Kifo cha kweli cha Adolph Hitler: Hebu tuachane kwanza na ile ya kujiua kwa tindikali au kukimbilia kwake Argentina

Kifo cha kweli cha Adolph Hitler: Hebu tuachane kwanza na ile ya kujiua kwa tindikali au kukimbilia kwake Argentina

Hitler naamini alijiua kwenye fuhrer bunker.Hii ni sehemu ambayo ilikuwa chini ya ardhi.Wakati anakaribia kupoteza kwenye vita ya pili ya dunia alikuwa anajificha kwenye hii sehemu yeye na wasaidizi wake kama kina herman goring na yule aliyekuwa waziri wake wa propaganda za kiNazi joseph gobbles.

Katika kitabu chake kinachoitwa Mein Kempf hitler anatueleza alivyokuwa anafikiria kujiua baada ya mapinduzi yake ya kuchukua nchi kufeli mwaka 1923 na alifungwa jela,alipokuwa jela alikuwa na mawazo ya kujiua,mapinduzi haya yalikuwa yanaitwa beer hall pusch.

Kwa kutaka kule kujiua alipokuwa jela kunaonesha kabisa ni mtu ambaye kujiua kwake ni jambo la suluhu pale mambo yanapo muendea mrama.Hivyo kuna uwezekano alipoona ujerumani inapoteza vita ya pili ya dunia akaona ajitoe roho.

Miongoni mwa wasaidizi wake ambao pia walijiua ni Heinrich Himmler(Mkuu wa jeshi la schutzstaffel),Herman Goring(Reich marshal) na joseph goebbels(waziri wa propaganda)

Kuna siku nitakuja na mada inayowaelezea hawa waliokuwa wanaitwa schutzstaffel kwa kifupi SS ambao kofia zao zilikuwa zina alama ya fuvu la kichwa kuashiria ni watu wa kifo.Hakujawahi kutokea wauaji hapa duniani kama hawa jamaa.Ile idadi ya wayahudi milioni 6 waliouwawa wakati wa Hitler hawa jamaa wanaoitwa ss ndio walikuwa wanahusika.
View attachment 1735324
Huyu pichani anaitwa Himmler ndio alikuwa mkuu wa vikosi vya schutzstaffel nchi nzima.Huyu ndio alikuwa mtekelezaji mkuu wa mauaji ya wayahudi

Nadhani wayahudi walipokuwa wanaona mtu mwenye nguo kama za huyu hapa chini wakati ule wa utawala wa Hitler basi wayahudi walikuwa wanakiona kifo kipo karibu yao
View attachment 1735633
Mkuu hebu lete hii story maana hawa miamba waliua sana watu hasa zile kambi zao km sobibor n ile ya polland
 
Mkuu hebu lete hii story maana hawa miamba waliua sana watu hasa zile kambi zao km sobibor n ile ya polland
Sobibor yenyewe ilikuwa Poland,kulikuwa Luna kambi za aina hii
Concentration camp(Dachau,Buchenwald)
Death camp(Sobibor,Belzec,Auschwitz)
Labour camp(Mauthausen,flossenburg)
POW(Prisoner of War Camp) nimezisahau

Ingawa walizicategorised kwa namna hii lakini kwenye kila aina ya kambi hizi kulikuwa na mateso,ukatili,vifo na kazi ngumu.Hizi death camp zilikuwa zinaitwa death camp kwa kuwa kulikuwa na vyumba maalumu kwa ajili ya kuuwa watu wengi kwa wakati mmoja kwa kutumia gas sumu mfano Zyklon B imetumika sana Auschwitz kuua watu na inasemekana ni death camp iliyoua watu wengi zaidi kuliko nyingine
 
Sobibor yenyewe ilikuwa Poland,kulikuwa Luna kambi za aina hii
Concentration camp(Dachau,Buchenwald)
Death camp(Sobibor,Belzec,Auschwitz)
Labour camp(Mauthausen,flossenburg)
POW(Prisoner of War Camp) nimezisahau

