Mpumbavu mkubwa!View attachment 2908714
- Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
- Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
- Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
- Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
- Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
- Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
- Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714bona
- Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
- Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
- Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
- Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
- Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
- Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
- Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
How do you feel comments zote wanakunanga?? Uko na TatizoHaijakupendeza ehe?! Bahati mbaya hakuna namna ya kukusaidia-POLE
Ungeweka na ile video ambayo ninyi CCM mlimtukana amejinyea ili kuwe na mlinganyo sahili.View attachment 2908714
- Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
- Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
- Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
- Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
- Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
- Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
- Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
Mkuu soma kipengele cha pili utaelewa na tafadhali usilete wivu wa kike kwa kuingiza hoja za uchamaUngeweka na ile video ambayo ninyi CCM mlimtukana amejinyea ili kuwe na mlinganyo sahili.
WAZO;Hilo bango ni vema umtafute mchapishaji mzuri atengeneze kalenda.Utauza sana.
saidia tu mkuu ziweke humu. Aidha angalia kipengele cha pili utaelewa kuwa siwasemi watu wa chama chochote; mie naangalia historia ya Lowassa tuWeka na picha za CCM, kama huna Mimi naweka video zao za matusi kuanzia za Nape, Pole pole na Makonda
Kweli mental.case....closedView attachment 2908714
- Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
- Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
- Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
- Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
- Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
- Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
- Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
Rubbish 🗑 🚮 ,yaani upumbavu huu ndio ulioifikisha Tanzania yetu kwenye hali hii,hatuna usd,umeme,maji Safi na salama na sasa sukari, na hii imetokana na middle class wenye upumbavu huu, kwani wewe ulikua msemaji wa hao uliowataja?,60yrs ya utawala huu ,Singida bado kuna umasikini wa kutupwaView attachment 2908714
- Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
- Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
- Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
- Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
- Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
- Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
- Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
kanywe chai sasa🐒View attachment 2908714
- Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
- Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
- Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
- Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
- Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
- Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
- Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia