Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamuona Jugen Magufuli leo na Jesca au mi ndo siwajuiUdikteta haufai siyo tu kwenye uongozi ,hata Kwenye familia yako.
Sijamuona Jugen Magufuli leo na Jesca au mi ndo siwajui
Acha kubisha bisha jambo usilolijua...Hamna lolote, uongo tu. Tunachoona mikoani ni watu kulia kumpoteza kipenzi chao. Tuletee ushahidi wa hayo unayoyasema!
Kwa kifo chake nimejifunza umuhimu wa kutunza bia na k vant maana hujui siku ya kusherehekea kama utakuwa na akiba ya helaPoleni watanzania wenzangu kwa kifo cha Mpendwa wetu Hayati JPM, Apumzike kwa Amani.
Hakika kifo chake kimemgusa kila mtu, watu wote wa rika zote.
sijawahi kuona kiongozi analiliwa kama huyu, nyuso za watu wengi zimejawa na huzuni kubwa.
viongozi tuliobaki hai kuna jambo la kujifunza hapa, ni wazi kabisa Hayati Magufuli enzi za uhai wake alifanya kazi yake kwa nguvu zake zote na kwa masilahi ya watanzania,
Amepambana bila kuchoka hadi umauti umempumzisha!!
viongozi tuliobaki tunamambo yafuatayo ya kujifunza;
1. kila kiongozi ktk nafasi yake ana wajibu wa kufanya kazi kwa uadilifu na kwa bidii kwa masilahi ya watanzania.
tuwajali na tuwatetee wananchi wanyonge.
2. Tupambane kulinda Rasilimali zetu haswa madini.
3. lazima tupige vita dhidi ya mafisadi na wala rushwa,
Kifo cha Dr. JPM kamwe kisiwe ndio kufunguliwa kwa mafisadi, wala rushwa, wabadhirifu, kujuana, kubebana, wapiga dili, mikataba mibovu, ukwepaji kodi, wauza madawa ya kulevya, wakwepa kodi, majambazi, vibaka n.k
wananchi wa Tanzania tunataka kuona yale yote aliyo yasimamia Hayati Magufuli yanasimamiwa kwa nguvu zote bila kuoneana muhali.
watanzania wanatarajia kuona heshima na utiifu ulio onekana kwa JPM pia unaonekana akipatiwa Rais wa sas Samia Suluhu.
wananchi wanatarajia kuona watendaji wote wa vyombo vyote wana fanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu kama ilivyo kuwa wakati wa JPM, hatutegemei kuwa ona mawaziri na watendaji wengine waki relax.
Huwezi kuwa kiongozi Mwadilifu kama huna hofu ya Mungu. Magufuli alikuwa ni Kiongozi mwenye hofu kubwa kwa Mungu.
viongozi mlio baki kuweni na hofu kwa Mungu, hofu ya kweli ili Muwatendee watanzia haki.
Viongozi tuache tamaa ya kujilimbikizia mali na kuwa na Tamaa ya madaraka.
4. Hayati JPM alijenga Imani kwa wananchi, alisema na kutenda, ukiharibu tu hajili wewe ni rafaki yake lazima akutumbue, hakuna mambo ya kujuana mbele ya kazi ya watanzania.
5. watanzania hawategemei kuona wala kusikia hujuma ya maendeleo kwa taifa letu.
Tumpe ushirikiano wa kweli sio wa kinafiki Rais wetu Mama Samia Suluhu ili nchi yetu iendelee kuwa na heshima.
Pumzika kwa Amani JPM, mwanga wa milele ukuangazie.
Ungetumia neno mimi badala ya sisi, eboo🛌⚰️ sisi ni maiti wa kesho,tuishi kwa wema au ubaya haitasaidia chochote
Wafu huzika wafuPoleni watanzania wenzangu kwa kifo cha Mpendwa wetu Hayati JPM, Apumzike kwa Amani.
Hakika kifo chake kimemgusa kila mtu, watu wote wa rika zote.
sijawahi kuona kiongozi analiliwa kama huyu, nyuso za watu wengi zimejawa na huzuni kubwa.
viongozi tuliobaki hai kuna jambo la kujifunza hapa, ni wazi kabisa Hayati Magufuli enzi za uhai wake alifanya kazi yake kwa nguvu zake zote na kwa masilahi ya watanzania,
Amepambana bila kuchoka hadi umauti umempumzisha!!
viongozi tuliobaki tunamambo yafuatayo ya kujifunza;
1. kila kiongozi ktk nafasi yake ana wajibu wa kufanya kazi kwa uadilifu na kwa bidii kwa masilahi ya watanzania.
tuwajali na tuwatetee wananchi wanyonge.
2. Tupambane kulinda Rasilimali zetu haswa madini.
3. lazima tupige vita dhidi ya mafisadi na wala rushwa,
Kifo cha Dr. JPM kamwe kisiwe ndio kufunguliwa kwa mafisadi, wala rushwa, wabadhirifu, kujuana, kubebana, wapiga dili, mikataba mibovu, ukwepaji kodi, wauza madawa ya kulevya, wakwepa kodi, majambazi, vibaka n.k
wananchi wa Tanzania tunataka kuona yale yote aliyo yasimamia Hayati Magufuli yanasimamiwa kwa nguvu zote bila kuoneana muhali.
watanzania wanatarajia kuona heshima na utiifu ulio onekana kwa JPM pia unaonekana akipatiwa Rais wa sas Samia Suluhu.
wananchi wanatarajia kuona watendaji wote wa vyombo vyote wana fanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu kama ilivyo kuwa wakati wa JPM, hatutegemei kuwa ona mawaziri na watendaji wengine waki relax.