Ingawa walizicategorised kwa namna hii lakini kwenye kila aina ya kambi hizi kulikuwa na mateso,ukatili,vifo na kazi ngumu.Hizi death camp zilikuwa zinaitwa death camp kwa kuwa kulikuwa na vyumba maalumu kwa ajili ya kuuwa watu wengi kwa wakati mmoja kwa kutumia gas sumu mfano Zyklon B imetumika sana Auschwitz kuua watu na inasemekana ni death camp iliyoua watu wengi zaidi kuliko nyingine
aiseee🤔🤔
 
Jeshi la Ujerumani la wakati wa Hitler( wehrmacht) lilikuwa ni jeshi imara na lenye nguvu.Kuna neno Hitler alikuwa analitumia kumaanisha speed ambayo hili jeshi lake linaitumia kupigana vita.Neno lenyewe ni Blitzkrieg ni neno la kijerumani likimaanisha Lightening War yaani vita yenye spidi ya radi(ule mwanga wa radi unaopiga kwa spidi).

Hitler alikuwa anamaanisha jeshi lake linavamia nchi za ulaya na kuzikamata kwa spidi ya radi.Jeshi hili la Ujerumani lilipokuwa linazivamia nchi mbalimbali kama Poland na hata Soviet Union,lilikuwa linaambatana na vikosi fulani ambavyo vilikuwa na kazi maalumu na wala si kupigana vita.Vikosi hivi vilikuwa vinaitwa Einsatzgruppen kwa kijerumani.Kwa jinsi vikosi hivi vilivyokuwa vinafanya kazi tunaweza kuviita Mobile Killing Squad.Kwa sababu vilikuwa vinatoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kutekeleza mauaji.Jeshi la Ujerumani lilikuwa kazi yake kupigana vita ila hawa einsatzgruppen walikuwa na kazi maalumu ya kudeal na Jews na walikuwa hata wanalalamikiwa na jeshi la ujerumani kwa mauaji waliyokuwa wanafanya lakini jeshi halikuwa na namna kwasababu order ya mauaji ilikuwa inatoka kwa Hitler.

Kazi kubwa ya hivi vikosi ilikuwa; pale jeshi la ujerumani likishavamia nchi fulani na kuikamata einsatzgruppen kazi yao ilikuwa kuwazunguka wayahudi katika miji na vijiji mbalimbali na si wayahudi tu na hata watu fulani fulani ambao walikuwa wanatakiwa kuuwawa kama wasomi na watu wengine muhimu pia hata wale ambao walikuwa wanapinga uvamizi.Ukiachana na einsatzgruppen pia nchi zilizokuwa zinavamiwa na ujerumani kulikuwa kunamwagwa Police fulani wanaofanya kazi zao kwa siri,hawa walikuwa wanaitwa Gestapo(Geheime Staatspolizei) au tuwaite Germany Secret Police,hii ilikuwa ni kama Intelligence Agency ya Nazi Germany.Madikteta huwatumia sana hawa secret police kutengeneza fear.Hawa Gestapo wa Hitler hata ujerumani kwenyewe walitengeneza hofu kubwa kwa wajerumani na walikuwa wanaogopeka sana.

Wayahudi (watoto,wanawake,wazee) baada ya kuzungukwa na hivi vikosi vya einstatzgruppen na Gestapo walikuwa wanaongozwa kwenye sehemu maalumu mfano nje ya miji na kwenye maeneo yaliyojitenga huko waliamrimshwa kuchimba Mashimo baada ya hapo wanajipanga pembezoni mwa hayo Mashimo na kupigwa risasi nyuma ya kichwa na kudondokea kwenye hayo Mashimo kisha yanafukiwa.Saa nyingine walikuwa wanalazimishwa kuvua nguo na kuuliwa wakiwa uchi nguo hizo zilikuwa zinachukuliwa na kupelekwa ujerumani,na si nguo tu walikuwa wanachukua na vitu vingine vya wayahudi wanaowaua kama hela,mikufu,miwani,meno ya dhahabu mdomoni na vinginevyo.

