Kifo cha mtoto albino kinataka amri ya Rais sio masikitiko ya Rais

Tatizo watanzania mnapenda sana kufanyiwa maigizo na wanasiasa. Mama angeongea kwa povu ndo mngeshangilia hata kama hakuna hatua itakayochukuliwa. Mama kaamua kufanya kazi kwa utaratibu na sio kupayuka majukwaani. Au mnataka mama naye aseme "I wish i could IGP?" ndo mridhike?
 
Umeongea cha maana sana! Huyu hakujiandaa kuwa hapo! Alivamiwa TU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…