Kifo cha Lowassa: Rekodi ziendelee kuwekwa sawa vingenevyo historia itapotea

Kifo cha Lowassa: Rekodi ziendelee kuwekwa sawa vingenevyo historia itapotea

  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Stupid
 
Mungu haumbi upumbavu bali unatokana nakuendekeza ujinga kama ulivyo wewe!
Mpumbavu kaubwa na Mungu ila mjinga anajiumba au kuumbwa na mtu mwenzake kama wewe ulivyofanywa mjinga na walikufanya hivyo
 
  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Unbiased. 💯 true.
 
  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Kumbe jamii forum ina wajinga kiasi hiki?
 
Makabila ya kaskazini yana taratibu za kimila za kuasili watu amboa kiasili sio ukoo/kabila hilo na baadaye kuwa na ukoo/ kabila mpya. Weather Loawasa ana wazazi wa asili ya umeru lakini hilo lilishafutika kwa kukubalika kuwa sehemu ya jamii ya kimasai tena akawa kiongozi mkubwa wa kimala Lenguanan hivyo losawa ni mmasai
Ni mmeru asili ni asili tu
 
  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
UNus..hole
 
  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Hizi ndizo zinazoitwa Siasa: Uongo Mwingiiii hasa ule unaovutia na Kuishi kwa Matukio ya kujifariji. Siasa za Upinzani ni Nyepesi sana.
 
  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Kabila la mtu linapimwaje? Mimi nikiamua kuwa mmakonde, kuna shida? Je, kuna wameru wengine waliojiconvert kuwa Wamaasai?
 
  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Another lost sperm
 
Back
Top Bottom