Hali ilikuwa mbaya sana Imagine watu wanavuliwa nguo baba,mama na watoto wote wako pamoja hakuna cha mzee wala mtoto wote wanavuliwa nguo.

kwa siku moja einsatzgruppen walikuwa wanaweza kuuwa maelfu watu japo namna hii ya uuaji ilikuwa inawaletea madhara kisaikolojia hata wauaji wenyewe imagine,unawauawa watoto wadogo wa miaka mitatu minne na kuendelea na wewe ni baba wa familia. Na kila siku hawa wauaji walikuwa wanapeleka idadi ya watu waliowaua kwa siku bila shaka ni kwa heinrich Himmler mkuu wa SS(Schutzstaffel) au kwa kijerumani walikuwa wanamuita Reichsfuhrer-SS yaani kiongozi wa SS kitaifa

Baada ya wakuu wa vikosi hivi kuona askari wao wanaathirika sana na kuua kwa risasi ndipo mwaka 1941 walikaa kikao na kupata suluhu ya namna ya kuwauwa wayahudi kwa ufanisi.Suluhu hii iliitwa "the final solution to the Jewish question" sobibor ni miongoni mwa zao la kikao hiki.

Kabla hawajaja na solution hii kuna engineer wa kijerumani alitengeneza gari ambalo kwenye Kebin lilikuwa na gas chamber,gari hilo lilikuwa linatumika Kuwaua wayahudi kwa njia ya gesi ya sumu japo lilikuwa haliko efficient,lilikuwa linaweza kuua watu wachache wachache.Ni hivi engine ya lile gari ilikuwa inabomba ambalo lilikuwa linapeleka hewa ya carbonmonoxide kwenye cabin hivyo mtu akiingizwa kwenye cabin na ikawa sealed ile engine ikiwashwa ule moshi au tuseme gas inayotoka kwenye engine inaingia kwenye cabin na yule mtu aliefungiwa kwenye cabin anaivuta huku akiwa hapati oxygen hivyo baada ya kama dk 25 anapoteza maisha.Wakishakufa mlango wa cabin unafunguliwa wanasubiri dakika kadhaa kisha wanazitoa Maiti na kuwaingiza watu wengine.

Hizi ni baadhi ya picha za siri walizokuwa wanapiga wenyewe wauaji ambazo zilipatikana baada vita mobile killing squad(einstatzgruppen) wakionekana wakifanya mauaji kwa wayahudi.

20210403_003456.jpg


20210403_003435.jpg


220px-Men_with_an_unidentified_unit_execute_a_group_of_Soviet_civilians_kneeling_by_the_side_o...jpg


180606-babi-yar-mc-1117_5d9cf7584be2e722050764e35671b9ee.nbcnews-fp-1200-630.JPG


Na hili ni gari(Gas van) ambalo lilikuwa equipped na gas chamber kwenye cabin kwa ajili ya mauaji
300px-Destroyed_Magirus-Deutz_furniture_transport_van_Kolno_Poland_1945-3.jpg
 
Jeshi la Ujerumani la wakati wa Hitler( wehrmacht) lilikuwa ni jeshi imara na lenye nguvu.Kuna neno Hitler alikuwa analitumia kumaanisha speed ambayo hili jeshi lake linaitumia kupigana vita.Neno lenyewe ni Blitzkrieg ni neno la kijerumani likimaanisha Lightening War yaani vita yenye spidi ya radi(ule mwanga wa radi unaopiga kwa spidi).

