Kifo cha Kanumba: Ni uzembe tu? Sio Lulu!

kwa nini lulu na mdogo'ake kanumba wasingesaidiana kumpa huduma ya kwanza? Lulu hakwepeki kwenye hizo lawama, iweje atoe tu taarifa na kukimbia asitoe ushirikiano kumpatia msaada kanumba! Mimi nasema lulu hawezi kujinusuru ktk hzo lawama.

Nyinyi munaohukumu na kulaumu nadhani munasahau jambo moja au mawili. Kwanza ni kwamba munaangalia sasa documentaries za crime and investigation kwa hivyo munatarajia mambo huwa yanatokea kivile muda wote.

Pili mumesahau kwamba hapa ni Afrika, huyo ndugu yake hakuwa prepared to deal with such emergencies psychologically, na ndiyo maana akaona bora amuite daktari. Vile vile elimu yake imefikia wapi ili kuweza kuchanganua mambo kwa urahisi zaidi.

Lawama za kiSherlock Holmes hazisaidii kitu kwa kwetu Afrika.
 
.........Ila hadi uchunguzi ukamilike itachukua muda, na kipindi chote hicho Lulu atakuwa rumande labda kama atapata dhamana. Na hata kama akija kuachiwa huru......atakuwa na kovu ambalo halitapona maishani mwake yote.
Hatokuwa Lulu yule yule tuliomzoea. Namuonea huruma sana Lulu.

l
 
i can see this kanumba-lulu conundrum has turned into a field day for professional and bush lawyers alike...
 
Mkuu Nas Das.hakika umenena.yote uliyoongea yana ukweli mtupu,kama wanajamii F

tukielewana hakuna Police wala hakimu ambaye anaweza akamhukumu yule mtoto,
mengine tuyaache kama yalivyo na si kama tunaingilia uhuru wa police,atleast pawe
na pakuanzia,ni mara nyingi tumeshuhudia haki ya mtu ikinyongwa na kushangaa kama
kweli aliyehukumu ni Hakimu kweli na aliyesomeshwa kwa kodi za wananchi tena walalahoi
au alikuwa anazingatia misingi ya haki inasema nini!
R.I.P- S.KANUMBA
 
Binafsi nilizipata taarifa hizi jana mchana.
But ntill now nilikua sijajua nini chanzo cha kifo chake.
Sasa nadhani naweza sema pia kuna kitu nyuma ya pazia.Kama kweli kulikua na misunderstanding chumbani,na majirani walisikia na wakafika eneo la tukio,why kwa kushilikiana na mdogo wa marehemu wasingevunja mrango?
There is some thing here,but let us wait first!
 

Well said! I tend to agree with this line of thinking.
 
Hello Mr. Pasco,
Nimevutiwa sana na tafakuri ya mazingira ya kifo cha Kanumba. Kiukweli mimi binafsi niligubikwa na simanzi nzito ingawa niko mbali sana kwa sasa takribani mwaka mmoja niko china. Kanimba ni mmoja wa wasanii ambao niliwakubali sana katika tasnia ya filamu na hata akanifanya nikubali bongo muvie, na siku ya tukio nilikua naangalia muvie yake ya "Crazy Love", na niliumia sana kwenye scene ile ya yeye kupigwa baada ya kukutwa na mke wa mtu, akapigwa hata akapoteza timamu zake kwa muda. Mimi sina mengi juu ya hukumu yake kwani Allah ndiye hakimu.

LAKINI,

Nikafunguka fahamu na kujiuliza maswali wa kadha, ambayo pia yamenifanya nijiunge na jamii forum kwani sikua mwanachama wa platform hii. Kiukweli haya ni majambo ya kiinteligensia kweli na labda kuna vyombo ambavyo viko responsible kushughulikia kwa mujibu wa katiba yetu, ila mwananchi mwema hakatazwi kutoa mchango wa kuliona hili kwa upana kwani hata hao ambao wanahusika kwa sasa watategemea watu ambao walikuapo kwenye tukio. Nilijiuliza maswali mengi na si kwa mantiki ya kumgandamiza Lulu, ila swali langu ni kama ifuatavyo;

1. Nini kilifanya Lulu aondoke ilhali yule ni mpenziwe na sidhani kulikua na kitisho chochote kwake kutoka kwa bwana bosco ambacho kilimfanya yeye akimbie?

Halafu tafakuri ya muvie alizoigiza kanumba kaka zinanipa mshutko juu ya nguvu za hawa watu wanaitwa "Illuminati", inasadikiwa by saa saba usiku wa tarehe saba bwana kanumba alifariki dunia akitokea kuoga. Kuna vitu kadha hapa vya kuvitafakari, saa saba (7), tarehe saba (7) na jina lake likiwa na herufi saba (7), jumla yake ni zile triple seven (777) zinazohusishwa na kafara ya daraja ya juu kabisa kwa hawa freemason, na kuoga kumerepresent "Rain Man". Nina wasiwasi tukio hili ni zaidi ya Lulu, kwa kuwa kwa ninavyomjua mimi Lulu hana ubavu wa kumsukuma the great, na Lulu alikua kama alivyozaliwa, freemason wanawatumia wanawake kama agent of evil, naye lulu alikua katika umbo lile la ibilisi tena kwenye ijumaa kuu (siku ya saba katika juma). Utajiuliza kwa nini muda wote huo kama ulivyoeleza hapo juu, saa sita mpaka saa kumi na moja alfajiri, kivipi?, hapo palikua na mipango inafanyika. Na pia huyu jamaa wa nigeria anaeitwa Ramsey alikua Bongo few weeks ago, unajua alikuja kufanya nini? huyu ndie walie act muvie pamoja ile ya Evil Kingdom, unapata somo gani kutoka muvie ile? jiulize kwa kina utapata majibu. Kwa hivyo kwa tafakuri yangu mimi Lulu alikua scapegoat kufanikisha lengo la kafara ya juu kabisa na hivyo High profile celebrity Kanumba karata ilimwangukia na wengine wanafuata muda utakapofika.

