BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
Nadhani Kituko ndo amesema kweli, it does not make sense huyu owner alieanzia chini kwa mtaji wake aje ashindwe kwavile kachukua mkopo. Kama issue ni kuruhusu share na wengine nadhani ndo ameharibikiwa hapo - Jamani tusikate tamaa kuwa haiwezekani isipokuwa tafuta sababu unaweza kukuta biashara fulani unayoona imekufa pengine mwenyewe kaicha na kaona nyingine nzuri na kahamishia mtaji huko inapeta.
Kikubwa ni kuangalia wanaokuijia wakuongeze mtaji wanafanya biashara gani/ imefikia wapi?
Kuna shemeji yangu alistaafu miaka 4 anaishi vizuri tu kwa biashara ya baa na guest na nyumba 5 amepangisha hakuwa na tatizo ni nyumba hasa zenye hatimiliki mjini hapa. Alitokea rafiki akamshauri aweke rehani nyumba zote kisha wapewe mtaji yeye rafiki anunue korosho kupeleka India kwa mwezi inaingiza 10m. ndio ulikuwa mwanzo wa kufilisika na mwisho kufariki kabisa kwa huyo mtu within 2 months only baada ya benki kunyang'anya vyooote.
Biashara fanya mwenyewe tamaa ya mtaji toka chama, rafiki, sijui raisi itabidi udance to their tune, which is not possible
...Mama Joe! hapo sijui niseme kuwa na ujinga wa rafiki yako (RIP) nao umechangia mno?? Mtu atakukonvisije uweke nyumba zako TANO rehani ili mpate mtaji wa kupeleka korosho India, for Christ sake!? Si angeanza na moja, kisha mbili huku akiwa amejiwekea malengo kuwa ikifika nyumba tatu hajaona la maana basi he/she calls it a day na anabaki na nyumba zake mbili!!??