Hitler alikuwa anamaanisha jeshi lake linavamia nchi za ulaya na kuzikamata kwa spidi ya radi.Jeshi hili la Ujerumani lilipokuwa linazivamia nchi mbalimbali kama Poland na hata Soviet Union,lilikuwa linaambatana na vikosi fulani ambavyo vilikuwa na kazi maalumu na wala si kupigana vita.Vikosi hivi vilikuwa vinaitwa Einsatzgruppen kwa kijerumani.Kwa jinsi vikosi hivi vilivyokuwa vinafanya kazi tunaweza kuviita Mobile Killing Squad.Kwa sababu vilikuwa vinatoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kutekeleza mauaji.Jeshi la Ujerumani lilikuwa kazi yake kupigana vita ila hawa einsatzgruppen walikuwa na kazi maalumu ya kudeal na Jews na walikuwa hata wanalalamikiwa na jeshi la ujerumani kwa mauaji waliyokuwa wanafanya lakini jeshi halikuwa na namna kwasababu order ya mauaji ilikuwa inatoka kwa Hitler.

Kazi kubwa ya hivi vikosi ilikuwa; pale jeshi la ujerumani likishavamia nchi fulani na kuikamata einsatzgruppen kazi yao ilikuwa kuwazunguka wayahudi katika miji na vijiji mbalimbali na si wayahudi tu na hata watu fulani fulani ambao walikuwa wanatakiwa kuuwawa kama wasomi na watu wengine muhimu pia hata wale ambao walikuwa wanapinga uvamizi.Ukiachana na einsatzgruppen pia nchi zilizokuwa zinavamiwa na ujerumani kulikuwa kunamwagwa Police fulani wanaofanya kazi zao kwa siri,hawa walikuwa wanaitwa Gestapo(Geheime Staatspolizei) au tuwaite Germany Secret Police,hii ilikuwa ni kama Intelligence Agency ya Nazi Germany.Madikteta huwatumia sana hawa secret police kutengeneza fear.Hawa Gestapo wa Hitler hata ujerumani kwenyewe walitengeneza hofu kubwa kwa wajerumani na walikuwa wanaogopeka sana.

Wayahudi (watoto,wanawake,wazee) baada ya kuzungukwa na hivi vikosi vya einstatzgruppen na Gestapo walikuwa wanaongozwa kwenye sehemu maalumu mfano nje ya miji na kwenye maeneo yaliyojitenga huko waliamrimshwa kuchimba Mashimo baada ya hapo wanajipanga pembezoni mwa hayo Mashimo na kupigwa risasi nyuma ya kichwa na kudondokea kwenye hayo Mashimo kisha yanafukiwa.Saa nyingine walikuwa wanalazimishwa kuvua nguo na kuuliwa wakiwa uchi nguo hizo zilikuwa zinachukuliwa na kupelekwa ujerumani,na si nguo tu walikuwa wanachukua na vitu vingine vya wayahudi wanaowaua kama hela,mikufu,miwani,meno ya dhahabu mdomoni na vinginevyo.

Hali ilikuwa mbaya sana Imagine watu wanavuliwa nguo baba,mama na watoto wote wako pamoja hakuna cha mzee wala mtoto wote wanavuliwa nguo.

kwa siku moja einsatzgruppen walikuwa wanaweza kuuwa maelfu watu japo namna hii ya uuaji ilikuwa inawaletea madhara kisaikolojia hata wauaji wenyewe imagine,unawauawa watoto wadogo wa miaka mitatu minne na kuendelea na wewe ni baba wa familia. Na kila siku hawa wauaji walikuwa wanapeleka idadi ya watu waliowaua kwa siku bila shaka ni kwa heinrich Himmler mkuu wa SS(Schutzstaffel) au kwa kijerumani walikuwa wanamuita Reichsfuhrer-SS yaani kiongozi wa SS kitaifa

Baada ya wakuu wa vikosi hivi kuona askari wao wanaathirika sana na kuua kwa risasi ndipo mwaka 1941 walikaa kikao na kupata suluhu ya namna ya kuwauwa wayahudi kwa ufanisi.Suluhu hii iliitwa "the final solution to the Jewish question" sobibor ni miongoni mwa zao la kikao hiki.

