Ni kwel haijapasuka ina ila dereva na konda hawaelewani, na hapa Kati kaongezeka fundi, hakuna anaeonge lugha 1 dereva anawasha gari linawaka ila Moshi mweupe na Kisha gari linatembea kidg linazima, konda yy anasema twende tu, Sasa fundi kaja anatoa solution kuwa Ni lazima tuifumue injini yote tuisuke au kununua mpya, hapo Sasa shida inaanzia,
Abiria wapo tu wanatoa [emoji102][emoji102] hata hawajui, Kama halitavutwa hli gari kwa kutumia gari lingene,hakuna namna nyingine zaidi ya kufumliwa injini, na Ikiwa hayawezekani yote hayo abilia wengi watakufa kabla ya kufika mwisho kwa kukosa mahitaji, maana wengi wa abilia hawana uwezo wa kumdu ghalama za njiani na hawakuwa na akiba ya kutosha,
Hapo vip
PASKALI