ale in advance wasije gombania wahuni
 
Kafa magu mtetez wa wanyonge nambali one na wanyonge hao hao wakasema boraa tu sembuse huyo pusi
 
Hivi ni Nani aliezuia msipigwe madole nyinyi mashoga ?

JF Sasa imejaa mashoga tupu, control hio shobo nengwa, mwanaume kumsifia sana mwanaume mwenzie means yupo tayari kumpa kinyeo chake akifanye anavyotaka, punguzeni
Acha uchawi mbwa koko wewe.... ulitaka usifiwe wewe kwa kipi ulichofanya ... we endelea na kuwa mtumwa
 
Mada nyingine bhana! Mm nikajua Diamondplatinumz kafa.
 
Back
Top Bottom