Kabla hawajaja na solution hii kuna engineer wa kijerumani alitengeneza gari ambalo kwenye Kebin lilikuwa na gas chamber,gari hilo lilikuwa linatumika Kuwaua wayahudi kwa njia ya gesi ya sumu japo lilikuwa haliko efficient,lilikuwa linaweza kuua watu wachache wachache.Ni hivi engine ya lile gari ilikuwa inabomba ambalo lilikuwa linapeleka hewa ya carbonmonoxide kwenye cabin hivyo mtu akiingizwa kwenye cabin na ikawa sealed ile engine ikiwashwa ule moshi au tuseme gas inayotoka kwenye engine inaingia kwenye cabin na yule mtu aliefungiwa kwenye cabin anaivuta huku akiwa hapati oxygen hivyo baada ya kama dk 25 anapoteza maisha.Wakishakufa mlango wa cabin unafunguliwa wanasubiri dakika kadhaa kisha wanazitoa Maiti na kuwaingiza watu wengine.

Hizi ni baadhi ya picha za siri walizokuwa wanapiga wenyewe wauaji ambazo zilipatikana baada vita mobile killing squad(einstatzgruppen) wakionekana wakifanya mauaji kwa wayahudi.

View attachment 1741771

View attachment 1741772

View attachment 1741773

View attachment 1741774

Na hili ni gari(Gas van) ambalo lilikuwa equipped na gas chamber kwenye cabin kwa ajili ya mauaji
View attachment 1741776
Aisee shukraani san mkuu kwa kutongezea kitu

Hao SS under himler binafsi nmewavulia kofia natamani kujua hatma yao ilikuwaje na ubabe wao
 
Aisee shukraani san mkuu kwa kutongezea kitu

Hao SS under himler binafsi nmewavulia kofia natamani kujua hatma yao ilikuwaje na ubabe wao
Baada ya ujerumani kuona dalili za kushindwa vita ya pili ya dunia iko dhahiri walijua kitakachofuata ni kukamatwa na majeshi ya ushirikiano(Allies) ambayo yalikuwa ni majeshi ya nchi ya nchi tatu Great Britain,Russia,na United States).Wajerumani walijua watakapotiwa mikononi na haya majeshi watakuwa na hali ngumu ukizingatiwa walikuwa wamefanya uhalifu mbaya dhidi ya binadamu,walijua kabisa kitakachofuata ni kushtakiwa.Baadhi ya viongozi wa SS walianza kutoroka huku wakimsaliti Hitler, mmoja wao akiwa ni huyo Heinrich Himmler ambaye alikuwa ameamua kutoroka akisafiri kwa kutumia fake documents lakini alikamatwa na majeshi ya allies.

Hitler nae baada ya kuona allies wanaingia Berlin ndipo yeye na baadhi ya wasaidizi wake wakaamua kujiua kwenye fuhrer bunker.Hii fuhrer bunker ni andaki ambalo alikuwa analitumia hitler kujikinga na mashambulizi ya anga.Hivyo hitler na baadhi ya wasaidizi wake akiwemo joseph goebbels (Waziri wa Propaganda)walijiua huko kwenye handaki.

Neno fuhrer kwa kijerumani maana yake ni kiongozi ni neno ambalo lilikuwa linatumiwa kumaanisha kiongozi wa ujerumani(Third Reich)ambaye ni Hitler kama North Korea wanavyotumia Supreme Leader kumaanisha ni Kim Jong un.

Viongozi wengi wa serikali ya Hitler walikuwa ni wanachama wa SS.Hii ilikuwa ni organization kubwa na imegawanyika katika nyanja mbalimbali mfano SS ilikuwa na vitengo kama vya intelligence,Administration ya Death Camps na Concentration Camps,vikosi vya vita vya SS(Waffen SS) kwa kifupi SS ilikuwa ni Organization kubwa ya Nazi Party.

Hawa waliokuwa wanaendesha hizi death camps na concentration camps walikuwa ni kutoka kitengo kinachoitwa Death Head Unit(Totenkopfverbande) ambao walifundishwa kuwa watu katili mno na kuwachukia wayahudi walikuwa ni watu wasio na huruma hata kidogo na binadamu anayeitwa jew(Myahudi).

