Kampuni ya mabasi ya skandinanavia imehujumiwa kwa makusudi. Haikuwa kwa sababu ya madeni kwani makamouni yote hususan za usafirishaji zinadaiwa mpaka utosini. Makampuni mengi ambayo unayaona yana majina makuna yamepata hela kwa michoro, na yanamadeni kibao na hawatalipa na pamoja na hayo baadhi wanaoewa hata ruzuku.
Skandi alikuwa akilipa madeni yake vizuri na walioihujumu walitumia kigezo ati ilikuwa kampunu ya kiongozi mkuu fulani aliestaafu, jambo lilio la uzushi bali lilitumika ili wakidhi ubaya wao.
Skandi haikuwahi kuwa na uhusiani wa kibiashara hata ya urafiki na kioongozi wote wa kisisa nahaina uhusiano huo mpaka sasa na sidhani kama watakuwa nayo mbeleni, kwani skandi ilikuwa ikihudumia toka enzi za awamu ya kwanza ilipokuwa shida usafiri lakini walihudumia taifa nyakati hao walioipangia njama kuiuwa kukidhi kiu yao waliuwa nje ya nchi kwani hawakuwa tayari kuwa na tz kwenye matatizo. hali kadhalika Skandi wala haikuwa na wadau wengi kama msemaji mmoja humu alivosema, kwani hayo ni maneno ya mitaanii na vijiweni na wala haina uhusiano wa kisiasa.
Kilichowaponza Skandi kwa mtazamo wangu ni uzalendo wao, utaifa wao na jitihada yao ya kuleta mabadiliko jambo lililolipa tz sifa kitendo ambaco hao wasaliti hawakulipenda, kwani wao hufurahi matatizo yawrpo ili wao wafaidike.
Ingekuwa Skandi iko nchi nyimgine Serikali ingeingilia kuilinda na kuikwamua hata ingekuwa kweli imeelemewa na madeni jambo ambalo limepikwa.
Mbona kuna watu walipewa na wanaendelea kupewa fedha bure tz wakati hakuna walichofanya ? iweje skandi iliohudumia na kuwakwamuwa wa tz imefumbiwa macho ? Wa tz wenzangu tuweni macho na njama hizi za kuhujumu makampuni ya wa tz kwa kutengenezewa na kupokowa sababu za uzushi na sis tunayakubali tu. tusipokuwa makini wazalendo watapukutiwa wote ili wachache wasiojaa kiganja ndio watusaliti.
HATA ingekuwa skand ina madeni, mbona kutokana na taarifa za magazeti pamoja ni kuwa uzushi ilionesha kuwa deni lake lote halikufikia hata shiling bilioni 3 ? wakati assets zake ni nyingi na haoi hapo tunasikia kwenye magazeti hayo hayo serikali kupitia taasisisi zake imewapa baadha ya watu :target::yuck::frown:zaidi ya BILIONI 30 ambayo ni mara 10 ya hiyo na wamepewa bure ?
hatuoni hapa kuna namna za uoneaji skani ameonewa tu ?
Wa Tz tusishabikie haya mambo na tusimcheke skandi kwani kilichomponza ni uzalendo na si kingine.
mimi nimesafiri sana na skandi na naona mengi ambayo kama serikali yetu ingekuwa inayaangalia kwa makini isingeiwacha skani ikaonewa. Nadhani kwa kuwa ni njama za makusudi ni oia wakati wakihua wanaipoga vita skandi ikaharibiwa baadha ya makampuni yapewwe msaada hata wa bure wanunuwe na wakazanishe makampuni ya mabasi yao ILI SKANDI IKIANGUSHWA Wananchi wasilalame, lakini cha kustaajabisha, yametengenenezwa makampuni mapya kuanzia 2003 kama kuzitayarisha na mengine yaliyoko walipewa mikopo kiwepesi na wengine mikopo ya nafuu pamoja na wengine ruzuku tuu ili ifikiapo 2005 ikishughulikiwa skandi WALE WAJAZE PENGO, LAKINI LICHA YA HAO WALIOWATENGENEZA KUPEWA YOTE HAYO LAKINI HAWAKUWEZA HATA KUKARIBIA SKANDI, NA kwa hivo INGEKUWA SKANDI KALINDWA TU NA HAKUG=HUJUMIWA KUSUDI LEO SKANDI INGEKUWA MBALI KUENDELEA KUWEKA MFANO NA FAHARI KWA TZ, LAKINI LEO WASAFIRI WANASIKITIKA KUWA hakuna usafiri kama skandi mpaka leo na hata nchi za jirani wanatucheka wa tz.
