Kifo cha Mandojo pigo kwa wapenzi wa Bongofleva middle age

Kifo cha Mandojo pigo kwa wapenzi wa Bongofleva middle age

Haya Mambo ya stress mtu akiita tuu mwizi!Watu wanakurupuka bila hata kumhoji kaiba Nini ni hatari sana .Ifike mahali mtu akiuwawa Sehemu wanaokaa Sehemu ya tukio wawe wa kwanza kuhojiwa,hii itakaa sawa.
 
Hiii kweli wasanii kwenye baadhi ya mambo ambayo sio fair yanayofanywa na viongozi huwa hawakemei licha ya kua na platform ya kufanya hvo yakiwafika wanataka support ya wananchi
Unawaonea tu, pesa nzuri ya sanaa ipo kwenye shows za gavoo na other institutions ambazo middlemen wake ni allies wa gavoo. So wakiwa hivyo unasema, watapataje shows nzuri?
Au unahisi show anayoandaa promota huko katoro anaweza kumlipa mbosso mil 10?
 
Unawaonea tu, pesa nzuri ya sanaa ipo kwenye shows za gavoo na other institutions ambazo middlemen wake ni allies wa gavoo. So wakiwa hivyo unasema, watapataje shows nzuri?
Au unahisi show anayoandaa promota huko katoro anaweza kumlipa mbosso mil 10?
Katika maslahi naungana na wewe lakini wasanii wapo mbali sana na baadhi ya mambo ya kijamiii yanayopaswa kupaziwa sauti na kukemewa kwa pamoja mfano mrahisi tu juzi kati Kuna yule binti alifanyiwa udhalilishaji uliona msanii yeyote akitoa neno.... tufanye wasanii wa kiume haiwahusu vipi hawa wa kike kuna aliejaribu kulaani tukio lile?
 
Katika maslahi naungana na wewe lakini wasanii wapo mbali sana na baadhi ya mambo ya kijamiii yanayopaswa kupaziwa sauti na kukemewa kwa pamoja mfano mrahisi tu juzi kati Kuna yule binti alifanyiwa udhalilishaji uliona msanii yeyote akitoa neno.... tufanye wasanii wa kiume haiwahusu vipi hawa wa kike kuna aliejaribu kulaani tukio lile?
Mrengo flan huwa unatafsirika vipi? Ni pale utapokua unafanya hayo unasema, yes ni ya kawaida but yatakuweka kwenye macho ya mrengo flani na kutafsirika"sio mwenzetu"

Hiyo kukemea hayo matukio sio jambo dogo kwa msanii, hiyo ni activism pia maana itaonekana kama Leo umekemea hili kesho utakemea lingine ambalo lina gavoo interest

Haya mambo kwa mifumo yetu si rahisi kwa wasanii kufanya sababh percent kubwa ili kazi yako inaihitaji sana gavoo
 
Hawa wasanii sio wa kuwaonea huruma wakifulia, hebu ona wanavyoipamba CCM

Matukio kibao yanatokea nchii hii wako kimya hawatumii ushawishi wao kwenye jamii kukemea

Wakipatwa na matatizo eti jamii tuwakumbuke big NO

Kanye ulipokula
Oy bro ndo demokrasia hiyo. Unataka Kila mtu awe upande uutakao? Uhuru wa kupenda ukitakacho uko wapi?
Hivi hata kama ni wewe uko tayari kuwa maskini kisa kutetea watu ambao hata ukifa hawataikumbuka familia yako. Wamekula nini wanalala wapi?
Chagua upande ishi nao! Kila mtu akiwa m4c huku kwingine wabaki wapweke? Usifoci tufanane
 
Ila kwa muonekano tu wa uyu mwamba ni wazi kabisa alikuwa anaizo tabia coz sometimes alosto zinawaelemea, ata ivyo isingekuwa rahis watu kumtambua kuwa uyu ni mandojo sabab wasanii wa kale hawatrend sana kwa mionekano yao kumtambua kirahisi kuwa uyu ni fulani. Mfano leo umuone PNC sio rahis kumtambua japo alivuma kipindi hapakuwa na media
Mwizi ukaibe kanisani tena siku ya Ibada jumapili? Polisi wanasema mlinzi alimuona marehemu kwenye Banda la mbwa ndio akamuitia mwzi Cha kujiuliza mtu mwenye akili timamu kama Mandonjo akajifumbukize kwenye Banda la mbwa kweli?
 
Lazima alikuwa mwizi Kuna mwingine Yuko kigamboni wa enzi hizohizo 2004 ukimwona wakikuambia mwizi huoni sababu ya kukataa
Hayajakukuta mkuu dunia duara, si vzr kuhukumu bila kujua

Sidhani mtu wa tittle kama mandojo akaibe kanisani! Realy?

Tuwe na adabu na kujudge taarifa za misiba aisee.
 
Mwizi ukaibe kanisani tena siku ya Ibada jumapili? Polisi wanasema mlinzi alimuona marehemu kwenye Banda la mbwa ndio akamuitia mwzi Cha kujiuliza mtu mwenye akili timamu kama Mandonjo akajifumbukize kwenye Banda la mbwa kweli?
Watoto wa 2000 kaka hawaelewi wao ku jaji tu bila ku reasons yaani mandojo akaibe kanisani siku ya ibada jumapili kweli?

Mbona maelezo yameelezwa na rafiki na ndugu zake kuhusu tukio zima.
 
Lil Wayne aliwah ulizwa nani Rapper bora zaidi? akamtaja Jay Z akaulizwa kwanini sio 2pac akasema Mimi nitamzungumzia Jay Z sababu yupo hai na kama ungetaka nimzungumzie 2pac basi ungeniuliza enzi akiwa hai.

Mjifunze kupunguza mapambo kwa marehem ili mtupe maua yetu tuyanuse kabla hatujafa.
 
Hawa wasanii sio wa kuwaonea huruma wakifulia, hebu ona wanavyoipamba CCM

Matukio kibao yanatokea nchii hii wako kimya hawatumii ushawishi wao kwenye jamii kukemea

Wakipatwa na matatizo eti jamii tuwakumbuke big NO

Kanye ulipokula
Unaongea tu kana kwamba CCM wakikuwekea hata mil 5 umtukane utaweza kaza.
 
Polisi waanze kuelimisha watu kujichukulia sheria mkononi ni jinai na utafunguliwa mashtaka ya mauaji mtu akifa, watu wengi wasio na hatia wamepoteza maisha kwa huu upumbavu, na yeyote yanaweza kumkuta
 
Watoto wa 2000 kaka hawaelewi wao ku jaji tu bila ku reasons yaani mandojo akaibe kanisani siku ya ibada jumapili kweli?

Mbona maelezo yameelezwa na rafiki na ndugu zake kuhusu tukio zima.
Ukisikiliza mazingira, hauwezi kuwalaumu saaaana, waliofanya hilo tukio. Haiwezekani mtu aje ajibanze nyumbani kwa mtu, ofisini, au kwenye nyumba ambayo sio kwao, wakati kuna giza. Hata ingekuwa ni mchana, lazima utajua kuwa huyo mtu ana nia ovu!
Kama inavyoelezwa, jamaa alikuwa akinywa pombe, inamchanganya, ndiyo iliyomfanya kwenda eneo lile, kama vile mwenyeji wa hapo!
 
Hayajakukuta mkuu dunia duara, si vzr kuhukumu bila kujua

Sidhani mtu wa tittle kama mandojo akaibe kanisani! Realy?

Tuwe na adabu na kujudge taarifa za misiba aisee.
mmezoea kupotosha na kupokea maneno matamu tamu
 
Back
Top Bottom