Kuna vitengo vilikuwa vinaratibu kabisa usafiri wa treni wa kuwasafirisha wayahudi kwenda kuuwawa kwenye death camps.Wayahudi wakishazingirwa wanapelekwa kwenye vituo maalumu wanapakiwa kwa kujazwa kwenye treni za mizigo na kupelekwa kuuwawa na death camps watoto,wazee,wanawake kwa wanaume.

Baada ya Allies kuiteka ujerumani baadhi ya viongozi wa serikali ya Hitler walikamatwa ikiwa ni pamoja na Heinrich Himmler (mkuu wa SS) na Herman Goering (supreme commander of the Luftwaffe).

Luftwaffe maana yake ni jeshi la anga la ujerumani wakati wa Hitler.
Baada ya wahalifu hawa kukamatwa walifunguliwa mashtaka kwenye mahakama iliyoundwa na nchi tatu uingereza,marekani na urusi na mashtaka haya yalijulikana kwa jina la Nuremberg trial pengine inawezekana mahakama hii ilikuwa kwenye mji wa Nuremberg huko ujerumani.Hukumu mbalimbali zilitolewa kufuatana na uzito wa makosa.Wengine walihukumiwa kunyongwa na wengine vifungo na wasio na hatia bila shaka waliachwa huru.SS organisation ilitangazwa kuwa ni criminal organization na ilipigwa marufuku na mahakama.Chama cha Nazi cha Adolf Hitler nacho kilitangazwa kuwa ni criminal organization na kikapigwa marufuku hata organization mbalimbali kwenye utawala wa Hitler zilipigwa marufuku wakiwemo Gestapo(Secret Police)

Nazi party ni chama cha Adolf Hitler ambacho kilichukua nchi kuanzia mwaka 1933 - 1945 na mara kiliposhika nchi ndipo mateso kwa wayahudi na hata wajerumani yalipoanza.Kirefu cha Nazi ni Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterpartei.Hivyo mahakama ilikipiga marufuku chama hiki na kukitangaza kuwa ni criminal organization.

Viongozi wakubwa wawili ambao walikwepa kunyongwa ni Heinrich Himmler na Herman Goering.Hawa walijiua wakiwa rumande kabla hata adhabu zao hazijatekelezwa.Na chanzo cha vifo vyao ni sumu aina ya cyanide ambayo mpaka leo inashindwa kueleweka waliipata wapi wakati walikuwa rumande.

Hizi na baadhi ya picha za SS(Schutzstaffel) kutoka division ya totenkopfvernande(Death Head Division ambao ndio walikuwa na kazi ya kuendesha death camps na concentration camps zilizokuwa zinaua sana wayahudi na watu wengine.Kwenye kofia zao kuna alama ya fuvu linaloashiria kifo.
250px-Bundesarchiv_Bild_192-206,_KZ_Mauthausen,_SS-Männer_vor_Gefangenen.jpg


240px-Bundesarchiv_Bild_192-025,_KZ_Mauthausen,_SS-Scharführer.jpg
 
Jeshi la Ujerumani la wakati wa Hitler( wehrmacht) lilikuwa ni jeshi imara na lenye nguvu.Kuna neno Hitler alikuwa analitumia kumaanisha speed ambayo hili jeshi lake linaitumia kupigana vita.Neno lenyewe ni Blitzkrieg ni neno la kijerumani likimaanisha Lightening War yaani vita yenye spidi ya radi(ule mwanga wa radi unaopiga kwa spidi).