wasafiri tunasubiri Skandi irudi tena kuhudumia, lakini kwa namna alivonyanyaswa na kuonewa sijui kama atarudi a=kuhudumia au sio, maana sisi wasafiri tunaelwewa kuwa alivinjwa moyo na hakuona sababu ya kuendelea na kuhudumia hii sekta, maana sidhani kama hata ALIPOAMUA MWENYEWE kusimamishi kuna mhusika waekta hii aliejaribu hata kuwauliza nini kilichotokea. Lakini hatuhui, ila wenyewe ndio watakaojua na nadhani wameamuwa kukaa kimya kabisa.
Hayo ndio yangu machache lakini tusizungumzie masuala ya skandi kama washabiki tu maana hii ni athari kwa watanzania.
Chunguzeni muone wangapi ambao wamesaidiwa kusema uongo kuwa wamepata hasara kwenye mtikisiko wa uchumi na kupewa fedha za bure iweje hii kampuni hata isiulizwe,
Wajameni tuweni macho nas uonevu wa aina hii na inaweza mfika mtiu yeyote.
tumesikia majuzi hapa wasafirishaji walitaka kugoma, na hiyo wangefanikiwa sababu skandi haipo, laiti skandi ingekuwapo hayo yasingetokea maana tumeshuhudia mara nyingi huko nyuma migomo kama hii ilitaka kutokea lakini kwa skandi licha ya kuonewa hakuungano nalo, migomo hiyo haikufanyika,
Hayo ni yangu machache wajameni
Mbona kuna watu wamepewa fedha BURE hapa tz wakati hakuna
Skandi alikuwa akilipa madeni yake vizuri na walioihujumu walitumia kigezo ati ilikuwa kampunu ya kiongozi mkuu fulani aliestaafu, jambo lilio la uzushi bali lilitumika ili wakidhi ubaya wao.
Skandi haikuwahi kuwa na uhusiani wa kibiashara hata ya urafiki na kioongozi wote wa kisisa nahaina uhusiano huo mpaka sasa na sidhani kama watakuwa nayo mbeleni, kwani skandi ilikuwa ikihudumia toka enzi za awamu ya kwanza ilipokuwa shida usafiri lakini walihudumia taifa nyakati hao walioipangia njama kuiuwa kukidhi kiu yao waliuwa nje ya nchi kwani hawakuwa tayari kuwa na tz kwenye matatizo. hali kadhalika Skandi wala haikuwa na wadau wengi kama msemaji mmoja humu alivosema, kwani hayo ni maneno ya mitaanii na vijiweni na wala haina uhusiano wa kisiasa.
Kilichowaponza Skandi kwa mtazamo wangu ni uzalendo wao, utaifa wao na jitihada yao ya kuleta mabadiliko jambo lililolipa tz sifa kitendo ambaco hao wasaliti hawakulipenda, kwani wao hufurahi matatizo yawrpo ili wao wafaidike.
Ingekuwa Skandi iko nchi nyimgine Serikali ingeingilia kuilinda na kuikwamua hata ingekuwa kweli imeelemewa na madeni jambo ambalo limepikwa.
Mbona kuna watu walipewa na wanaendelea kupewa fedha bure tz wakati hakuna walichofanya ? iweje skandi iliohudumia na kuwakwamuwa wa tz imefumbiwa macho ? Wa tz wenzangu tuweni macho na njama hizi za kuhujumu makampuni ya wa tz kwa kutengenezewa na kupokowa sababu za uzushi na sis tunayakubali tu. tusipokuwa makini wazalendo watapukutiwa wote ili wachache wasiojaa kiganja ndio watusaliti.
