Nashukuru kwa kutaka kujua ukweli, unajua ukweli juu ya mtu wa mungu anataka kujua hata kile shetani anchofanya ima kwenye giza au la mchana. Illuminati ambao ndio hao hao Freemason, hii pia ni njia tu ya kuwafool watu wawe na maswali juu ya kupambanua makundi haya mawili, ila ndugu yangu wote hawa ni identical twins wanaovaa nguo tofauti. Ninasikitika sana juu ya watu wengikutotambua vitu wa kadha ambavyo tunavifanya bila kujua (kwa walio wengi) kwa ulimbukeni wa USASA, ila ni kama tunajipiga chapa au muhuri kuhimidi "illuminati". Kwanza ujue kua Illuminati one of their objective ni kumchallenji mungu, na huu ndio mzizi wa fitina zao zote, they want to see what god can do. Wanatumia Alama nyingi sana (jicho moja, punda mweusi, alama za mikono n.k). Nikipata muda zaidi nitachambua kwa kina kwa kadiri ya uwezo wangu kwenye fursa ingine. Ila
Kwa msingi tu, Illuminati wanatumia falsafa ya namba (numerology) kuwasiliana na kufanya majambo yao kadha ikiwemo kafara, yaani kama wakrsto na waislamu wanavyotumia lunar na solar calendar kusherehekea sikukuu zao mbalimbali na vitu vinginewe, basi nao Iluminati wanatumia namba ingawa wao hawaishii kwenye tarehe kwa kuwa namba zina mantiki kubwa sana kwao. Namba hizi 11, 7, 33, 9 ni namba zinazobeba mantiki kubwa sana. Nadhani unaweza kuziona namba hizi kwenye makasino ya kamari na kwingineko kunakofanana na starehe zinazohusisha wanawake na ngono na vinginevyo, namba hizi hazipo pale tu kama urembo kaka zinabeba maana kubwa sana.Mwanamke kama symbol ya dhambi ni agent muhimu sana katika utekelezaji wa ishu zao, angalia muvie inaitwa Eyes wide shut, Devils Kingdom, Queen of the Damned, Twilight na zinginezo; angalia miziki kama Power (Kanye west) na kadha wa kadha. Matukio kama September 11,2001 (yaani 9,11,3) na zaidi angalia namba za ndege nne zilizotumika kufanya makaveli
American Airlines Flight 11=21=
3,11, United
Airlines Flight 175=20,1+7+5=13 then 20+13=
33, American Airlines Flight=21(2+1)=
3, 77, na
United Airlines Flight 93.=20,9,3=9+2+0=
11,3. You may think these numbers are chosen randomly, they don't do random, and carries a very significant meaning. The use of their numbers extends to time, names, places, amount of people around and the like.
So kuna ushahidi kadha wa kadha juu ya hii secret society. Ila sheria ni moja njia uliyoingilia ndiyo utakayotokea kama hutakubaliana na masharti yao, you know when you sell your soul to the devil dont expect when you want to get off he will let you, there is a price to pay, na mara nyingi ndio wanazitumia kama kafara ya kucleanse the kingdom, na hapo watatumia namba kwa makini sana kusafisha ufalme wao, bahati mbaya hawakukosi kwa kuwa tayari una doa la giza lao. Na hivyo mara nyingi wakishampin point victim wao watamuinduce na kadhaa kadha wa kadha ili kudamage public image yake (na hapa tunasikia maneno mabaya ya marehemu kanumba juu ya mzee wake), na hiiinatokea bila ya victim kujua ni kama yukokwenye hypnosis ya hali ya juu, sababu jiulize kwa nini maneno hayo yanasemwa sasa na sio siku nyingi zilizopita. Na kisha public image ya victim ikiwa imepuvuka kidogo basi hutafutwa scapegoat (ataetupiwa lawama) kwa msingi wa kuconceal their crooks, na tukio husetiwa kiasi ambacho scapegoat na victim watabeba uhusika mkubwa juu ya uzembe uliosababisha kitakachotokea. Note hawa jamaa ni wasiri so wanafanya mambo yao kwa parables and puzzles, Tafakari haya kwa kureflect deaths of Michael Jackson (June, 25, 2009) ambayo ni
6-7-11, ni sawa na 3,3,7,11, Left eye, Aaliya (August 25,2001)=
8,7,3 pia wsawa na 7, 11, Whitney Houston (February, 11, 2012) ukiibaisha hii kwenye utaratibu wa 11, 2, 2012 =
11, 7, Saddam hussein (December 30, 2006) yaani 12=
3,3,9. Osama Bin Laden (May, 2=
7,'11=
11) na amezikwa kwenye bahari kureflect "Rain Man" ambayo ina herufi SABA. Gaddafi (20 october, 2011) =
2+0+1+0=3, 2+0+11=13, then 13+3=16, then 1+6=7, jina lake lina herufi Saba=7,na kumi na moja yetu ipo 11. Tafakari ni matukio gani makubwa yalitokea Tanzania Tarehe 14 (7+7), October, 1999, na 21 May 1996 na jaribu kuchanganya namba hizo utanielewa sasa kuwa kuna
world order=11. Namaba kumi na moja inarepresent fundamental rejuvination of Kingdom of the Dark. na matukio makubwa kama yale ya september eleven hutokea kila baada ya miaka kumi na moja na mwaka huu 2012 ni miaka kumi na moja tangu september 11, kaa mkao wa kujihami. Unaweza kuona jinsi gani kifo cha ndugu yetu kilivyomatch namaba hizi Kuoga=rain man=7, saa saba=7, tarehe saba=7, na jina lina herufi saba pia, angalia tena Steven =6, Charles=7,Kanumba=7, ambayo ni sawa na 3,3,7,7.hizi ni namba za jackpot bingo kama bado uko nami kwenye mantiki ya namba.
Na pia tufahamu kuwa anapodondoka high profile celebrity kama hivi usually two more moderately low profile celebrity should escort, let see who is who. So bad even most of them celebrities do not know ABOUT ILLUMINATI OPERATIONS AND ITS WHEN THEY ARE TOLD ABOUT IT BY THE RAIN MAN, THAT THEY REFUSE TO OBEY THINKING THEY GOT THE FAME BY THEMSELVES, THAT'S WHEN ITS TOO LATE AND YOU WILL NEVER LEAVE WITH HEAD INTACT.
THATS LITTLE I HAVE KNOWN ABOUT THESE PEOPLE ANS I ASSURE YOU THEY EXIST AND THIS IS HOW THEY WORK. THEY DON'T ARE OWNERS OF BIG CORPORATIONS, RICH PEOPLE AND THE ALIKE.