Hitler alikuwa anamaanisha jeshi lake linavamia nchi za ulaya na kuzikamata kwa spidi ya radi.Jeshi hili la Ujerumani lilipokuwa linazivamia nchi mbalimbali kama Poland na hata Soviet Union,lilikuwa linaambatana na vikosi fulani ambavyo vilikuwa na kazi maalumu na wala si kupigana vita.Vikosi hivi vilikuwa vinaitwa Einsatzgruppen kwa kijerumani.Kwa jinsi vikosi hivi vilivyokuwa vinafanya kazi tunaweza kuviita Mobile Killing Squad.Kwa sababu vilikuwa vinatoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kutekeleza mauaji.Jeshi la Ujerumani lilikuwa kazi yake kupigana vita ila hawa einsatzgruppen walikuwa na kazi maalumu ya kudeal na Jews na walikuwa hata wanalalamikiwa na jeshi la ujerumani kwa mauaji waliyokuwa wanafanya lakini jeshi halikuwa na namna kwasababu order ya mauaji ilikuwa inatoka kwa Hitler.

Kazi kubwa ya hivi vikosi ilikuwa; pale jeshi la ujerumani likishavamia nchi fulani na kuikamata einsatzgruppen kazi yao ilikuwa kuwazunguka wayahudi katika miji na vijiji mbalimbali na si wayahudi tu na hata watu fulani fulani ambao walikuwa wanatakiwa kuuwawa kama wasomi na watu wengine muhimu pia hata wale ambao walikuwa wanapinga uvamizi.Ukiachana na einsatzgruppen pia nchi zilizokuwa zinavamiwa na ujerumani kulikuwa kunamwagwa Police fulani wanaofanya kazi zao kwa siri,hawa walikuwa wanaitwa Gestapo(Geheime Staatspolizei) au tuwaite Germany Secret Police,hii ilikuwa ni kama Intelligence Agency ya Nazi Germany.Madikteta huwatumia sana hawa secret police kutengeneza fear.Hawa Gestapo wa Hitler hata ujerumani kwenyewe walitengeneza hofu kubwa kwa wajerumani na walikuwa wanaogopeka sana.

Wayahudi (watoto,wanawake,wazee) baada ya kuzungukwa na hivi vikosi vya einstatzgruppen na Gestapo walikuwa wanaongozwa kwenye sehemu maalumu mfano nje ya miji na kwenye maeneo yaliyojitenga huko waliamrimshwa kuchimba Mashimo baada ya hapo wanajipanga pembezoni mwa hayo Mashimo na kupigwa risasi nyuma ya kichwa na kudondokea kwenye hayo Mashimo kisha yanafukiwa.Saa nyingine walikuwa wanalazimishwa kuvua nguo na kuuliwa wakiwa uchi nguo hizo zilikuwa zinachukuliwa na kupelekwa ujerumani,na si nguo tu walikuwa wanachukua na vitu vingine vya wayahudi wanaowaua kama hela,mikufu,miwani,meno ya dhahabu mdomoni na vinginevyo.

Hali ilikuwa mbaya sana Imagine watu wanavuliwa nguo baba,mama na watoto wote wako pamoja hakuna cha mzee wala mtoto wote wanavuliwa nguo.

kwa siku moja einsatzgruppen walikuwa wanaweza kuuwa maelfu watu japo namna hii ya uuaji ilikuwa inawaletea madhara kisaikolojia hata wauaji wenyewe imagine,unawauawa watoto wadogo wa miaka mitatu minne na kuendelea na wewe ni baba wa familia. Na kila siku hawa wauaji walikuwa wanapeleka idadi ya watu waliowaua kwa siku bila shaka ni kwa heinrich Himmler mkuu wa SS(Schutzstaffel) au kwa kijerumani walikuwa wanamuita Reichsfuhrer-SS yaani kiongozi wa SS kitaifa

Baada ya wakuu wa vikosi hivi kuona askari wao wanaathirika sana na kuua kwa risasi ndipo mwaka 1941 walikaa kikao na kupata suluhu ya namna ya kuwauwa wayahudi kwa ufanisi.Suluhu hii iliitwa "the final solution to the Jewish question" sobibor ni miongoni mwa zao la kikao hiki.