HATA ingekuwa skand ina madeni, mbona kutokana na taarifa za magazeti pamoja ni kuwa uzushi ilionesha kuwa deni lake lote halikufikia hata shiling bilioni 3 ? wakati assets zake ni nyingi na haoi hapo tunasikia kwenye magazeti hayo hayo serikali kupitia taasisisi zake imewapa baadha ya watu :target::yuck::frown:zaidi ya BILIONI 30 ambayo ni mara 10 ya hiyo na wamepewa bure ?
hatuoni hapa kuna namna za uoneaji skani ameonewa tu ?
Wa Tz tusishabikie haya mambo na tusimcheke skandi kwani kilichomponza ni uzalendo na si kingine.
mimi nimesafiri sana na skandi na naona mengi ambayo kama serikali yetu ingekuwa inayaangalia kwa makini isingeiwacha skani ikaonewa. Nadhani kwa kuwa ni njama za makusudi ni oia wakati wakihua wanaipoga vita skandi ikaharibiwa baadha ya makampuni yapewwe msaada hata wa bure wanunuwe na wakazanishe makampuni ya mabasi yao ILI SKANDI IKIANGUSHWA Wananchi wasilalame, lakini cha kustaajabisha, yametengenenezwa makampuni mapya kuanzia 2003 kama kuzitayarisha na mengine yaliyoko walipewa mikopo kiwepesi na wengine mikopo ya nafuu pamoja na wengine ruzuku tuu ili ifikiapo 2005 ikishughulikiwa skandi WALE WAJAZE PENGO, LAKINI LICHA YA HAO WALIOWATENGENEZA KUPEWA YOTE HAYO LAKINI HAWAKUWEZA HATA KUKARIBIA SKANDI, NA kwa hivo INGEKUWA SKANDI KALINDWA TU NA HAKUG=HUJUMIWA KUSUDI LEO SKANDI INGEKUWA MBALI KUENDELEA KUWEKA MFANO NA FAHARI KWA TZ, LAKINI LEO WASAFIRI WANASIKITIKA KUWA hakuna usafiri kama skandi mpaka leo na hata nchi za jirani wanatucheka wa tz.
wasafiri tunasubiri Skandi irudi tena kuhudumia, lakini kwa namna alivonyanyaswa na kuonewa sijui kama atarudi a=kuhudumia au sio, maana sisi wasafiri tunaelwewa kuwa alivinjwa moyo na hakuona sababu ya kuendelea na kuhudumia hii sekta, maana sidhani kama hata ALIPOAMUA MWENYEWE kusimamishi kuna mhusika waekta hii aliejaribu hata kuwauliza nini kilichotokea. Lakini hatuhui, ila wenyewe ndio watakaojua na nadhani wameamuwa kukaa kimya kabisa.
Hayo ndio yangu machache lakini tusizungumzie masuala ya skandi kama washabiki tu maana hii ni athari kwa watanzania.
Chunguzeni muone wangapi ambao wamesaidiwa kusema uongo kuwa wamepata hasara kwenye mtikisiko wa uchumi na kupewa fedha za bure iweje hii kampuni hata isiulizwe,
Wajameni tuweni macho nas uonevu wa aina hii na inaweza mfika mtiu yeyote.
tumesikia majuzi hapa wasafirishaji walitaka kugoma, na hiyo wangefanikiwa sababu skandi haipo, laiti skandi ingekuwapo hayo yasingetokea maana tumeshuhudia mara nyingi huko nyuma migomo kama hii ilitaka kutokea lakini kwa skandi licha ya kuonewa hakuungano nalo, migomo hiyo haikufanyika,
Hayo ni yangu machache wajameni
Mbona kuna watu wamepewa fedha BURE hapa tz wakati hakuna