Ila blaza una moyo sana. Nikikumbuka zile kura za maoni wajumbe walivyokupiga tikitaka lazima nikuvulieMkuu Kamanda Asiyechoka , hakuna kitu kama hicho!, CCM haina mpasuko wowote!.
Wapinzani wepi hao wa kuaminiwa na wananchi?.
P
Ni ngumu kusukuma gari ukiwa ndani ya gari, ila unaweza kushuka ukalisukuma kulifikisha kwa fundi, ila pia kubadili gari si solution, Ni aheri zimwi likujualo halikuli likakwisha, kwa hyo ngoja tuone ..Na hapo ndipo mabadiliko ya lazima yatafanyika.
Huo siyo Mkakati wala nini,kuna tifu kubwa ila tu ni kuwa walioshika mpini wana uwezo wa kuwadhibiti walioshika makali hivyo watamalizana kimya kimya kwani wote ni wapigaji inapokuja kwenye kutafuta madaraka wanakuwa kitu kimoja,ambaye atashupaza shingo anakololimbwa .Hakuna wa kuipasua CCM yote unayoyaona ni mkakati ambao mlio nje hamuwezi kuelewa
Dont be stupid young manTulia we sukuma gang.
Dont be stupid young man
Hii nchi inataka mabadiliko alafu unaleta ushabiki?You as well.
Lakini kumbuka sometimes umoja ni nguvu.Ni ujinga wa kiwango cha lami kwenda kuungana na Mbatia. Kila chama cha upinzani kipambane kivyake, adui ni ccm. Kuungana ni kutafuta migogoro isiyo na tija na mifano ipo wazi.
Wapinzani wapo bize kudai Katiba mpya, ambayo japo ni muhimu lakini haiakisi changamoto zinazowakabili Watanzania wengi kwa sasa, hence kuibuka kwa "mashujaa" kama Polepole wanaotumia ombwe la kutokuwepo "msemaji wa wananchi."Alitabiri Remy Ongala kuwa Ccm ilishakufa sasa yametimia.
Kuna wanaCcm waliokuwa upande wa hayati JPM wanaona sasa nchi imekamatwa mikononi mwa mafisadi na wezi.
Kuna wanaCcm kumbe walifurahia kifo cha hayati JPM na hii inaonekana alikuwa kikwazo kwao.
Ccm ya sasa imepasuka maana kuna mpasuko mkubwa sana.
Je, sasa ndio wakati muafaka wa sisi wapinzani kuaminiwa na wananchi na kupaa kisiasa?
Hawaelewi maana ya kauli hii Ya mwalimu, sijui wengi wamezaliwa umri sawa na vyama vya upinzani, ama vimewazidi umri, lakini ni brainwashing za ajabu sana zinaharibu watu.Mbona hujasema kuwa mwalimu nyerere alitabiri upinzani utatoka humohumo..au upinzani nini tuanzie hapo.
Huyo mleta hoja ni mbwiga wa CCM ameileta hii kama kejeli.Wapinzani mnasubiria mpasuko wa ccm ,inamaana mmeishiwa mbinu?
Kwani pascal ni kijana mkuu,au huko ccm ujana unaishia miaka 60?
Well said mkuu, hawa jamaa sijui kama zinachaji sawasawa yani wanaacha kuangalia mapungufu ilikujijengea hoja za kuwapa nguvu kwa wananchi, wao 24/7 wanapambana na marehemu tuuuu.🤣🤣🤣 .Tatizo la wapinzani wameendelea kumuongelea mwendazake instead wanatafute namna ya kupambana na Samia itafika Muda 2025 wataendelea kumu attack magufuli ambaye hayupo duniani . Wangeangalia namna ya kudeal na rais aliyepo madarakani . Angekuepo mtikila kwa ishu za muungano ndio angetusua sahizi Kwa kuangalia madhaifu ya muungano ambapo Marais wote ni wazanzibar . Mtu wa bara Hana haki na Znz. Hivi ndio vitu vingemmaliza mama 2025
Mbwiga baba yakoHuyo mleta hoja ni mbwiga wa CCM ameileta hii kama kejeli.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sasa ccm inao uwezo gani wa kujilinda,ccm Katu haiwezi jisimamia bila kubebwa na police.Tatzo upinzani hawako serious,ni wabinafsi Sana na hii ndo itawafanya miaka nenda miaka rudi wasifanikiwe, wakitaka waungane , kinyume Cha hapo hawatoboi,ccm wanaweza wakawa wanaonekanawamepasuka lkn linapokuja suala la kulinda chama kisipoteze utawala,huwa wanauwezo wa kuji mobilize hata dk ya 89,na sekunde 59',sekunde moja tu ukiwapa pumz wanakubadilishia matokeo ya mchezo, unapigwa gori ndani ya sec moja !!
Weka uwanja sawa kwenye Uchaguzi . Uone nini kitatokea?Mkuu Kamanda Asiyechoka , hakuna kitu kama hicho!, CCM haina mpasuko wowote!.
Wapinzani wepi hao wa kuaminiwa na wananchi?.
P
Soma vizuri"Kijana mkuu"
Kijana mkuu, ndio kijana gani?..ebu soma vizuri huo ujumbe wangu