Kabla hawajaja na solution hii kuna engineer wa kijerumani alitengeneza gari ambalo kwenye Kebin lilikuwa na gas chamber,gari hilo lilikuwa linatumika Kuwaua wayahudi kwa njia ya gesi ya sumu japo lilikuwa haliko efficient,lilikuwa linaweza kuua watu wachache wachache.Ni hivi engine ya lile gari ilikuwa inabomba ambalo lilikuwa linapeleka hewa ya carbonmonoxide kwenye cabin hivyo mtu akiingizwa kwenye cabin na ikawa sealed ile engine ikiwashwa ule moshi au tuseme gas inayotoka kwenye engine inaingia kwenye cabin na yule mtu aliefungiwa kwenye cabin anaivuta huku akiwa hapati oxygen hivyo baada ya kama dk 25 anapoteza maisha.Wakishakufa mlango wa cabin unafunguliwa wanasubiri dakika kadhaa kisha wanazitoa Maiti na kuwaingiza watu wengine.

Hizi ni baadhi ya picha za siri walizokuwa wanapiga wenyewe wauaji ambazo zilipatikana baada vita mobile killing squad(einstatzgruppen) wakionekana wakifanya mauaji kwa wayahudi.

View attachment 1741771

View attachment 1741772

View attachment 1741773

View attachment 1741774

Na hili ni gari(Gas van) ambalo lilikuwa equipped na gas chamber kwenye cabin kwa ajili ya mauaji
View attachment 1741776
Kwanini hitler alikuwa anaua sana wayahudi
Alikuwa na beef gani nao
 
Kwanini hitler alikuwa anaua sana wayahudi
Alikuwa na beef gani nao
Kwanza kabisa kuna kitu kinaitwa anti semitism.Anti semitism ni chuki ambayo walijengewa wayahudi kwenye jamii za ulaya toka vizazi na vizazi.Wazungu walikuwa wanawaona Wayahudi ni watu wa tofauti hasa kiutamaduni.Kama unavyojua wayahudi wana dini zao ambazo walikuwa wanazi practise hata huko ugenini.Embu angalia hata wahindi wanavyoishi hapa kwetu,unaweza kusema ni wenzetu?,unaweza kusema ni jamii moja na sisi?,

hivyo ndivyo hata wayahudi walivyokuwa wanaonekana huko ulaya kwamba ni watu wa jamii tofauti. Hitler amekulia kwenye jamii ambayo ilikuwa inachukia wayahudi na alikuta wayahudi wanachukiwa toka alipokuwa mdogo.

Jambo la pili wayahudi walikuwa ni watu ambao wamefanikiwa sana kiuchumi na walikuwa na mizizi katika nchi walizokuwemo pengine maisha ya shida aliyopitia adolf Hitler wakati wa utoto na ujana wake pengine alikuwa anaona pengine umaskini wake umetokana na wayahudi kuhodhi uchumi wa mahali husika.

Kwenye kitabu chake mein kempf Hitler aliwalaumu wayahudi kwa matatizo yaliyokuwa yanaikumba ujerumani aliamini kwamba wayahudi wanaihujumu ujerumani na haya ujerumani ilishindwa vita ya kwanza ya dunia kwa ajili ya hujuma za wayahudi na kwenye kitabu chake Alitoa msimamo thabiti jinsi ya kudeal na wayahudi.
 
Huwa sielewi kabisa. Mtu anayeua mpaka watoto anakuinspire vipi? Imagine katoto kako ka kike na ww na mkeo mmepanga mstari mkiwa watupu mnasubiri risasi kwa amri ya anayekuinspire. He was a fool with military powers.
Nakazia hapo "he was a fool with military powers" halafu inawezekana alikuwa na matatizo ya kisaikolojia imagine Hitler alikufa na 56 years hakuwa haya na mtoto.Kuna fununu kuwa inawezekana jogoo lilikuwa halipandi mtungi.Ujue watu wa namba hii huwa wanakuwa na inferiority complex
 
Back
Top Bottom