Karibuni tuchanganue.
 
Mbona madkatri wanakataa kutibu watu mpaka waonyeshwe hiyo PF3?
bht umeji- mislead, madaktari watakataa kama watakuona kuwa una uwezo wa kwenda kuchukua hiyo PF 3 na hujafanya hivyo. na sio wanakataa, hapana. wanatia shaka juu ya kuumia kwako. jaribu kufikiria ajali ya majeruhi zaidi ya 20 walio na hali mbaya, uzoefu unaonyesha kuwa wanatibiwa kwanza PF 2 baadae. sababu kubwa ni kwamba chanzo cha majeraha yao kinajulikana.
 
haka kabint ndiyo kanajua ukweli wote, kwa jinsi baadhi ya blogs zinavyoripoti kwamba hataki kutoa ushirikiano na polisi na anataka lazima wakili wake awepo na vilevile yote anayozungumza yarekodiwe, sifikirii kama mtu unaweza ukaua mtu hiwe kwa bahati mbaya ama maksudi ukapata na ujasiri wa kuyadai yote hayo, kuna kikubwa zaidi ya hii ya kusukumana kimapenzi. ni hisia zangu tu lakini.
 

Kama kweli hataki kutoa ushirikiano hadi apate uwakilishi wa kisheria basi yuko sahihi kabisa.
 
Jamani kwanini tusisubiri ripoti ya daktari na maelezo yake ndiyo tujadili?

Mtaniuliza kwanini... Sababu,kwamba, hatujui kama alidondoka mwenyewe,ama alisukumwa,hapa DNA itahusika kwenye nguo za marehemu,hasa maeneo ya kifuani ama tumboni.. Na hata zikionekana,zinachunguzika kama ni zamazingira ya kusukuma ama ya kupapasa,ama vinginevyo...

Lulu ndiye anayejua huko walikokuwa walikuwa wapi na walikuwa wamekaa na watu gani .... Na anatakiwa kueleza uhusiano alio nao na Kanumba kipindi cha uhai wake.. Hii itasaidia kujua kama anamjua vizuri na kama SK alikuwa na tatizo lolote la afya...

Na itasaidia na mambo mengine.. Forensic si kazi ndogo...
 

Hata kwangu haingii akilini kabisa...yaani kwa mfano wakuone unabubujikwa na damu na una hatari ya kupoteza damu nyingi na hivyo kupelekea kupoteza uhai halafu wakatae kukupa huduma kisa huna hiyo PF3.

That just defies common sense to me. Nadhani kama ulivyosema, wanaangalia pia na mtu ana hali gani.
 

Hata nawe, pale yanapokukuta jitahidi kuyadai haya....kama una mwasheria wako, make sure anaratibu zoezi hilo! Usisahau kwamba, kuna maelfu kwa maelfu ya watu wanaingia hatiani si kwavile wametenda kosa husika bali wameshindwa kujitetea....kauli ya kwanza inaweza kukufunga usipokuwa makini; therefore, do undermine her kwa lolote lile lakini si hili la kutaka kwanza mwanasheria wake awepo!!
 
Huko kwa jarani zetu kenya ni kawaida tu wanaume kupigwa. Inawezekana kanumba yamemkuta hayo
 
Nilikwisha sema kwenye thread nyengine, huyu binti kivyovyoye hawezi kuonekana mkosa! Kwanini;
1 binti amekutwa na majeraha, ina maana kuwa kulikua na fights, hivyo binti huyo alikua anajilinde "SELF DEFENSE"
2 ugomvi ulianzia kwenye simu kama inavyosemwa, simu ni personal property, kitu cha private, kumpokonya na kuanza kumshambulia ni kosa!
3 hakuna silaha ilotumika, Kanumba kateleza au kasukumwa yote mawili ni possible, km nlivokwisha sema self defense ni haki yake binti.
4 walikitwa uchi?! Ee! Binti akisema kuwa alikua analazimishwa ngono je? Balaa
5 Kanumba alikua na huyu binti tangu alivokuwa under 18?!! Hii ni dhambi, km msemavyo biblia inavosema "mshahara wa dhambi kifo" Kanumba amepata mshahara wake! Alistahiki kifungo cha miaka 30 kwenda mbele

Namalizia huyu binti kutokana na facts na story ilivo na kama alivohadithia nduguye kanumbe basi binti ni INNOCENT! ushabiki uwekwe pembeni.
 

ha ha haa!

umesema kama baba, kama mzazi sina la kuongeza. wazazi lets play our part mengine Mungu atusaidie...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…