Kifo cha . John. Paul I

Kifo cha . John. Paul I

Sasa lazima nifichue kwamba usiku wa. Alhamisi,. September 17,1978. Pope John. Paul I aliondoka Vatican mzima. Hakufa usingizini kama ilivyoripotiwa na vyanzo vya Vatican. Aliishi mafichoni mbali na. Vatican kabla ya kupigwa risasi nyuma ya shingo yake na mtu au watu wasiofahamika. Octoba 4,maziko ya. John Paul I yalihudhuriwa na makumi elfu ya watu na yalitazamwa katika luninga katika nchi 3. Mwili uliokuwa unatolewa heshima ulikuwa siyo wa. John Paul I ambaye alikuwa bado hai.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hii posting ya mwisho.. John Paul I alikuwa bado yuko hai. October 16 siku ambayo mrithi wake John Paul. II alipoteuliwa. October. 19,jioni,1978,. John Paul I aliuawa siku tatu baada ya mrithi wake kutajwa,muda mfupi baadaye,mwili wake ulichomwa moto na majivu kutupwa. Mwisho. Tutaendelea baadaye na hadithi ya. Jimmy Carter kwa sababu naye pia ameuawa na yule anayejiita. Jimmy Carter sasa ni msukule. Kwa hiyo ukisema umesikia Putin hayupo,anything is possible.
 
Hii posting ya mwisho.. John Paul I alikuwa bado yuko hai. October 16 siku ambayo mrithi wake John Paul. II alipoteuliwa. October. 19,jioni,1978,. John Paul I aliuawa siku tatu baada ya mrithi wake kutajwa,muda mfupi baadaye,mwili wake ulichomwa moto na majivu kutupwa. Mwisho. Tutaendelea baadaye na hadithi ya. Jimmy Carter kwa sababu naye pia ameuawa na yule anayejiita. Jimmy Carter sasa ni msukule. Kwa hiyo ukisema umesikia Putin hayupo,anything is possible.
 
Mhhh niliambiwa mwanangu kua uyaone .....Leo hii naogopa hata kuskia Habari Kama hizi ,dunia Ina mambo
 
unaweza ukaback story yako na fact au ushahidi wowote!?
 
Mbona unacho kisema kinapingana na kazi iliyofanywa na Bw. David A. Yallop kwa muda wa miaka mitatu na akaandika kitabu kiitwacho In God's Name. Kitabu hiki kinaeleza kinagaubaga how the murder was done
 
Roberto Cavi na Cardilinali POUL MANSINKUSY hawa ni member wa mafia iowalihusika na kifo hicho kwa mjibu a David Yalop
 
Hii posting ya mwisho.. John Paul I alikuwa bado yuko hai. October 16 siku ambayo mrithi wake John Paul. II alipoteuliwa. October. 19,jioni,1978,. John Paul I aliuawa siku tatu baada ya mrithi wake ukutajwa,muda mfupi baadaye,mwili wake ulichomwa moto na majivu kutupwa. Mwisho. Tutaendelea baadaye na hadithi ya. Jimmy Carter kwa sababu naye pia ameuawa na yule anayejiita. Jimmy Carter sasa ni msukule. Kwa hiyo ukisema umesikia Putin hayupo,anything is possible.

Sijakupata mkuu, inamaana Pope John Paul I was kidnapped, hebu tupe source.
 
Mbona unacho kisema kinapingana na kazi iliyofanywa na Bw. David A. Yallop kwa muda wa miaka mitatu na akaandika kitabu kiitwacho In God's Name. Kitabu hiki kinaeleza kinagaubaga how the murder was done
huwa nakisoma kila mara, mwandishi mchunguzi alieandika pia habari ya 'calos' kwenye kitabu chake hasemi kama wewe!
 
Rose, mimi Yericko Nyerere ni mtoto wa Nyerere lakini sio mtoto wa Julius Kambarage Nyerere,
Andrew Nyerere anaweza kuwa sahihi kwamaana ya mimi sio mtoto wa Julius, lakini anaweza asiwe sahihi kwakuwa mimi ni mtoto wa Nyerere lakini sio Julius Kambarage Nyerere

Samahani kiongoz,ww ndo yule mtt wa marehemu kiboko(kaka yake na Nyerere)???
 
