MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tatizo watanzania mnapenda sana kufanyiwa maigizo na wanasiasa. Mama angeongea kwa povu ndo mngeshangilia hata kama hakuna hatua itakayochukuliwa. Mama kaamua kufanya kazi kwa utaratibu na sio kupayuka majukwaani. Au mnataka mama naye aseme "I wish i could IGP?" ndo mridhike?