Kifo cha Mandojo pigo kwa wapenzi wa Bongofleva middle age

hii tabia ya wananchi kujichukulia atua mkononi ni wakati sasa jeshi la polisi kulivalia njuga

Kuna usiku maeneo fulani tulimuokoa mtu aliyeitiwa mwizi kumbe waliomuitia mwizi ndio walikuwa wezi wenyewe wanataka kumuibia.

Binafsi nilishawahi kukurupushwa na vibaka usiku maeneo fulani, wale jamaa kama wangeniitia mwizi ningeweza kufa na mimi.

Kuna haja sasa watu kustaarabika na kuvihusisha vyombo vya dola baadala ya kukimbilia kupiga.
 
Wapo wenye hali nzuri sana tu, ndio maana akifariki kutatolewa michango mingi, si bure jeneza litanunuliwa na Mtu mmoja tu...ila akiwa Hospitalini husikii hilo

Halafu kuna Waigizaji, Watangazaji na Waimbaji
Wangeanza kuhimizwa hao mmojammoja na wasanii ili wasafishe mapito.
 
Dodoma kumekuwaje ? Juzi hapo walimbaka binti wa watu leo ni mengine,

Rest Easy.
 
Ila anaonekana alikua anakula cha Arusha sana
 
Hawa wasanii sio wa kuwaonea huruma wakifulia, hebu ona wanavyoipamba CCM

Matukio kibao yanatokea nchii hii wako kimya hawatumii ushawishi wao kwenye jamii kukemea

Wakipatwa na matatizo eti jamii tuwakumbuke big NO

Kanye ulipokula
This is insensitive, stupid and psychotic
 
Lazima alikuwa mwizi Kuna mwingine Yuko kigamboni wa enzi hizohizo 2004 ukimwona wakikuambia mwizi huoni sababu ya kukataa
 
Wapo wenye hali nzuri sana tu, ndio maana akifariki kutatolewa michango mingi, si bure jeneza litanunuliwa na Mtu mmoja tu...ila akiwa Hospitalini husikii hilo

Halafu kuna Waigizaji, Watangazaji na Waimbaji
Nyie ujamaa unawasumbua.. Mnataka watu wakae wanachangia watu... Come on.. Hata Yesu alisema masikini mnao siku zote. Msibani lazima tuje kushirikiana lakini mawazo ya Michango futa
 
Ila kwa muonekano tu wa uyu mwamba ni wazi kabisa alikuwa anaizo tabia coz sometimes alosto zinawaelemea, ata ivyo isingekuwa rahis watu kumtambua kuwa uyu ni mandojo sabab wasanii wa kale hawatrend sana kwa mionekano yao kumtambua kirahisi kuwa uyu ni fulani. Mfano leo umuone PNC sio rahis kumtambua japo alivuma kipindi hapakuwa na media
 
Lazima alikuwa mwizi Kuna mwingine Yuko kigamboni wa enzi hizohizo 2004 ukimwona wakikuambia mwizi huoni sababu ya kukataa
Unamzungumzia Jose mtambo au?
Mkuu tusiwe wepesi kufanya judgement - Kuhusu Mandojo tusubiri taarifa sahihi kuhusu nini hasa kilitokea, tusihukumu mapema
 
Unamzungumzia Jose mtambo au?
Mkuu tusiwe wepesi kufanya judgement - Kuhusu Mandojo tusubiri taarifa sahihi kuhusu nini hasa kilitokea, tusihukumu mapema
Aliyekuwa anakurupushana nae usiku gizani ndie aliita mwiziiiiiii , usiku badala awe studio anakurupushana na watu ! Msitete wanahitaji msaada

Kuhusu uliyetaja Mimi sijamtaja
 
Hawa wasanii sio wa kuwaonea huruma wakifulia, hebu ona wanavyoipamba CCM

Matukio kibao yanatokea nchii hii wako kimya hawatumii ushawishi wao kwenye jamii kukemea

Wakipatwa na matatizo eti jamii tuwakumbuke big NO

Kanye ulipokula
Hiii kweli wasanii kwenye baadhi ya mambo ambayo sio fair yanayofanywa na viongozi huwa hawakemei licha ya kua na platform ya kufanya hvo yakiwafika wanataka support ya wananchi
 
Naona upotoshaji mwingi wa nini hasa kilimkumba marehemu, bila shaka CCM tayari wamevamia uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…