Kifo cha hayati Magufuli kuwa moja ya ajenda kubwa uchaguzi 2025. CCM itapasuka na mengi yataibuka

Mabeberu wanajua kutengeneza division, haikuwa bahati mbaya huyo mtu kuuliza hayo maswali kwenye ile hadithi...Alijua pakugusa ili kuvuruga akili za watu...Tutafute katiba yetu ili kuwavuruga na wao mipango yao
 
Nina premonition huwa naiexperience mara kwa mara...kiongozi Fulani wa serikali yuko jukwaani amekasirishwa na jambo Fulani akasema "Aya tulimuua mtatufanya nn?"
 
Muda ndio huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…