Kifo cha mtoto albino kinataka amri ya Rais sio masikitiko ya Rais

Kifo cha mtoto albino kinataka amri ya Rais sio masikitiko ya Rais

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha masikitiko kutokana na kifo cha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi kule Kagera.

Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe.

Natoa wito wa kusoma, tukio lile la kusikitisha linataka Kauli ya Amri ya Rais, sio sala na maombi huku watu wanaendelea kufa.
 
Akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha masikitiko kutokana na kifo cha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi kule Kagera.

Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe.

Natoa wito wa kusoma, tukio lile la kusikitisha linataka Kauli ya Amri ya Rais, sio sala na maombi huku watu wanaendelea kufa.
Nchi hii hatuna Rais bali tuna mama mlezi wa taifa …… mitano tena
 
Serikali ya Samia inapiga kazi kimya kimya.

Kama una ndugu jambazi utaniunga mkono kuwa ashatwaliwa kitambo, mafisadi wapo magerezani kimyakimya, Kila anayezingua anashikishwa adabu bila kelele.

Leo hii mabasi yanafanya kazi masaa 24 bila kutekwa Wala mikwara ya majambazi. Ujue Kuna wanaume wapo kazini 24hrs na SMG na laptop ili tuishi salama.

Kwenye hoja Yako: maelekezo aliyopewa RC na timu yake ni kimyakimya.

Kama una ndugu mganga wa kupiga ramli chonganishi utaketa ushuhuda muda sio mrefu.
 
Akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha masikitiko kutokana na kifo cha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi kule Kagera.

Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe.

Natoa wito wa kusoma, tukio lile la kusikitisha linataka Kauli ya Amri ya Rais, sio sala na maombi huku watu wanaendelea kufa.
Kasimu ndo atatoa kauli
 
Akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha masikitiko kutokana na kifo cha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi kule Kagera.

Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe.

Natoa wito wa kusoma, tukio lile la kusikitisha linataka Kauli ya Amri ya Rais, sio sala na maombi huku watu wanaendelea kufa.
Kanda ya ziwa watu wana roho mbaya sana
 
Akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha masikitiko kutokana na kifo cha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi kule Kagera.

Rais ametaka watu waliokuwa kwenye kongamano wasimame na kumuombea. Hata hivyo hakutoa kauli ya kimamlaka kutaka waliohusika wakamatwe.

Natoa wito wa kusoma, tukio lile la kusikitisha linataka Kauli ya Amri ya Rais, sio sala na maombi huku watu wanaendelea kufa.
Kila mtu ana hulka yake anaposemea jambo,japo matokeo ni yaleyale,Rais asikitike kifo cha mtoto alafu wauaji wasipatikane!!?,Ingawa neno la ukali la Rais linapooza machungu ya wananchi
 
Kwa hiyo siku hizi polisi wana subiri amri ya rais ili wafanye kazi yao?
Ya kwamba kwa sababu hajatoa amri basi waharifu hawatatafutwa?
Watz tupunguze tabia za kulalamika kila kitu maana ni sifa ya watu wapumbavu.
 
Kuna wale wanaosemaga tumeacha dini za mizimu ya mababu zetu (upagani) tumefuata za waarabu na wazungu... mnaona mambo ya kipagani hayo?
 
Kila uchaguzi ukikaribia Albino wanakata katwa viungo.inasemekaana ni dawa ya kushinda uchaguzi....Sasa kama matukio yanaendelea Inamaanisha dawa inafanya kazi.
Now...kiongozi aliyepata uongozi Kwa kunyofoa viungo vya albino atawezaja kukemea huu unyama!?

You see now how twist f****ck this issue is?
 
Amri ya Rais ndo ishatoka ivo
hao wahuni watasakwa na Nina uhakika vyombo vya usalama vinatawatia mbaloni.
 
Kila mtu ana hulka yake anaposemea jambo,japo matokeo ni yaleyale,Rais asikitike kifo cha mtoto alafu wauaji wasipatikane!!?,Ingawa neno la ukali la Rais linapooza machungu ya wananchi
Pia huamsha uwajibikaji, laiti angetoa tamko toka siku alipotangazwa kupotea kutokana na historia ya hawa watu kuwa kwenye mazingira magumu ya kuwindwa na kuuawa, pengine uhai wake ungenusurika. ndiomana baada tu ya maiti yake kupatikana na watuhumiwa wakakamatwa?
 
Nakumbuka kipindi fulani watu wenye ualibino waliitwa bangi(yaani ilikuwa ukihisiwa tu imekula kwako)sasa sijui tumekwama wapi tena.Hili suala yatakiwa lizungumzwe hata kwenye mitandao.
Nimemkumbuka rafiki yangu binti yake ana miaka kama mitatu sijui anajisikiaje.
 
Serikali ya Samia inapiga kazi kimya kimya.

Kama una ndugu jambazi utaniunga mkono kuwa ashatwaliwa kitambo, mafisadi wapo magerezani kimyakimya, Kila anayezingua anashikishwa adabu bila kelele.

Leo hii mabasi yanafanya kazi masaa 24 bila kutekwa Wala mikwara ya majambazi. Ujue Kuna wanaume wapo kazini 24hrs na SMG na laptop ili tuishi salama.

Kwenye hoja Yako: maelekezo aliyopewa RC na timu yake ni kimyakimya.

Kama una ndugu mganga wa kupiga ramli chonganishi utaketa ushuhuda muda sio mrefu.
Umeongea point, kuna wapumbavu walitoka jela kwa kesi ya ujambazi,halafu walivyofika uraiani wakarudia tena tabia yao, aisee sasaivi wapo kuzimu,
Hata huyo padri muuaji atataja tu mtandao wao huko kwenye nyumba zao za ibada,inaonyesha wapo wengi kwenye huo mtandao wakuua albino
 
Back
Top Bottom