Last edited by a moderator:
Ninachotaka kufichua sasa,rafiki yangu,hainipi raha,mimi mwenyewe ni mkatoliki,nimelelewa kikatoliki,nilisomea upadri pia. Lakini kwangu mimi kulikuwa na maswali mengi yaliyokosa majibu. Ni baadaye tu,nilipokuwa porini afrika ndipo kweli nilimfahamu Bwana Yesu Kristu. Naongea kama mtu anayejua kuwa mkatoliki maana yake nini. Lakini lengo langu ni kusaidia na kujenga,siyo kushambulia na kurarua kitu chochote ambacho ni kizuri na sahihi. Hata kama vitu ninavyotaka kuvifichua sasa vitaleta kashfa lazima nikubaliane na maneno ya padri mwenye hekima ambaye siku za karibuoi alinishauri"ni afadhali iwepo kashfa kuliko ukweli ukandamizwe". Ukweli ukibakia umekandamizwa,rafiki zangu siku zinahesabika kwa. Kanisa. Katoliki ka R6a na kutakuwa na athira kwa Dini yote ya Ukristu.

Upadri siyo kama macho kila mtu anazaliwa nayo, ungebahatika hata kuigusa " kalisi" usingejisema hapa.

Acha mbwembwe
 
Sasa lazima nifichue kwamba usiku wa. Alhamisi,. September 17,1978. Pope John. Paul I aliondoka Vatican mzima. Hakufa usingizini kama ilivyoripotiwa na vyanzo vya Vatican. Aliishi mafichoni mbali na. Vatican kabla ya kupigwa risasi nyuma ya shingo yake na mtu au watu wasiofahamika. Octoba 4,maziko ya. John Paul I yalihudhuriwa na makumi elfu ya watu na yalitazamwa katika luninga katika nchi 3. Mwili uliokuwa unatolewa heshima ulikuwa siyo wa. John Paul I ambaye alikuwa bado hai.

Ulikuwa wa nani?
 
Papa Francis nimesikia anataka kujiuzulu. Nimesikia siku ile nilioandika hii posting ,na ndio ilikuwa sababu ya kuituma hii posting. Kwa sababu kama Papa mwingine anataka kujiuzulu,inaweza kumaanisha kuna instability. Vatican. Navyofahamu mimi yupo . Kristu mwingine sasa hivi duniani. It is long past the time when. He should be teaching. Sijui anasubiri nini. Labda anasubiri kuiona. Vatican imefungwa. Maybe He does not want anyone to crucify Him or to heckle His speech. Kristu mwingine,siyo Yesu Kristu. Kristu wanakuja duniani kila baada ya miaka 2000 in different astrological signs. Yupo. Kristu sasa waiting in the wings,. Kristu wa 11. Baada ya miaka miaka 2000 atakuja mwingind wa mwisho for this cycle.
 
sasa lazima nifichue kwamba usiku wa. Alhamisi,. September 17,1978. Pope john. Paul i aliondoka vatican mzima. Hakufa usingizini kama ilivyoripotiwa na vyanzo vya vatican. Aliishi mafichoni mbali na. Vatican kabla ya kupigwa risasi nyuma ya shingo yake na mtu au watu wasiofahamika. Octoba 4,maziko ya. John paul i yalihudhuriwa na makumi elfu ya watu na yalitazamwa katika luninga katika nchi 3. Mwili uliokuwa unatolewa heshima ulikuwa siyo wa. John paul i ambaye alikuwa bado hai.
wanaitwa mafia....
 
mbona unacho kisema kinapingana na kazi iliyofanywa na bw. David a. Yallop kwa muda wa miaka mitatu na akaandika kitabu kiitwacho in god's name. Kitabu hiki kinaeleza kinagaubaga how the murder was done
tafuta kingine kinachohusiana na bank ambrosiano
utapata mawazo tofauti ya hawa mafia
 
Back
Top Bottom