Hakika Jaji Asha Kwariko alikuwa ni Jaji wa kipekee mfano mzuri wa kuingwa na Majaji wengine walio hai, vyeo ni dhamana tu, ukifa ndio mwisho wako tenda haki.
Jaji Kwariko alikuwa ni mtenda haki wa kweli ndani na nje ya Mahakama asiye penda kuonea watu. Mpole na mwenye kujali utu wa binaadamu.
Asiye penda majungu wala fitina, asiye na majivuno hakuwa na makuu.
Haiti Majaji wote wangekuwa kama alivyo kuwa Jaji Kwariko basi upendo na haki vingetamalaki.
Apumzike kwa amani Peponi ameen.
Jaji Kwariko alikuwa ni mtenda haki wa kweli ndani na nje ya Mahakama asiye penda kuonea watu. Mpole na mwenye kujali utu wa binaadamu.
Asiye penda majungu wala fitina, asiye na majivuno hakuwa na makuu.
Haiti Majaji wote wangekuwa kama alivyo kuwa Jaji Kwariko basi upendo na haki vingetamalaki.
Apumzike kwa amani Peponi ameen.