Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha masikitiko kutokana na kifo cha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi kule Kagera.
Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe.
Natoa wito wa kusoma, tukio lile la kusikitisha linataka Kauli ya Amri ya Rais, sio sala na maombi huku watu wanaendelea kufa.
Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe.
Natoa wito wa kusoma, tukio lile la kusikitisha linataka Kauli ya Amri ya Rais, sio sala na maombi huku watu wanaendelea kufa.