Kifo cha Hayati Dkt. Magufuli kimeipasua CCM. Je, huu ndio wakati wa wapinzani kutusua kisiasa?

Hakuna wa kuipasua CCM yote unayoyaona ni mkakati ambao mlio nje hamuwezi kuelewa
 
Nachojiuliza misaada yote kwa HANGAYA alafu tozo zpo pale pale plus kupanda kwa bidhaa ZOTE...walisema bia zmepunguziwa kodi cha ajabu zpo pale pale....mm sjawahi kumkubali Magu but mwanamke hawez kuongoza taifa
Kwa kutokuwepo vyama vya upinzani, vyenye viongozi walio na mtazamo wa kitaifa, badala ya maslahi na agenda binafsi, kushika madara ya Dola ni ndoto ya mchana kweupe.

Kwa CCM, Chama Tawala, matokeo ya hiyo misaada na tozo, kwa maendeleo ya watu na nchi kwa ujumla ndiyo kitakuwa kipimo katika Uchaguzi Mkuu, 2025.

Kuhusu mwanamke kuongoza nchi ni mtihani kwa sababu ya jinsi ya maumbile na majukumu yao. Maamuzi yote huwa siyo yao ni tegemezi ambayo hutegemea aliye karibu naye.
 
Mkuu Kamanda Asiyechoka , hakuna kitu kama hicho!, CCM haina mpasuko wowote!.

Wapinzani wepi hao wa kuaminiwa na wananchi?.
P

This is below your usual standards!! Unasema wapinzani wepi wanaoaminiwa na wananchi, unasemaje kuhusu CCM wasioaminiwa na wananchi?? Au unamaanisha anayeshinda anakuwa ameaminiwa na kila mpiga kura??

Unanishangaza kusema neno “wowote” katika tungo moja na mpasuko! Ni kweli akina kiroboto na wahuni hawana tofauti zozote? Au unamaanisha mgogoro wao haujafikia kuitwa mpasuko??
 
Na hapo ndipo mabadiliko ya lazima yatafanyika.
 
Good point
 
Ni kweli hasa ukizingatia utawala hautolewi na wananchi, bali wastaafu na wafaidika wa CCM wanaojiita system.
Usijidanganye wewe jamaa, sio kila siku ni jumamosi. Leo hii watanzania wapo macho, na usiwadhanie bado wapo dunia ya huko unakoishi
 
Good point, tunafeli sana wapinzani.
 
Kamanda,
CCM ni ile ile.
Kwenye maslahi ya pamoja wanaungana .
 
Pumba
 
Inawezekana ccm ineshakufa tayar ila wapinzani wameshajiozea zaman. Kwahiyo bora tuendelee kuwa na mfu kuliko huyu aliyeoza..

Tanzania bado hatuna chama cha upinzani. Kipindi cha Dr slaa upinzani ulikuwa unajielewa unataka nini ila tangu kipindi kile wapo wapo tu ni wala ruzuku walio oza.
 
Kuandika rahisi sana. Hebu anzisha hicho chama chako chenye agenda unazoziita za kitaifa tuone. Watu kama wewe walikuwepo enzi za ubaguzi Africa kusini. Kazi yao ilikuwa nikubeza wapigania uhuru kuwa hawana ajenda kama ufanyavyo wewe. Lakini Afrika kusini ileee, ni nchi huru sasa.
 
Kama Kungekuwa na CHADEMA ya mwaka 2008 had 2013, CCM hii ingepeta tabu sana kipindi hiki. Ila ssa hamna chma cha kuitikisa CCM pamoja na madhaifu yake yanayookena waziwazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…