Huwezi kuwa kiongozi Mwadilifu kama huna hofu ya Mungu. Magufuli alikuwa ni Kiongozi mwenye hofu kubwa kwa Mungu.
viongozi mlio baki kuweni na hofu kwa Mungu, hofu ya kweli ili Muwatendee watanzia haki.
Viongozi tuache tamaa ya kujilimbikizia mali na kuwa na Tamaa ya madaraka.
4. Hayati JPM alijenga Imani kwa wananchi, alisema na kutenda, ukiharibu tu hajili wewe ni rafaki yake lazima akutumbue, hakuna mambo ya kujuana mbele ya kazi ya watanzania.
5. watanzania hawategemei kuona wala kusikia hujuma ya maendeleo kwa taifa letu.
Tumpe ushirikiano wa kweli sio wa kinafiki Rais wetu Mama Samia Suluhu ili nchi yetu iendelee kuwa na heshima.
Pumzika kwa Amani JPM, mwanga wa milele ukuangazie.
Wema ?? Sababu ya hotuba kanisani kila siku ?Wema hawadumu na wema siku zote wana maadui wengi na maadui wana wafwasi wao hiki ndo nimejifunza.
Wakati mwingine hata vichaa wanajua kibaya na kizuri nashangaa ww sijui upo kundi ganiWema ?? Sababu ya hotuba kanisani kila siku ?
Ufisadi kwani uliisha au ulikuwa centralized tu ?
Tribalism ?
Urongo... sungura wana covid
Kinatufundisha tuache ubaguzi na tuishi kwa kuwapenda wenzetu hasa wale tunaopishana nao mawazo.Poleni watanzania wenzangu kwa kifo cha Mpendwa wetu Hayati JPM, Apumzike kwa Amani.
Hakika kifo chake kimemgusa kila mtu, watu wote wa rika zote.
sijawahi kuona kiongozi analiliwa kama huyu, nyuso za watu wengi zimejawa na huzuni kubwa.
viongozi tuliobaki hai kuna jambo la kujifunza hapa, ni wazi kabisa Hayati Magufuli enzi za uhai wake alifanya kazi yake kwa nguvu zake zote na kwa masilahi ya watanzania,
Amepambana bila kuchoka hadi umauti umempumzisha!!
viongozi tuliobaki tunamambo yafuatayo ya kujifunza;
1. kila kiongozi ktk nafasi yake ana wajibu wa kufanya kazi kwa uadilifu na kwa bidii kwa masilahi ya watanzania.
tuwajali na tuwatetee wananchi wanyonge.
2. Tupambane kulinda Rasilimali zetu haswa madini.
3. lazima tupige vita dhidi ya mafisadi na wala rushwa,
Kifo cha Dr. JPM kamwe kisiwe ndio kufunguliwa kwa mafisadi, wala rushwa, wabadhirifu, kujuana, kubebana, wapiga dili, mikataba mibovu, ukwepaji kodi, wauza madawa ya kulevya, wakwepa kodi, majambazi, vibaka n.k
wananchi wa Tanzania tunataka kuona yale yote aliyo yasimamia Hayati Magufuli yanasimamiwa kwa nguvu zote bila kuoneana muhali.
watanzania wanatarajia kuona heshima na utiifu ulio onekana kwa JPM pia unaonekana akipatiwa Rais wa sas Samia Suluhu.
wananchi wanatarajia kuona watendaji wote wa vyombo vyote wana fanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu kama ilivyo kuwa wakati wa JPM, hatutegemei kuwa ona mawaziri na watendaji wengine waki relax.
Huwezi kuwa kiongozi Mwadilifu kama huna hofu ya Mungu. Magufuli alikuwa ni Kiongozi mwenye hofu kubwa kwa Mungu.
viongozi mlio baki kuweni na hofu kwa Mungu, hofu ya kweli ili Muwatendee watanzia haki.
Viongozi tuache tamaa ya kujilimbikizia mali na kuwa na Tamaa ya madaraka.
4. Hayati JPM alijenga Imani kwa wananchi, alisema na kutenda, ukiharibu tu hajili wewe ni rafaki yake lazima akutumbue, hakuna mambo ya kujuana mbele ya kazi ya watanzania.
5. watanzania hawategemei kuona wala kusikia hujuma ya maendeleo kwa taifa letu.
Tumpe ushirikiano wa kweli sio wa kinafiki Rais wetu Mama Samia Suluhu ili nchi yetu iendelee kuwa na heshima.
Pumzika kwa Amani JPM, mwanga wa milele ukuangazie.
Y chromosomes zilizokuletaWakati mwingine hata vichaa wanajua kibaya na kizuri nashangaa ww sijui upo kundi gani